Naombeni ufafanuzi ndugu wanasheria

desmond3076

JF-Expert Member
Jul 29, 2015
277
180
Ndugu wanasheria salaam,

Kwanza poleni na majukumu mbalimbali, naombeni msaada, kuhusu Jambo hili,
Mimi Ni mtoto wa aliyekuwa mtumishi wa umma , baada ya kustaafu 2014 mama angu alilipwa kwa wakati huo kiinua mgongo million 67, baada ya hapo aliendelea kupata pension Kama laki 5 kila mwezi, enzi ikiwa pspf Hadi ilipokuja kuunganishwa na kuwa psssf ,nazani 2018, mama aliendelea kupata pension ya kila mwezi Kama kawaida,
Mnamo 2020 August 30, alifariki dunia ,
Katika document zake aliniandika Kama mrithi yaan survivor,Sasa ndugu walipoenda kufatilia waliambiwa Inabidi ataftwe yule alieandikwa, ndipo nilipotaftwa,kwa ajili ya kuona Kama Kuna haki zozote za madai kwa huyu marehemu katika mfuko huo au ndo imeisha hivo hayo mafao ya warithi hayatakuwepo Tena?
Basi nimeona nililete hapa jamii forum ,nipate msaada najua humu Kuna wajuzi wa Mambo,.
Na huyo mtumishi Ni marehemu mama, alikuwa mnufaika katika mfuko huo Hadi mauti ilipomfikia.

Cheti Cha kifo nnacho , na muhitasari wa ukoo Kama msimamizi wa mirathi nnao, na mahakama ilishaniteua kua msimamizi wa mirathi ya marehemu mama.

Sasa naombeni kujua Sheria zinasemaje iwapo tunaweza kudai haki yake , sisi Kama survivors , au Basi alivokufa ndo Mambo yaliishia pale, baba yetu yeye hayupo tumebaki watoto tu na Mimi ndie kijana mkubwa ,

Naombeni kujua , maana Hadi Sasa Ni miaka 2 tangu mama afariki, na sisi Mambo ya Sheria hatuyafahamu, kuhusu huko psssf

Natanguliza shukrani wewe utakayesoma na kuweza kunisaidia walau nipate mwanga wa Jambo hilo

Mimi desmond
 
Ndugu wanasheria salaam,

Kwanza poleni na majukumu mbalimbali, naombeni msaada, kuhusu Jambo hili,
Mimi Ni mtoto wa aliyekuwa mtumishi wa umma , baada ya kustaafu 2014 mama angu alilipwa kwa wakati huo kiinua mgongo million 67, baada ya hapo aliendelea kupata pension Kama laki 5 kila mwezi, enzi ikiwa pspf Hadi ilipokuja kuunganishwa na kuwa psssf ,nazani 2018, mama aliendelea kupata pension ya kila mwezi Kama kawaida,
Mnamo 2020 August 30, alifariki dunia ,
Katika document zake aliniandika Kama mrithi yaan survivor,Sasa ndugu walipoenda kufatilia waliambiwa Inabidi ataftwe yule alieandikwa, ndipo nilipotaftwa,kwa ajili ya kuona Kama Kuna haki zozote za madai kwa huyu marehemu katika mfuko huo au ndo imeisha hivo hayo mafao ya warithi hayatakuwepo Tena?
Basi nimeona nililete hapa jamii forum ,nipate msaada najua humu Kuna wajuzi wa Mambo,.
Na huyo mtumishi Ni marehemu mama, alikuwa mnufaika katika mfuko huo Hadi mauti ilipomfikia.

Cheti Cha kifo nnacho , na muhitasari wa ukoo Kama msimamizi wa mirathi nnao, na mahakama ilishaniteua kua msimamizi wa mirathi ya marehemu mama.

Sasa naombeni kujua Sheria zinasemaje iwapo tunaweza kudai haki yake , sisi Kama survivors , au Basi alivokufa ndo Mambo yaliishia pale, baba yetu yeye hayupo tumebaki watoto tu na Mimi ndie kijana mkubwa ,

Naombeni kujua , maana Hadi Sasa Ni miaka 2 tangu mama afariki, na sisi Mambo ya Sheria hatuyafahamu, kuhusu huko psssf

Natanguliza shukrani wewe utakayesoma na kuweza kunisaidia walau nipate mwanga wa Jambo hilo

Mimi desmond
Nssf huwa wanalipa miezi 36 ya kiwango cha pensheni, yani 500,000 × 36.

Sijajuwa kuhusu Pssf wanalipaje, cha msingi nenda ofisini kwao jieleze utapewa fomu za kujaza lakini lazima mlipwe.

Watakupa utaratibu wao ukoje mnalipwa kwa account ya mahakama au unalipwa Msimamizi ili ugawe kwa wanufaika.
 
Kwa zamani kabla ya kuunganisha mifuko,PSPF walikuwa wanaendelea kulipa pension kwa mtegemezi hadi atakapofika umri wa miaka 21.

Yaani anaendelea kupokea kiasi kile kile cha penshen hadi kufikia umri wa miaka 21.

Ikiwa wategemezi hawamezidi umri huo basi malipo ya pensheni yatakoma pale tu atakapofariki.

NB
Ikiwa labda hakuwezi kupokea pensheni yake labda kutokana na ugonjwa akawa anadai pensheni yake ya miezi kadhaa kabla hajafa basi atalipa deni lake la pensheni ambayo hakuwa amechukua kwa kipindi hicho kabla ya umauti.
 
Kwa zamani kabla ya kuunganisha mifuko,PSPF walikuwa wanaendelea kulipa pension kwa mtegemezi hadi atakapofika umri wa miaka 21.

Yaani anaendelea kupokea kiasi kile kile cha penshen hadi kufikia umri wa miaka 21.

Ikiwa wategemezi hawamezidi umri huo basi malipo ya pensheni yatakoma pale tu atakapofariki.

NB
Ikiwa labda hakuwezi kupokea pensheni yake labda kutokana na ugonjwa akawa anadai pensheni yake ya miezi kadhaa kabla hajafa basi atalipa deni lake la pensheni ambayo hakuwa amechukua kwa kipindi hicho kabla ya umauti.
so mtu ukifariki kabla hata ya kuanza kula pensheni hela zinakua zao??
 
so mtu ukifariki kabla hata ya kuanza kula pensheni hela zinakua zao??
Hapana kama amefariki kabla ya kupokea pensheni na kiinua mgongo(gratuity) basi pensheni itakwenda kwa wategemezi watakaoletwa majina yao na mgawanyo wao na mahakama.

NB
Kuna mambo mawili lazima uyajue

Kiinua mgongo(Gratuity) hiki anapokea kwa mkupuo mmoja na hapo amesema alishapokea tayari 67M.
Hiki kama alikufa hajapokea basi watapewa wategemezi wake kwa mgawanyo wa mahakama.

Pensheni hii hulipwa kila mwezi hii hukoma tu pale muhusika anapofariki.
Ikiwa ameacha mtoto chini ya miaka 21 basi ataendelea kulipwa hadi afike umri huo.
Ila kama amefariki na ameacha watoto wote wapo juu ya umri huo basi hawawezi kuendelea kulipwa.
Hii ni kwa mujibu wa PSPF zamani kabla ya kuunganishwa mifuko.
 
Ndugu wanasheria salaam,

Kwanza poleni na majukumu mbalimbali, naombeni msaada, kuhusu Jambo hili,
Mimi Ni mtoto wa aliyekuwa mtumishi wa umma , baada ya kustaafu 2014 mama angu alilipwa kwa wakati huo kiinua mgongo million 67, baada ya hapo aliendelea kupata pension Kama laki 5 kila mwezi, enzi ikiwa pspf Hadi ilipokuja kuunganishwa na kuwa psssf ,nazani 2018, mama aliendelea kupata pension ya kila mwezi Kama kawaida,
Mnamo 2020 August 30, alifariki dunia ,
Katika document zake aliniandika Kama mrithi yaan survivor,Sasa ndugu walipoenda kufatilia waliambiwa Inabidi ataftwe yule alieandikwa, ndipo nilipotaftwa,kwa ajili ya kuona Kama Kuna haki zozote za madai kwa huyu marehemu katika mfuko huo au ndo imeisha hivo hayo mafao ya warithi hayatakuwepo Tena?
Basi nimeona nililete hapa jamii forum ,nipate msaada najua humu Kuna wajuzi wa Mambo,.
Na huyo mtumishi Ni marehemu mama, alikuwa mnufaika katika mfuko huo Hadi mauti ilipomfikia.

Cheti Cha kifo nnacho , na muhitasari wa ukoo Kama msimamizi wa mirathi nnao, na mahakama ilishaniteua kua msimamizi wa mirathi ya marehemu mama.

Sasa naombeni kujua Sheria zinasemaje iwapo tunaweza kudai haki yake , sisi Kama survivors , au Basi alivokufa ndo Mambo yaliishia pale, baba yetu yeye hayupo tumebaki watoto tu na Mimi ndie kijana mkubwa ,

Naombeni kujua , maana Hadi Sasa Ni miaka 2 tangu mama afariki, na sisi Mambo ya Sheria hatuyafahamu, kuhusu huko psssf

Natanguliza shukrani wewe utakayesoma na kuweza kunisaidia walau nipate mwanga wa Jambo hilo

Mimi desmond
habari desmond, kwanza pole kwa kufiwa na mama yako. mimi pia nilifiwa na baba yangu na alikua akipokea pension ya mwezi, je ulifanikiwa kujua utaratibu kama inawezekana wategemezi kupata chochote kutoka kwenye mfuko wa hifadhi?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom