Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,767
- 12,982
INTRODUCTION
Ni mdogo angu (family friend).
Kwao ni wa mwisho kuzaliwa (last born).
Ana miaka 26 na ana mtoto mmoja wa kike.
Yeye na huyo baba mtoto waliachana ila mtoto anatunzwa fresh.
SCENARIO
Huyu binti Wana JF ana hasira sana. Na hapo mwanzo nilishawahi kumuhoji akasema ""Muda mwengine zinapanda mpaka kwa wateja kazini kwake"" Na kibaya zaidi mpaka mimi mshauri wake pia siku hizi ananipandishia hasira..!!
Ni mdogo angu nampenda sana na huwa napenda sana anavyo "faiti" na maisha. Yaani kwenye kutafuta pesa, aisee anajua balaa ila tatizo lake ni HASIRA SANA.
Huwezi amini, hapo mwanzo Mimi ndio nilikua mshauri wake, na kumuonya sana juu ya hasira ila siku hizi "Nikiwa namshauri jambo unakuta hata kwangu hasira zake zinapanda na kunijibu "shit"
Mfano; Kuna siku aligombana na baba mtoto wake na akamtukana huyo mwanaume kuwa ni "Mkund__ na ukoo wake ni ukoo wa mashoga, hivyo anajutaa kuzaa na mashoga..!!". Siku hiyo alimtukana sanaa baba mtoto wake kwenye simu.
Hiyo kesi ikanifikia, Mimi kama kaka ikabidi nimkalishe. Ile kumkalisha nikamwambia ""dada hivi unajua kuwa hasira zinahusishwa na tatizo la akili"" Weee kusema hili neno ""Tatizo la akili ilikuwa nongwa"" aisee kila ukimshauri jambo anajibu shit na kusema ""Mi si nina tatizo la akili""
Kuna siku alipata shida ya ugonjwa akasaidiwa kupelekwa hospitali na mama mmoja ambae siku moja walishachambana kwa hasira zake. Nikaona hapo nichukulie point ya ushauri, niliongea nae ""Ukiwafanyia hasira watu wote, je atakaye kusaidia ni nani kwenye shida zako?""
Unajua alichojibu ""Huyu alinisaidia kwasababu kuna siku alinigongea mlango usiku nikamsaidia, hivyo lazima na Mimi angenisaidie""
Aliongea na mengine mengiii... Ila kifupi ni hasira zake tu. Mi nilijua "scenario" hii ingemfanya abadilike ila hasira zake zikamtawala na kujiona yupo sawa. Ukiwa unaongea nae halafu mada ikamlenga sanaa utaona tu hasira zimepanda na anaanza kujibu shit. Kifupi huyu binti ana hasira balaaa.
THE BIG PROBLEM
Na kengine huyu dada angu amepata mchumba mwengine na kaenda mpaka kujitambulisha kwao.
Jamaa kashapewa mambo yotee ya mahari, kwahiyo familia inasubiri majibu yake kuhusu mahari.
Ila huyo mwanaume naona ka "stack" kuendelea na process za ndoa.
Baada ya kumuhoji huyu Shemeji yangu anasema..... "Amechoshwa na hasira za huyu dada".
Yaani jamaa alikubali kuoa mwanamke mwenye mtoto ila hasira za mwanamke zimemfanya asimamishe kwanza mipango ya ndoa.
Huyu jamaa aliniambiaga...
1. Dada ako ni mwaminifu sanaa, sijawahi hisi lolotee juu ya kuchepuka, na sijawahi fumania lolotee juu ya uchepukagi.
Yaani kwenye uaminifu sina "dauti nae"
2. Dada Ako ni mpambanaji sanaa, ukimpa laki 2 anaizungusha kesho analeta laki 3. Hivyo kwenye mambo ya finance ana kichwa kizuri sanaaa.
3. Kwenye maisha ya pesa kweli nimepata ""Mwanamke faita"" ila tatizo ni hasira zake.
Jamaa anasema hawezi kuoa mwanamke mwenye hasira hivi, na Mimi nikiongea na dada yeye haoni kama hasira zake ni changamoto japo Kuna siku moja tu alishawahi kukiri kuwa ""Ana hasira sanaa na hajui kwanini!""
Na hili la hasira mpaka Kwa mchumba ake nimenyamaza kimya, naogopa siku nikisema kwao huyu dada anaweza nimeza kwa hasira zake.
PROBLEM
Siku hizi anavyonijibu "shit" nikiwa namshauri, basi hata Mimi nafikiria kuachana nae ila sasa Wana JF huyu dada wazazi wake walinilea.
Wazazi wake walichangia pakubwa malezi yangu baada ya Mimi kupoteza wazazi.
Kwahiyo huwa nampenda dada angu kwasababu tumekuwa wote na wazazi wake "in another side" ni kama wazazi wangu pia, ila changamoto inayoniweka mbali ni hasira zake tu, Tena ni hasira hasaa ndugu zangu.
HEBU WAJUZI NIPENI MBINU ZA KUMSAIDIA HUYU DADA ANGU?
Najua humu naweza kupata ushauri wa wataalamu au hata mtu ambaye na yeye alikuwa na hasira akafanikiwa kuzishinda.
Tiba ya huyu dada angu ni nini?
Natanguliza shukrani.
#YNWA
Ni mdogo angu (family friend).
Kwao ni wa mwisho kuzaliwa (last born).
Ana miaka 26 na ana mtoto mmoja wa kike.
Yeye na huyo baba mtoto waliachana ila mtoto anatunzwa fresh.
SCENARIO
Huyu binti Wana JF ana hasira sana. Na hapo mwanzo nilishawahi kumuhoji akasema ""Muda mwengine zinapanda mpaka kwa wateja kazini kwake"" Na kibaya zaidi mpaka mimi mshauri wake pia siku hizi ananipandishia hasira..!!
Ni mdogo angu nampenda sana na huwa napenda sana anavyo "faiti" na maisha. Yaani kwenye kutafuta pesa, aisee anajua balaa ila tatizo lake ni HASIRA SANA.
Huwezi amini, hapo mwanzo Mimi ndio nilikua mshauri wake, na kumuonya sana juu ya hasira ila siku hizi "Nikiwa namshauri jambo unakuta hata kwangu hasira zake zinapanda na kunijibu "shit"
Mfano; Kuna siku aligombana na baba mtoto wake na akamtukana huyo mwanaume kuwa ni "Mkund__ na ukoo wake ni ukoo wa mashoga, hivyo anajutaa kuzaa na mashoga..!!". Siku hiyo alimtukana sanaa baba mtoto wake kwenye simu.
Hiyo kesi ikanifikia, Mimi kama kaka ikabidi nimkalishe. Ile kumkalisha nikamwambia ""dada hivi unajua kuwa hasira zinahusishwa na tatizo la akili"" Weee kusema hili neno ""Tatizo la akili ilikuwa nongwa"" aisee kila ukimshauri jambo anajibu shit na kusema ""Mi si nina tatizo la akili""
Kuna siku alipata shida ya ugonjwa akasaidiwa kupelekwa hospitali na mama mmoja ambae siku moja walishachambana kwa hasira zake. Nikaona hapo nichukulie point ya ushauri, niliongea nae ""Ukiwafanyia hasira watu wote, je atakaye kusaidia ni nani kwenye shida zako?""
Unajua alichojibu ""Huyu alinisaidia kwasababu kuna siku alinigongea mlango usiku nikamsaidia, hivyo lazima na Mimi angenisaidie""
Aliongea na mengine mengiii... Ila kifupi ni hasira zake tu. Mi nilijua "scenario" hii ingemfanya abadilike ila hasira zake zikamtawala na kujiona yupo sawa. Ukiwa unaongea nae halafu mada ikamlenga sanaa utaona tu hasira zimepanda na anaanza kujibu shit. Kifupi huyu binti ana hasira balaaa.
THE BIG PROBLEM
Na kengine huyu dada angu amepata mchumba mwengine na kaenda mpaka kujitambulisha kwao.
Jamaa kashapewa mambo yotee ya mahari, kwahiyo familia inasubiri majibu yake kuhusu mahari.
Ila huyo mwanaume naona ka "stack" kuendelea na process za ndoa.
Baada ya kumuhoji huyu Shemeji yangu anasema..... "Amechoshwa na hasira za huyu dada".
Yaani jamaa alikubali kuoa mwanamke mwenye mtoto ila hasira za mwanamke zimemfanya asimamishe kwanza mipango ya ndoa.
Huyu jamaa aliniambiaga...
1. Dada ako ni mwaminifu sanaa, sijawahi hisi lolotee juu ya kuchepuka, na sijawahi fumania lolotee juu ya uchepukagi.
Yaani kwenye uaminifu sina "dauti nae"
2. Dada Ako ni mpambanaji sanaa, ukimpa laki 2 anaizungusha kesho analeta laki 3. Hivyo kwenye mambo ya finance ana kichwa kizuri sanaaa.
3. Kwenye maisha ya pesa kweli nimepata ""Mwanamke faita"" ila tatizo ni hasira zake.
Jamaa anasema hawezi kuoa mwanamke mwenye hasira hivi, na Mimi nikiongea na dada yeye haoni kama hasira zake ni changamoto japo Kuna siku moja tu alishawahi kukiri kuwa ""Ana hasira sanaa na hajui kwanini!""
Na hili la hasira mpaka Kwa mchumba ake nimenyamaza kimya, naogopa siku nikisema kwao huyu dada anaweza nimeza kwa hasira zake.
PROBLEM
Siku hizi anavyonijibu "shit" nikiwa namshauri, basi hata Mimi nafikiria kuachana nae ila sasa Wana JF huyu dada wazazi wake walinilea.
Wazazi wake walichangia pakubwa malezi yangu baada ya Mimi kupoteza wazazi.
Kwahiyo huwa nampenda dada angu kwasababu tumekuwa wote na wazazi wake "in another side" ni kama wazazi wangu pia, ila changamoto inayoniweka mbali ni hasira zake tu, Tena ni hasira hasaa ndugu zangu.
HEBU WAJUZI NIPENI MBINU ZA KUMSAIDIA HUYU DADA ANGU?
Najua humu naweza kupata ushauri wa wataalamu au hata mtu ambaye na yeye alikuwa na hasira akafanikiwa kuzishinda.
Tiba ya huyu dada angu ni nini?
Natanguliza shukrani.
#YNWA