nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Baba Ndubwi

    Nahitaji godauni (Godown)la kupangisha Zanzibar

    Wakuu kherii. Ninahitaji godauni la kupangisha hapa Zanzibar. Liwe la mita 100-120 bila kujali upana ni ngapi mita. Lisiwe mbali saana na mjini kati. Mwenye kufahamu mahali laweza patikana au kama unalo tuwasiliane kwa PM. Karibuni.
  2. emmarki

    Nahitaji mbegu F2 za mbogamboga

    Habari, Ninahitaji mbegu F2 za mbogamboga zifuatazo. CARROTS SPINACH (Fordhook Giant) SUKUMAWIKI (Collards Green) BEETROOTS Nachukua mpaka kilo 50 kwa kila aina ya mbegu 0752042670
  3. Ibn Abdillah6

    Budget 260k nahitaji Simu

    Offer yangu 260k simu ikiwa kali naongeza pesa.. Mali halali Android Phones Only Simu iwe kwenye good condition.. Na iwe double line.. Nichek 0733575632 tufanye biashara
  4. Mganguzi

    Msaada tafadhari Nahitaji kitabu cha lejendari Mr II Jongwe, Sugu au Taita

    Mwenye navyo au mwenye nacho ani dm, tafadhari .
  5. GENTAMYCINE

    Nahitaji 'Kudanganywa' zaidi kuwa Maafande akina Mbuge na Gaguti wametumbuliwa kama RC's ili Kupandishwa Vyeo vya Kijeshi

    Na mkinijibu hili naomba mniambie pia je, na wale waliokuwa Mawaziri akina Kabudi na Lukuvi tulioambiwa watakuwa Jirani nae hivi sasa wanafanya nini? Kazi ipo.
  6. Jolvin J Lug

    Mchumba wangu anashida pindi anapokutana na jambo gumu katika mawazo(stress) huzimia

    Habari za majukumu na JF. Nina mpenzi wangu ambae nampenda pia nae ananipenda. Na tumekua na mahusiano yaliyodumi kwa muda wa mwaka mmoja Mara kadhaa ameniomba nimpelekee moto nimekua nikimzungusha kwa sababu mi nimuathithika wa Virus vya Ukimwi na yeye anajua. Hatimae siku moja nikafanya...
  7. Ene magari

    Dereva wa Uber na Bolt natafuta gari la mkataba

    Kwa jina Naitwa Ernest ni dereva Uber na Bolt mwenye uzoefu katika kazii hii nina leseni yenye madaraja yote nilikuwa natafutaa Gari ya kazi iwe yenye private namba Au commercial kwa ajili ya kazi ' Kwa mawasailiano zaidi Ernest : +255628729873 Naomba ushirikiano wenu
  8. Mwenda_Pole

    Nahitaji kununua sola, ushauri wenu please

    Waheshimiwa nahitaji kununua solar panel pamoja na vifaa vyoote Kwa ajili ya matumizi yafuatayo. 1 Kuwasha taa 10 nje na ndani ya nyumba 2 Kuwasha TV 3 . Redio 4. Kichaji Naomba msaada kwenye maeneo yafuatayo A. Ukubwa WA panel B ukubwa WA inverter B. Nyaya C.mahitaji mengine Nitafurahi kama...
  9. Natafuta Ajira

    Nahitaji dawa ya kupunguza nguvu za kiume

    Natafuta dawa ya kupunguza nguvu za kiume, ni hali ambayo inanisababishia changamoto kadhaa katika mahusiano yangu yote. Naweza kupiga pump non-stop mpaka masaa manne mfululizo na mashine bado inakua na hasira kama nyati aliejeluiwa ila sasa mwenzangu anakua tayari ashachoka sana sometimes...
  10. N

    Nahitaji connection AUWSA - Kuunganishiwa Maji Taka Kwa Haraka

    Kwema Wakuu. Nahitaji Mtu wa Kunisaidia Niunganishiwe Huduma Tajwa Hapo Juu (kwa Haraka). NB: 1. Nyumba Ipo Hapa Arusha (Ya Wapangaji) 2. Mimi ni Muajiriwa Mahali na Sina Muda Wakwenda Kupanga Foleni AUWSA kufuata Procedure/s Karibu PM tuyajenge/tumalizane
  11. Isolated

    Nahitaji connection

    Wakuu Habari zenu Nina mdgo wangu anahitaji kusoma kosama kozi za afya Lakini matokoe yake Ya advance pamoja na ukweli na competition... ni ngumu kutoboa tofauti na miaka ile Sisi tunasoma div2 ya 10 unapata kozi yoyote ya afya.. Dogo Kavurugwa anataka kozi za afya Nime jaribu kumshawish...
  12. S

    Nime-apply chuo NACTE nahitaji kujua tulio apply ni wa ngapi?

    Maana nikingia kwenye tovuti ya NACTE kuna sehemu imeandikwa applicant choose as:36 afu kwa mbele wameandika capacity 50 Sasa naomba kuuliza Hao 36 ndo idadi ya watu walio apply.. Samahan lakin kwa usumbufu
  13. westandtogether

    Nahitaji mtu wa kusajili kampuni

    Habari wanaJF? Polen na kazi ya kujenga taifa letu, lengo kuja kwenu ni kuomba msaada kwa mtu au kampuni ambayo wanajihusisha na shughuli za usajili kampuni brela, nahitaji mtu ambae atanifanyia process za usajili wa kampuni kuanzia company name registration untill taratibu ya kufanya malipo...
  14. MOSintel Inc

    Nahitaji setups za Adobe(PS, XD, Illustrator na Premiere) ambazo ni cracked

    Habari wakuu, msaada tutani. Naomba mwenye setups za Adobe(PS, XD, Illustrator na Premiere) ambazo ni cracked, anisaidie. Nipo Dar es Salaam. Nijulishe tuyajenge DM. Nitakujali hela ya maji ya kunywa kwa kutumia muda wako. Natanguliza shukrani.
  15. T

    Nahitaji baiskeli aina ya Phoenix

    Hellooo wakuu habarini, Nahitaji kufahamu panapouzwa baiskeli aina ya Phoenix nahitaji kwa wingi sana kama mia moja au mia mbili nisaidieni location au namba za WAUZAJI Mawasiliano yangu ni +255686978566
  16. JOHNGERVAS

    MWENYE ANAUZA HIVI NAHITAJI.

    Nahitaji viti kama hivyo mwenye anavyo vipya nataka saba aje PM na bei yake
  17. G

    Nahitaji Canter Tipper (dump a.k.a inayobenua)

    Maelezo zaidi Engine 4D (33-35) Spring iwe juu Gari iwe kwenye hali nzuri. Bei 19m (negotiable kidogo) Check me pm
  18. Joao de Matos

    Nahitaji kuzifahamu hizi bunduki

    Hi inaitwa Tavor, Naomba kuifahamu zaidi kuwa ina inauwezo gani na Ni Aina gani. Ya pili Ni hi Inaitwa double barrel Gilboa snake rifle, Sijaelewa inakazi gani maana Naina in sehemu mbili za kutoa risasi Sasa sijajua inakazi gani. Na nimeona hata Jwtz wanaitumia Sasa sijajua inakazi gani...
  19. Kurunzi

    Nahitaji Laptop Dell au HP Bajeti yangu ni 350k

    Ram4 Hardidisk 500gb Processor 2.50ghz Corei5, Charge 4 hours Bei 350k
  20. H

    Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend

    Thread closed. [emoji1374]
Back
Top Bottom