nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Nahitaji kusafirisha vitu vya ndani kutoka dar es salaam kwenda Songea!

    Naombeni msaada ni njia gani cheap na salama naweza kutumia Kusafirisha vitu ya ndani kutoka Dar es salaam Hadi Songea!🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Na Bei za usafirishaji zipoje?
  2. Mtanzania Mnyonge22

    Nahitaji Connection ya Madini ya Sapphire

    Habari Wakuu, Naomba kujua nitapata wapi Madini Haya kwajili ya Ununuzi. spinal sapphire aquamarine tourmaline Tafadhali Watanzania wenzangu tusaidiane tusifanyiane choyo.
  3. Zombie S2KIZZY

    Kisa cha kweli : Nahitaji mnisaidie wakuu

    Habari za muda huu wakubwa Itaendelea
  4. C

    Nahitaji Mwalimu wa Tuition STD 4 - Mbweni Malindi

    Habarini Wakuu Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nahitaji msaada wa Mwalimu wa tuition MWENYE UZOEFU kwa Mwanafunzi wa kike wa darasa la 4. Awe anaweza kufika Mbweni Malindi/JKT, Dar es Salaam siyo chini ya mara 3 kwa wiki. Kwa mawasiliano 0625536529. Asanteni
  5. Natafuta Ajira

    Nahitaji shughuli yoyote mkoani Iringa

    Wakazi wa Iringa mjini kwa yoyote mwenye nafasi au anajua sehemu ambayo naweza kupata nafasi ya shughuli yoyote hapa Iringa mjini kama kubeba/kupanga mizigo godown/store, kibarua shambani kwa kipindi hiki cha kilimo, cash wash, kujaza mafuta sheli, kuuza duka/stationary, uhasibu, huduma za...
  6. R

    Nahitaji kusafirisha mazao kutoka Karagwe mpaka Dar es Salaam

    Habari wakuu, Naomba mwenye usafiri au mwenye kujua bei za kusafisha mazao kutoka Karagwe kwenda Dar anijuze ni shilingi ngapi kwa gunia la kilo 100. Asanteni
  7. P

    Nahitaji shamba linalouzwa Kibaranga, Muheza

    Habari zenu wakuu, Nahitaji shamba linalouzwa Kibaranga, Muheza nijuwe ukubwa na bei. Unaweza nijibu hapo or kwa private. Nashukuru
  8. D

    Nahitaji Trucks (Canter na Fuso kwa mkataba)

    Hello. Nahitaji magari yafuatayo kwa mkataba. Kama ambavyo watu hutoa mkataba wa pikipiki na gari za Uber. Nahitaji; 1. Fuso 10 Tone. 2. Canter 3.5 Tones. Au Eicher au Tata.
  9. Masai wa Town

    Nahitaji mawakala wa mauzo kwa Mkoa wa Morogoro tu

    Nawahitaji mawakala wa mauzo kwa mkoa wa Morogoro na Wilaya zake zote. Bidhaa Ni JikoKoa, Aina ya majiko ya kisasa yanayopunguza matumizi ya mkaa kwa hadi 70%. Majiko Ni mazuri na yanapendwa Sana. kampuni yetu inauza jiko moja kwa 46,000 tu, ukilinganisha na kampuni zingine wanaouza 120,000...
  10. Melancholic

    Nina umri wa miaka 30, naishi kwa kaka yangu, watu wananidharau naombeni ushauri

    Habarini za weekend ndugu zangu natumai mmeamka vema sana. Mimi kuna jambo kidogo linanitatiza nahitaji ushauri wenu. Ni hivi january ya mwaka 2020 kaka yangu alikuja mkoani basi baada ya kutusalimia aliamua kunichukua na kuja nae hapa dar es Salaam. Basi baada ya kuja huku alinipeleka kwa...
  11. sisco23

    Nahitaji channel ya Youtube

    Wakuu, mambo vipi nahitaji Youtube channel yenye Adsense yake mwenye nayo tuwasiliane pesa ipo nichek kwa namba 0767893175
  12. R

    Nahitaji fundi Dar mwenye uwezo wa urembo Gypsum kama huu

    nilipita sehemu mwaka juzi nikaona Ceiling nzuri kama hii. Nilipiga picha. Watalaam twambieni inahitaji makario kiasi gani cha pesa Sitting room kama hii. Fundi kama yupo tuanze kazi as soon as possible
  13. Dra Maxie

    Kuna kitu wana JF hawakijui?

    Habar za new year Leo ningependa tu kuuliza kiroho safi Hivi kuna kitu wana JF hawakijui kweri maana mm naona kila kitu wanajibu Inakuwaje
  14. Blauzi mbovu

    Nahitaji ufafanuzi wa kodi ya biashara

    Habari zenu wakuu ! Leo nakuja kwenu nikihitaji ufafanuzi wa masuala kadhaa yanayohusisha kodi ya biashara. Ni kiasi cha miaka minne sasa tangu niingie ktk ulingo wa kutafuta maisha kupitia biashara. Nimekuwa nikihangaika na biashara tofauti tofauti za kila namna lengo niingizie kipato...
  15. MomTriplets

    Nahitaji mwenzi wa maisha

    1. Mimi ni msichana wa Miaka 28, ninaishi Dar. 2. Nina mpenda na kumtukuza Mungu aliyehai, dhehebu langu ni KKKT. 3. Elimu yangu ni Degree na ninafanya kazi pia. 4. Napenda kufurahi, kujifunza mambo mbalimbali in all aspects of life kutoka kwa watu wenye positive mind na kufanya maendeleo...
  16. D

    Nahitaji viatu vya shule kwa wingi

    Hello wakuu nahitaji viatu vya shule pair 300 vya bei nafuu Kwa kituo Cha kulelea watoto yatima nataka nikatoe msaada. Bajeti yangu Kwa Pair Moja ni 10k naomba anayejua chimbo aniunganishe. Mm PM yangu siwezi ku access labda unitumie hapa location au namba nitakutafuta. Nahitaji Kwa kesho au...
  17. Play station

    Msaada: Nahitaji kuhama kutokea Taasisi A kwenda Taasisi B za Serikali, Nifanyeje?

    Habarini ndugu zangu wa JF natumahi nyote ni wazima! Tafadhali naombeni ushauri juu ya hiki kisa changu. Mimi ni mtumishi mpya wa serekali ,nafanya kazi taasisi A ambayo haiko kwenye mfumo wa cheki namba wala huduma za lawson. Nina miezi minne kazini! Kabla sijasaini offer nilikuwa na pending...
  18. kali linux

    Nahitaji Beta Testers kwa hii App

    Hello bosses... Kama kichwa kinavyosema naomba watu wanaofanya jogging au mazoezi ya kutembea kunisaidia kutest hii app. Ni very simple kutumia, app inapima steps ulizotembea au kukimbia, inacalculate distance pia inakupa avg speed yako. Nahitaji testers wa aina tofauti tofauti ili nijue kama...
  19. L

    Nahitaji Guest Mbeya au Tunduma

    Nahitaji guesti ya Bei nafuu Mbeya Mjini au Tunduma iwe tu mahali salama
  20. Bexb

    Nahitaji toyota raum new model

    Habari ya usiku wakuu. Nimekuja tena kijana wenu kwani naamini JF ni uwanja wa suluhisho. 🔥Ninahitaji TOYOTA RAUM NEW MODEL iwe na engine ya 1490cc. 🔥Gari iwe na namba kuanzia DW, DX, DY, na kuendelea. 🔥 Iwe katika hali safi kabisa isiyo na tatizo lolote 🔥ISIWE rangi nyeupe. 🔥Iwe na nyaraka...
Back
Top Bottom