Mamujay Senior Member Dec 24, 2022 150 342 Feb 22, 2023 #1 Ndugu zangu nahitaji anayeuza fremu za biashara hata kama nyumba ya nyuma utabaki nayo (Kama ipo) eneo lililochangamka Aniuzie fremu tu za biashara niwe nazipangisha na kufanyia biashara zangu
Ndugu zangu nahitaji anayeuza fremu za biashara hata kama nyumba ya nyuma utabaki nayo (Kama ipo) eneo lililochangamka Aniuzie fremu tu za biashara niwe nazipangisha na kufanyia biashara zangu
F FRESHMAN JF-Expert Member Sep 29, 2011 8,822 33,532 Feb 22, 2023 #2 Hiyo ngumu sana. Wenzako wanatumia mbinu ya kununua kiwanja kinachofaa kujengwa fremu. Hata kama ni kidogo wanakinunua tu. Kisha wanajenga fremu na kufanya biashara wanayotaka. Ni ngumu sana kupata mtu akuuzie fremu zake. Maana fremu zinaingiza kodi kubwa kuliko nyumba za kuishi. Pia fremu zina faida sana kwa mmiliki. Mbinu ya pili unaingia mkataba na mwenye kiwanja sehemu nzuri zilizochangamka. Wewe unajenga fremu idadi kazaa.. kisha mnagawana zingine zinakuwa mali yako na zingine mali ya mwenye kiwanja
Hiyo ngumu sana. Wenzako wanatumia mbinu ya kununua kiwanja kinachofaa kujengwa fremu. Hata kama ni kidogo wanakinunua tu. Kisha wanajenga fremu na kufanya biashara wanayotaka. Ni ngumu sana kupata mtu akuuzie fremu zake. Maana fremu zinaingiza kodi kubwa kuliko nyumba za kuishi. Pia fremu zina faida sana kwa mmiliki. Mbinu ya pili unaingia mkataba na mwenye kiwanja sehemu nzuri zilizochangamka. Wewe unajenga fremu idadi kazaa.. kisha mnagawana zingine zinakuwa mali yako na zingine mali ya mwenye kiwanja
Mtukutu wa Nyaigela JF-Expert Member Sep 4, 2018 6,545 11,095 Feb 22, 2023 #4 Mamujay said: Ndugu zangu nahitaji anayeuza fremu za biashara hata kama nyumba ya nyuma utabaki nayo (Kama ipo) eneo lililochangamka Aniuzie fremu tu za biashara niwe nazipangisha na kufanyia biashara zangu Click to expand... njoo hapa big bon kariakoo
Mamujay said: Ndugu zangu nahitaji anayeuza fremu za biashara hata kama nyumba ya nyuma utabaki nayo (Kama ipo) eneo lililochangamka Aniuzie fremu tu za biashara niwe nazipangisha na kufanyia biashara zangu Click to expand... njoo hapa big bon kariakoo
R raslimali JF-Expert Member Nov 4, 2014 1,344 1,013 Nov 16, 2023 #5 Kama hujapata na unataka Arusha zipo fremu tano (semi finished) Njiro ndani ya uwanja mkubwa 40m x 48m. Bei 75 mllion
Kama hujapata na unataka Arusha zipo fremu tano (semi finished) Njiro ndani ya uwanja mkubwa 40m x 48m. Bei 75 mllion