nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Imole

    Nahitaji support kwenye Tech entrepreneurship

    Habari za wakati huu JF Members. Dhumuni la thread hii ni kutafuta partners wa kushirikiana nao Kuunda team kudevelop ideas na kuzibadili ideas hzo kuwa ajira kwetu na kwa vijana wenzetu. Nimekuwa nikiwasoma baadhi ya wajasiriamali waliofanikiwa katika ujasiriamali teknolojia, Namna...
  2. P

    Nahitaji plot ya kununua Moshoni - Arusha

    Habari gani wanazengo? Nahitaji Plot safi maeneo ya Moshono, Arusha. Budget yangu TZS 7,000,000/= mpaka 9,000,000/= Kati ya Sqm 450 na 600sqm Kisiwe mbali na Lami. Iwe imepimwa safi kabisa. Mwenyenacho, tafadhali tutafutane.
  3. VMWare-Oracle

    Nahitaji meza ya kusomea na kiti

    Wasalaam JFs. Namtafuta mtu anayeuza vitu tajwa hapo juu. Meza iwe na droo moja. Pesa yangu 70,000 jumla
  4. Bexb

    Nahitaji Nissan Dualis Used

    Habari ya asbuhi wajumbe. Ninahitaji Nissan Dualis kaliii nzuri na isiyo na shida. Budget iliyopo ni 12.5M. Kama itakuwa moja kwa moja toka kwa mwenye gari itakuwa vema zaidi lakini hata kama itapitia kwa dalali basi awe wazi kujitambulisha kama dalali. Kama unayo tafadhali nicheki ili tuje...
  5. N

    Nahitaji mpenzi

    Hello habari zenu. NAMI nichukue fursa hii kutafuta mpenzi. Mimi ni mwanaume mwenye miaka 35,mwajiriwa serikalini, nimeoa mke yupo mkoani. Nahitaji mpenzi Ambaye: 1. Ana umri kuanzia 22 mpaka 33 2. Awe ana kazi inayomuingizia kipato/asiwe tegemezi. 3. Awe tayari kupima afya/HIV/Pregnancy test...
  6. Hassan Enzi

    Nahitaji Shule ya kufundisha kwa kujitolea

    Natafuta shule ya KUJITOLEA nafundisha masomo yote ya shule za msingi. Pawepo na angalau ya maji. Mana kitaa kinachosha
  7. V

    Gari ya kukodi inatafutwa

    Natafuta gari ya kukodi kwa mizunguko ya hapo Dar kwa wiki moja wakati wa likizo. Napendelea mfumo manual. PM na kiasi chako cha gharama kwa siku.
  8. westandtogether

    Nahitaji bank statement

    Habar wadau, Poleni na majukumu km kichwa Cha habar kisemavyo hapo juu, nahitaji mtu wa kunidhamini bank statement kwaajili ya matumiz ya safari ya nje. Ambapo tutakubaliana atanitoza kiasi gani? Kwa maelezo nicheki 0683263330
  9. R

    Nahitaji gari la kukodi aina ya Toyota fortune new model, Toyota everest new model, Toyota Prado new model

    Tarehe 13 October 2022 nitakuwa na send off ya bint yangu. Mwenye gari la kukodisha aina hizo hapo juu na liwe rangi nyeusi tuwasiliane. Root itakuwa kutoa ukumbini (Baracuda Hall) Tabata Baracuda saa za asubuhi kwa ajili ya kupambwa gari. Baadae jioni litamfuta Kimara Korogwe (salon) na...
  10. mens12

    Kila nikikutana nae kimapenzi tu basi siku inayofuata anaingia kwenye siku zake

    Habari wana jf, poleni na majukumu. Nimefikwa na jambo linalo nitatiza ikabidi niwakimbilie kupata msaada. Hivi karibuni nimepata mwanamke ambaye ameonesha upendo mkubwa na kunijali sana ila kuna kitu hakiko sawa naninahitaji ushauri au tiba hasa. Tatizo: Kila nikikutana nae kimapenzi tu basi...
  11. Chiwaso

    Nahitaji Min bus (COASTER) ya 26 seater ya kununua

    Za mchana wana JF, Kichwa cha habari kinajieleza. Bugget yangu ni 30mil. iwe ya namba E. Call 0759888018 for more details
  12. R

    Nahitaji min bus ya 26 seater ya kukodi

    Tarehe 13 October 2022 nina send off ya bint yangu, nahitaji huduma ya min bus kama vile toyota coaster, Nissan civilian nk. Root itakuwa kutoka nyumbani Tabata kwa Swai saa 11.30 jioni kwenda Tabata Baracuda holini kurudi nyumbani ni saa 6.00 usiku. Ni umbali kama km 5 hivyo go return ni...
  13. Tanteki

    Nahitaji semitrailer

    Nahitaji roli la kubebea mzigo songea hadi pwani mwenye nafasj piga 0629812001
  14. Planet Data bundles

    Nahitaji movie /series hizi hapa

    Location Dar!! -Haves and haves not season 4 kuendelea -Tyrant season 4 -Deep state season3 -Queen of south season4 -Condor season 3 Movie -the witch (ile ya kizungu) -Oblivion -inception (2010) Mode of payment -Exchange : Tunabadilishana series mi nakupa nilizonazo naww unanipa hizo -Nalipia...
  15. Sidee01

    Nahitaji kazi

    Jamani nahitaji msaada wa kazi yoyote ya halali, maana hali ni mbaya kwangu. Niko tayari kwa kazi yoyote, maana ntaisha kwa njaa. Nisaidieni jamani.Nipi boko Dar.
  16. bahati93

    Msaada: Nahitaji tiba la limbwata

    Wanaumee kamanda hapa nahitaji msaada wa haraka sana. Nahisi manzi yangu kanitengeneza kwa watalamu, hivyo nataka nitegue ambaye anajua tiba anieleze hapa. Nimeanza kuhisi kutengenezwa kwa sababu nikianza kugombana naye tuu na Mashine inaamka! Kadiri navyojaa nyembe na kuzitema kwa kufoka foka...
  17. Dr. Zaganza

    Nahitaji infinix smart 6 used

    Habari wakuu, mwenye simu tajwa hapo juu , nicheki kwa 0713 039 875
  18. Mr mdandavuzi

    Iwapo itampendeza Mwenyezi Mungu, nahitaji Mke

    Mimi ni kijana mwenyewe umri wa miaka 34, muislam, natokea familia ya kawaida sana, elimu yangu ya kawaida sana, ninafanya kazi halali ya kumpendeza Allah. Nahitaji rafiki mwenye hitaji la kuwa mama wa familia. Sichagui dini, umri kuanzia 20 mpaka 32, awe mkweli mwenye hofu na Mungu. Mengine...
  19. F

    Nahitaji Mtu mwenye Post Gradute ya CBE Supply Chain

    Habari wana bodi, Kama una kijana nahitaji awe na PGD ya Supply Chain preferable from CBE. Anichek PM nimpe email atume CV urgent.
  20. GENTAMYCINE

    Nahitaji 'Critical Thinking' katika Kulijadili Tukio Baya la Jana Kawe Maringo

    Kutokana na Unyeti wa hilo Eneo na maeneo mengi ya Kawe ambayo kwa 75% yanazungukwa na hata kukaliwa na Majeshi yetu JKT na JWTZ naomba GENTAMYCINE niwe muwazi kuwa siamini na nakataa kuwa Wahusika ni hawa Panya Road tunaowaimba kila Uchao. Inakuwaje Eneo lililotokea Tukio Baya jana liwe na...
Back
Top Bottom