Heshima kwenu wakuu.
Naomba msaada wa hiyo app kama kuna mtu mwenye link ya Poweramp Premium.
Natanguliza shukran zangu za dhati kwenu wakuu.
Thank you.
Chief-Mkwawa.
Heshima kwenu wakuu.
Kuna show moja kali sana ikijumuisha Mary J. Blige, Dr. Dre, Snoop Dogg, Eminem, 50 Cent, Kendrick Lamar et al.
Naomba kama kuna mtu ana link ya full show anisaidie nitazame unyama wa hawa jamaa aisee.
Najua JF ni kisiwa kikubwa kilichosheni wadau wa kila aina, hivyo...
Jana nilitoa pongezi Kwa Kitenge na Osca nikiwa nimejikita kutetea uhai wa wanadamu wenzetu pamoja na HAKI ya elimu.
Mara nyingi ninapotoa hoja napenda kujieleimisha zaidi na pale ninapobaini utofauti napenda kukiri makosa na kuepusha kuipotosha jamii. Kwa issue ya Ngorongoro Naomba kuondoa...
Hivi majuzi nimeota ndoto ambayo bado inanisumbua sana.
Hii ndoto ilikuwa inamhusu mwendazake Rais Magufuri. Niliota ilikuwa siku ya uzinduzi wa reli ya Chini kwa Chini au unaweza kuziita treni za kutumia umeme. Hivyo na Mimi nikaenda kwenye ufunguzi wa reli hiyo pamoja na wananchi wengi. Kama...
Habari za weekend?
Mimi ni msichana
Naombeni kazi ya kufanya usafi
Nyumbani, restaurant, bar shuleni,ofisini na kwingineko
Napatikana Dar es salaam ukinihitaji karibu pm pia nafatilia comments
Mimi n kijana mpambanaji hapa Mjini! Na ata kuna threads nyingine za nyuma mlishanishauri na sasa ni vyema tu mambo yanaenda vizuri namshukuru Mungu! Kwa uwepo wenu na mawazo yenu
ila mimi leo nlikua naomba mnisaidie pia make najuaa hii n community kubwa na inawatu wazito pia ndani yake!
Mimi...
Naombeni majibu katika Biblia ni wapi ambapo mtu mweusi anatajwa chanzo chake maana tangu Adamu hadi Yesu hakuna mahala pametajwa mtu mweusi, sasa huu ujasiri wa kupigania pepo sisi tunautoa wapi?
Mzungu ni nani?
Kuna jamaa kanambia Mzungu ni mtu yoyote aliyezaliwa bara la Ulaya. Basi mimi nikamuuliza je Pogba ni mzungu kanibishia? Anadai Pigba ni mweusi hivyo hawezi kuwa Mzungu.
Nikamwambia jamaa amezaliwa Ulaya? Kwanini asiwe mzungu?
Basi tumebishana bila majibu, naombeni mnijuze...
Nina mdada ambaye nimetokea kumpenda sana kiukweli huyu dada nampenda sio kidogo
Nimekua nikimwambia mara kwa mara lakini yeye anachukulia kama mzaha wakati mwingine anakua kama anaeleweka wakati mwingine ananichukulia kama rafiki yake sielewi elewi mimi
Nimeshiriki nae tendo mara 2 but tatizo...
Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
Habarini ndugu zangu, ni matumaini yangu mpo fresh.
Mimi ni mhitimu wa chuo ngazi ya degree katika fani ya uhasibu.
kiukweli nimejiajiri lakini hali si mchezo huku mtaani, ofisini nashinda masaa 14, kila siku lazima niende ofisini yani hata nlikopanga geto kuna wengine hawanijui vizuri...
Rais wetu tunampenda sana, na kwa muda mfupi amechapa kazi sana tena iliyotukuka. Ila kama ilivyoada kwa binadamu wote, ukifanya sana kazi kuna wakati unachoka na mwili unahitaji mapumziko ya kutosha.
Kuna video inasambaa kuke twitter imepostiwa kwa Maria Sarungi Ikimuonesha Rais Samia...
Sifa zangu:
Ni kijana mwenye uwezo wa kukesha nasifu Na kuabudu bila kuchoka.
Naweza kubadilisha nyeusi Kuwa nyeupe.
Ni muongo Sana Na naweza kudanganya bila kupepesa macho
Nina uwezo wa kutunga propaganda Za akili Na maganda yake.
Naambatanisha kielelezo kimoja.
Wako mtiifu.
Nimeona tangazo kwenye group flani la watsapp la fani tuliyosomea.
kuna jamaa alikua anatangaza kua anaunga bando la GB 6 kwa week halotel na unamlipa baada ya kuungwa.
sasa bwana nikamtumia namba yangu akaniambia kuna code zitakuja kwenye simu yako uzitume chap kwangu nikuunge.
Code zenyewe...
Wadau, Mafundi na wenye uzoefu wa biashara ya vifaa vya umeme wa majumbini naomba mnitajie orodha ya vifaa vinavyohitajika na vinavyotoka haraka kibiashara zaidi.
Nimepata fremu ndogo ya biashara, kwa mazingira ya mtaa huo hakuna duka la vifaa vya umeme kwa maeneo ya karibu, hivyo nimeona...
Kichwa cha habari kinajieleza, kwa wakazi wa maeneo tajwa hapo juu natarajia kufungua library ya kuuza na kukodisha CD. Sasa naombeni ABC zote za maeneo niliyotaja hapo juu, sehemu kwenye mzunguko mkubwa wa watu, sehemu biashara hiyo ya CD inatoka kwa wingi.
Natarajia kufungua ofisi kubwa sana...
HABAR WADAU hope wote mpo poa
Leo nina maswali mengi sana wadau nilitaka nifungue uzi mmoja niweke mada zote ila nikaona nitawachanganya wadau ngoja nifungue kila kitu na uzi wake uzi huu niliwahi kuuandika apo nyuma sema sikuwa na screenshoot ivo mada ikakosa mashiko leo sasa twende pamoja pia...
Windows 8.1 pro,nikienda huko kwenye setting inataka niweke NEW PRODUCT KEY sasa mimi sina hizo new product key,nazipataje na je ikifikia tarehe ya ku expire sitapoteza vitu vya humu kwenye hii pc? ama ni athari gani itatokea.
msaada wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.