naombeni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mfumbilwa

    Naombeni elimu juu ya uwekezaji wa Bondi

    Nimekuwa nikisikiasikia kuwa benki ya NMB inauza BONDI. Na watu hununua Bondi hizo. Naombeni kueleweshwa juu ya biashara hiyo kwa mwenye uelewa. Asante.
  2. GENTAMYCINE

    Naombeni Dawa ya Kuisahau hii Kauli inayokataa kabisa kutoka Ubongoni mwangu ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

    'Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dk. John Pombe Joseph Magufuli yuko mzima wa Afya anachapa kabisa Kazi na nimetoka Kuzungumza nae'', Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Kassim.
  3. Mamaya

    Naombeni uzoefu wa induction cooker: Je ni kweli linatumia umeme kidogo? Je lina unafuu wa gharama kuliko gesi?

    Salamu wadau!ambao mmewahi au mnatumia aina hii ya jiko naombeni uzoefu wenu, maana gesi ulimepanda sana bei, ninekuta muuzaji mmoja ameniambia linautumia umeme kidogo sana, 1unit per hour. Sasa nikasema za kuambiwa changanya na za kwako. Nawasilisha
  4. Vsanja

    Naombeni kujuzwa taarifa za wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha 5 au chuo Awamu ya pili 2022/2023

    Habari zenu wakuu,, naombeni mnisaidie kama ipo tayari PDF ya wanafunzi waliochaguliwa kidato cha 5 au chuo kwa awamu ya pili
  5. Joao de Matos

    Naombeni movies za action

    Wadau naombeni movies za action hasa movies za kivita za kisasa na sio zile Karne ya 20 za kizamani nataka za kisasa. Naombeni msaada.
  6. vnn

    Naombeni msaada wa kimawazo nateseka

    Naongea kwa niaba ya aliekujabkuniomba ushauri! Nilikua kwenye mahusiano na kaka mmoja tangu 2014, mwaka 2016 tukaanza kuishi pamoja bila kufunga ndoa lakini ukweni tulitambulishana, wakati huo mimi nilikua nina kazi yeye bado hajapata mishe ya maana, tumekaa hvo hvo mpaka nikajifungua...
  7. Idugunde

    Natamani kuhama CCM, kipi chama makini kati ya ACT Wazalendo na CHADEMA?

    Hawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia. CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana. Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia. CUF. Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
  8. Bushmamy

    Naombeni huu wimbo

    Huu wimbo nimeupata ukiwa hivi nusu nahitaji wote, Tafadhali mwenye nao Naomba anisaidie hapa. Shukrani kwa atakaenisaidia
  9. Profesaa

    Nafazi za kazi/ajira zinazotolewa na Serikali ni vyema zote kuwa katika mifumo ya PDF kama zinavyofanyika nyingine na kusambazwa

    Habarini Ndugu zangu, NAHITAJI MSAADA WENU KATIKA HILI 1. Ninapata changamoto hii ya suala zima la ANUWANI SAHIHI ya kujazwa kipindi natuma maombi ya kazi katika mfumo wa ajira portal. Mfano kuna baadhi ya post nafasi za kazi unakuta umeandikiwa moja kwa moja anuwani ya kuwasilisha maombi yako...
  10. vnn

    Waombaji wote kupitia ajira portal naombeni mnijibu hili swala

    Je kwenye uandishi wa barua ya maombi, anwani unaandika ya taasisi husika au unaandika anwani ya sekretarieti ya ajira? pia je barua ya maombi inawekwa pale kwenye kipengele cha Recomendation Letter au inawekwa sehwmu gani? naombeni msaada katika hilo wakuu🙏🙏🙏
  11. Marcellojr

    Customs questions: Wandugu naombeni mwenye kujua majibu ya haya maswali anipe majibu hapa jukwaani

    1. State the conditions that must be satisfied for temporary import to be exempt from import duty 2. Explain the necessary controls customs needs to put in place when administering export process 3. Outline conditions under section 99 eaccma 2004 dealing with loading and transfer goods...
  12. N

    Hii Elimu ya Mbunge Erick Shigongo sijaielewa, naombeni kueleweshwa

    Mweshmiwa wetu huyu, muwakilishi wa wananchi wa jimbo la Buchosa, elimu yake imekaaje? Chuo cha Tumaini University ndio mna degree za namna hii? tena inaonesha alisoma 2017 mpaka 2020 huu udahili walifanya TCU au? Mbona waheshimiwa mna elimu za kuunga , au ni utaratibu gani unatumika mtu...
  13. U

    Naombeni ushauri kuhusu jambo hili

    Niliachiwa kiwanja na marehemu baba mkubwa, kumbe kilikuwa na miaka 20 hakijalipiwa kodi, sasa ardhi wamenipa hilo Deni Mimi, nimekubali kulilipa Ila control number inaisha muda wake 22/5/2022 na hakuna kulipa nusu inatakiwa lilipwe Deni lote, ninachouliza hivi hakuna uwezekano wa kuongeza muda...
  14. Mwanakwetuuu

    Mjadala: Mafanikio gani yametokea baada ya Sensa ya 2012?

    Wakuu Rais ametangaza Sensa mwaka huu itafanyika mwezi wa nane,mara ya mwisho ilifanyika mwaka 2012 .Je kuna mafanikio gani yaliyotokea Kwa kuhesabu Sensa ya mwaka 2012? Lakini pia mwaka 1988 ilifanyika Sensa ya watu na makazi baadae ikafanyika mwaka 2002 , katika vipindi hivyo vyote vya kufanya...
  15. Unique Flower

    Nikipata Uraia wa nchi nyingine utaathiri u-Tanzania wangu?

    Hivi kwa wanaofahamu let's say umeolewa na mzungu na ukapewa uraia wa Ufaransa na unaishi kule; so huku ndio inakuwaje na uraia wa Tanzania unaruhusiwa kuwa nazo mbili kwa wakati mmoja au inabidi uikane mmoja ubaki na mwingine? Tujuzeni wadau wa humu
  16. L

    Naomba kujibiwa swali hili

    Anticipated Outcomes (What impact will the training have on performance?) Naombeni idea ya kujibu hapo, msaada
  17. Unique Flower

    Naombeni msaada wa kimawazo

    Kuna mtu anashida kapata mtoto na mdada ambaye hawajaafikiana kuoana sasa huyo dada anapewa matumizi na huyo kaka na nikwa kila kitu. Sasa huyo kaka ni dhehebu jingine na yeye ni Mkatoliki? Sasa mama wamtoto kamwambia baba mtoto nataka nikambatize mtoto Kikatoliki nanimeshampa jina. Shida ni...
  18. U

    NAOMBENI MSAADA WA KISHERIA KUHUSU JAMBO HILI LA URITHI

    Hapa nilipo baba yangu mkubwa alifariki miaka zaidi ya ishirini iliyopita akamuacha mama mkubwa na watoto wake saba.Pia katika kipindi hicho baba mkubwa alizaa watoto wawili kwa mama tofauti,akawachukua na kuwaleta kwa mama mkubwa ndiye aliyewalea wote!Hivi sasa watoto hao ni mama wazima na wana...
  19. bafetimbi

    Nahisi nimefika hatua mbaya kabisa sasa. Naombeni msaada

    Wasalaaaam wadau! Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati. Kiukweli mimi najiona kabisa sasa nimefikia hatua mbaya sana maana imefika hatua nimekuwa addicted vibaya mno wa kuzama uvinza yaani raha yangu ni kupaangalia pale paluvyo na kisha kutia ulimi mpaka najishangaa kwamba mimi siku hizi...
  20. K

    MJADALA: Kwanini pale alipo mtu mweusi hali ya uchumi huwa ni tete? Nini chanzo cha umasikini?

    Ndugu zangu hili ni suala tunaweza kulipatia ufumbuzi tukilijadili kwa kuangalia hali halisi ya nchi yetu na za Africa kwa ujumla. Juzi Tanzania one alisema sisi bei yetu ni poa sana ukilinganisha na ndugu zetu wamarekani. Sidhani kama alikuwa sahihi na hakupatikana mwandishi wa kumwuliza nini...
Back
Top Bottom