nchi

  1. CCM Music

    JamiiForums Tanzania Kuna viongozi wetu hawajui kuwa Tanzania ni nchi kubwa sana Kimataifa! Tanzania ina rekodi ya kipekee Duniani bado haijavunjwa!

    With due respect, naomba niseme kuwa Tanzania viongozi wengi hawajui ukubwa na umuhimu wa nchi ya Tanzania kwenye jicho kuuu la Ki mataifa. Naomba niwakumbushe yafuatayo: Rais Bill Clinton akiwa madarakani aliwahi kutembelea Tanzania Rais Bill Clinton akapokelewa kijiti na Rais George Bush...
  2. Morning_star

    JamiiForums Tanzania Zijue mbinu anazozitumia Marekani kukandamiza nchi masikini ili aendelee kupora rasilimali zake

    Waswahili husema: "kama humjui shetani anza kupata maendeleo". Taifa la Marekani limejengwa katika misingi ya damu na roho za watu! Wenyeji wa nchi ya Marekani ni "Red Hindis". Hawa wenyeji waliuwawa vifo vya maangamizi "extinction" na waliosalia ni kwaajili ya kumbukumbu ya historia kwasabahu...
  3. Ulimbo

    JamiiForums Tanzania Je, ni viongozi wa Chama na serikali waliowahi kuwekewa vikwazo vya kuingia nchi za nje?

    Kutokana na hili la Mkuu wa mkoa wa Dar es salaamu kuzuiliwa kuingia Marekani, watu waengi wamajitokeza kila mmoja akileta mawazo yake juu ya jambo hilo. - Wengine serikali ipige marufuku wamarekani kuingia nchini - Rais atoe tamko - Marekani imevunja sheria ya kidiplomasia na mengine mengi...
  4. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Uhamiaji hawaoni aibu kutoa passport laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

    Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55? Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali. Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi...
  5. Kifwimbo

    JamiiForums Tanzania Natia nia ya kugombea uongozi kwenye chama cha ACT-Wazalendo

    🖐NAMI NATIA NIA🖐. Nianze kwa kuwapa pole ndugu zetu wa mikoa ya Lindi,tabora,Dodoma na maeneo mengine ya nchi kwa maafa ya mvua zilizopita kiwango na kusababisha maafa pole sana Ndugu zangu mwenyezi Mungu awatie nguvu na kuwapa subra katika kipindi hiki kigumu. Najitokeza hadhari mbele ya...
  6. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Rwanda yasema itafungua mpaka wake na Uganda pale itakapojisikia kufanya hivyo na wala sio kwa kushurutishwa na watu wala nchi yoyote

    Rais wa Rwanda Paul Kagame, alisema Jumatano kwamba serikali yake itafungua mpaka na Uganda wakati itajihisi kufanya hivyo akisisitiza kwamba hakuna mtu wala nchi yoyote itamshurutisha kufanya hivyo. Akihutubia mabalozi katika mkutano wa kila mwaka na waakilishi wa nchi za nje pamoja na...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kwa jinsi uongo unavyoonekana kuwa sehemu ya Uongozi wa nchi kwa sasa, basi napendekeza Serikali iwe na Waziri wa Propaganda

    Imefikia mahali ambapo Mtanzania yeyote mwenye akili ataona kwamba serikali ya awamu ya tano imekithiri kwa kutumia uongo katika mambo ya kila siku yanayohusu uongozi wa nchi. Wananchi wanadanganywa hadi watu weye akili zao wanashikwa na hasira kama sio kichefuchefu! Mimi naona ni vema basi...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Miradi mikubwa ya maendeleo ya nchi na Idukilo yetu

    Huku Idukilo leo nimewadokeza kuhusu SGR. Mmoja akafikiri ni kifupi cha neno sigara akaniambia sasa kutufanya sisi tuvute sigara ndiyo maendeleo. Kuhusu flyover mwingine kafikiri ni ndege na kudai kwamba alikuwa anasikia milio tu zikipita kwenda kutua Mgodi wa Mwadui kuchukua almasi...
  9. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania ACT - WAZALENDO kuanza ziara nje ya nchi ili kuihami demokrasia ya Tanzania

    Viongozi wa ziara hiyo inayoanza mara moja ni Zitto Kabwe na Nassor Mazrui , ambao wamepanga kuonana na watanzania walio nje ya nchi pamoja Mabeberu ili kuzuia ukandamizaji wa demokrasia nchini Tanzania ambao umefikia kiwango cha kutisha . Watanzania wote makini wako tayari kuthamini mchango wa...
  10. funaku

    JamiiForums Tanzania Kwenye maslahi ya Rasilimali za nchi, Magufuli ametuvusha salama

    Nitakukumbuka daima Mheshimiwa Rais. Nitakukumbuka kwa ujasiri wa kipekee. Nitakukumbuka kwa kutuonesha njia na kutuaminisha kuwa sisi ni watu kama walivyo watu wengine duniani...yaani tuna akili, tunajua kuzitumia na tuna mahitaji. Mheshimiwa Rais umetuonesha kuacha ubinafsi na tufanye kazi...
  11. Ngwanakilala

    JamiiForums Tanzania Zifahamu dalili na tabia ya Nchi Masikini

    Dalili za nchi masikini: Uwepo wa redio FM kila kona Msafara wa Rais unakuwa na gari nyingi kupita kiasi Kila mtu anajenga nyumba/ kijumba Wananchi vichwani kunawaza mpira Matumizi na mapato hayana kanzidata/ data base Kila baada ya hatua tano kuna duka/ kila mtu mchuuzi Watu wanasoma...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Nchi yangu, Rais wangu, Kilio Chetu, Majuto yetu

    Nchi yangu haina furaha tena, Rais wangu akisimama ni kukemea na kufoka tu, hakuna tena furaha. Akianza kuhutubia popote nchi inazizima, hamna tena maneno ya furaha, ni uozo uozo tu hata ule wa kulazimisha. Kingu kawachoma wenzake na kakimbizwa ubalozini kuficha uozo. Hamna hakika Rais hakujua...
  13. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Afrika ndio bara pekee lenye nchi nyingi

    Kuna nchi 54 zinazotambuliwa kama mataifa huru katika bara la afrika. Nchi iliyokuja hivi karibuni ni sudani ya kusini ambayo imepata uhuru wake mwaka 2011. Sahara Magharibi ikiendelea kuwa mwanachama wa Umoja wa Afrika lakini umoja wa mataifa haujaitambua kama taifa. Bara Asia ni bara...
  14. malisoka

    JamiiForums Tanzania Huu pia ni udhalilishaji, na hapo ndipo Tanzania inapokuwa " Nchi ya kushangaza"

    Tanzania kwa miaka mingi imekuwa ni nchi inayo boresha elimu kwanza na baadaye yanafiata mambo mengine ya barabara, lilimo viwanda na nk. Cha kuchangaza ni kwamba awamu hii imesahau lkabisa kuboresha elimu hasa ya msingi. Wengi watanishanga kwamba mbona sijaona elimu bure inatolea nk. Kutoa...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Tuweke utamaduni wa kusikilizana ili tusaidie nchi yetu

    Watanzania tumefikia wakati sisi wenyewe kwa wenyewe hatuwezi kusikilizana au kuheshimiana. Watanzani wengi siku hizi wamekuwa wakiangaliwa kibinafsi wakitoa hoja kuliko kusikiliza hoja za wanaotoa. Mara nyingi sana tumekuwa hata hatusikilizani kwa sababu ya woga au kujijengea fikra za uongo...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Watawala wa CCM wawe wazi kubadili mfumo wa kuendesha nchi, ujanja ujanja hautaisaidia Tanzania

    Kwa miaka hii minne Utawala wa CCM unashindwa kujipambanuwa. Kuna msigano wa wazi wa itikadi ipi hasa inafaa kufuatwa na mfumo upi hasa unapaswa uwe ndio mfumo wetu wa Utawala. Watu wengi wanaamini ni mfumo mpya " ulibatizwa jina na kuitwa " MAGUFULIZATION" Sijui mfumo huu unalenga nini...
  17. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Vijana wa CCM: Tusikubali mafundisho ya kusifia tuu mtu na chama chetu, bali tupokee yale yenye kutia "UBUNIFU" wa kuijenga nchi kisayansi zaidi.

    Ninamsifu na ninamshukuru baba yangu mzazi kwa :- 1. Kuandaa mazingira ya kumwoa mama hatimaye nikawa duniani. 2. Kujenga nyumba ya tope na bati, na kutulelea humo, wakati huo majirani wote walikuwa na nyumba za makuti. 3. Kuishi kwa kutegemea kilimo na ufugaji ndani ya shamba la baba ...
  18. beth

    JamiiForums Tanzania Iran: Nchi zilizopoteza raia katika ajali ya ndege zadai fidia

    Mataifa yaliyopoteza raia katika ajali ya ndege ya Ukraine iliyodunguliwa na Iran yameitaka Tehran iwajibike kikamilifu, uchunguzi wa kimataifa uanzishwe na familia za wahanga zilipwe fidia. Mawaziri wa mambo ya nje wa Canada, Uingereza, Ukraine, Sweden, Uholanzi na Afghanistan wamekutana...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Nchi 10 za Afrika zenye mfumo bora wa Elimu

    Jana nimesoma kwenye Youtube ikitaja nchi kumi bora katika Afrika zenye mifumo bora ya elimu. Nchi zenyewe ni kama ifuatavyo ikianzia na namba 10. Namibia 9. Egypt 8.Cape Verde 7.Kenya 6.Botswana 5.Algeria 4.South Africa 3. Mauritius 2. Tunisia 1.Sychelles. Naona Tanzania hatumo.
  20. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Tathmini : 2019 CHADEMA iliendelea kutawala mitandaoni na kwenye vyombo vyote makini vya habari vya ndani na nje ya Nchi

    Baada ya kufanya upembuzi yakinifu kuhusu siasa za Tanzania nimeona kwa macho yote kwamba Chama cha siasa cha kisasa cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Ndio chama kilichotamba mitandaoni kwa kujadiliwa mara nyingi zaidi kuliko chama chochote cha kisiasa nchini Tanzania, huku kwa mbali...
Back
Top Bottom