Tanzania yetu ni moja kati ya nchi zinazoongoza Duniani kwa ongezeko la watu, kwa mujibu wa statista mwaka 2100 nchi yetu itakuwa zaidi ya watu milioni 200 na moja kati ya nchi kubwa kwa idadi ya watu Duniani.
Najiuliza hao watu watakula nini? Wataishi wapi na kulala wapi? Duh, sipati...
Biblia inasema baada ya mpela mpela nyingi Duniani, Mungu aliamua kumtuma Mwanae pekee mwenye uwezo kama yeye aje Duniani kutangazaa neema na ukombozi, kuhubiri amani na upendo, kuasa watu kua wema na watende mema, wasiishi kwa mazoea ya Nabii Musa na mengine, wasilipe baya kwa baya bali walipe...
Awali ya yote napenda kukiri kwamba sijatumwa wala kutumika na yeyote kuandika juu ya hii mada, ni maoni na mtazamo wangu binafsi na pengine ni mtazamo wa wengine wengi wanaomtazama Lowassa kama ninavyomtazama mimi.
Katika ulimwengu wa siasa, jambo dogo linaweza kujadiliwa kwa marefu na mapana...
Aman iwe nanyi wakuu
Kwa kweli inchi yetu inaelekea shimoni aisee
Rais anapewa sifa za Kimungu na hakemei
Hakuna hata kiongozi mmoja wa dini ambaye kajitokeza na kukemea
Ni kweli Rais anachapa kazi lakini siyo kwa sifa hizi anazopewa
Nahofia siku moja mwenyezi atatupiga upupu kwa ushenzi wa...
Waziri wa Mambo ya Nje Prof. Kabudi ametoa tafsiri ya jina la John kwa mujibu wa Biblia kuwa ni mtu aliyependelewa na Mungu wa mbinguni na kupewa baraka zote.
Tafsiri hii imetolewa na Prof Kabudi mbele ya Rais Magufuli, nami Johnthebaptist nakubaliana na huyu mzee wangu wa Kanisa pale St Alban...
Kuingia madarakani kwa Donald Trump ilikuwa kwa nguvu na njama za Israel ili kukamilisha agenda zao za kuimeza Palestina. Na kweli tangu kuingia madarakani matarajio yote ya Israel yametimia.
Amehamisha ubalozi ya Marekani kuupeleka mji wa Jerusalem ambao Wapelestina katika makubaliano yao ya...
Natafuta rafiki wa kike ambae huenda baadae akawa mke wangu.
Sifa zangu ni:
1. Mtaratibu
2. Mkarimu
3.Mrefu wastani
4.Mwenye ya mungu
5.Mwenye heshima na upendo
6.Umri wangu miaka 23
Awe na sifa angalau kati ya hizi
1.Awe na hofu ya Mungu
2.Mwenye kuvalia kawaida
3.Mkarimu
4.Mwenye...
MUNGU ANISAIDIE NISIJE KUWA NA KIBURI - RAIS MAGUFULI
"Siku zote nimekuwa nikimuomba Mungu anisaidie kamwe nisije nikawa na Kiburi, nikajiona mimi ni kiongozi. Nitaendelea kuwa mtumishi wenu na muda wangu ukimalizika nitarudi kijijini," - Rais Magufuli.
Kusema ukweli nimeona aibu kuiangali hii video, nimesoma tu heading kwenye video, maana ni aibu ilioje kuina na kusikia binadamu mwenzako akiitwa Mungu, nimeona aibu sana. Kwa wenye ujasiri wa kuangalia naomba muangali halafu mtuhadithie. Video ipo chini hapo.
1. Mungu hajibu hisia za mtu wala kukupatia unaempenda sana, bali anakupa mtu anaemtaka yeye na utakoma kwa sonona la miaka mingi.
2. Picha ulizo nazo kichwani tupa kule, Mungu ana picha zake akikupa moja utahangaika nayo hadi uzee wako na hutopona kisukari na presha.
Kama upo kwenye mkesha wa...
Katika hali inayoonyesha kuwa Wanaume wa sasa tumeshachoka na Vitendo vya ' Uchepukaji ' na ' Dharau ' nyingi kutoka kwa Wanawake zetu ambao huwa wakianza tu Mahusiano ya Kimapenzi na Wanaume wengine sasa umekuja ' Ubunifu ' mpya ambapo Wanaume wa sasa ' hawauwi ' tena na badala yake wanachoma...
Askofu Mkuu, Mheshamu Nyaisonga. Hii ni barua yangu ya wazi kwako ikiwa imebeba kichwa cha habari tajwa.
Napenda kujitambulisha kwako kama raia wa kawaida ambaye ninajali sana jinsi ninyi viongozi wetu mnavyoshiriki masuala ya kila siku ya Taifa letu.
Jana nimesoma juu ya mahubiri yako kwa...
Hamna kitu kilichokua kikinikera kama mwalimu kuja kutuuzia vitumbua darasani au unakuta mwalimu anakuja na ubuyu wake katengeneza kwake anauza darasani nilikua sipendii tena nilikuaga mnoko nikiitwa ofisini kwa head master kuwataja walimu wauza ubuyu
LEO HII NDIO naelewa maskini mimi kumbe...
Kawaida ya mwanadamu naturally anavutika kuamini vitu ambayo vipo katika kanuni zake za maisha yaani kanuni za fizikia (Law of Physics) kwa mfano kuona, kusikia, kuonja,kugusa nk.
Kwahiyo, sisi ni rahisi kuamini vitu tunavyoweza kuviona, kusikia na n.k ili kupata ushadihi wa uwepo wa vitu...
Ndugu Watanzania wenzangu, Najua Serikali yoyote inawekwa na Mungu na hata Serikali tulio nayo naamini iliwekwa na Mungu. Ila from no where kumetokea sijui na washauri wabaya ama mwenye taifa basi mambo sio mambo.
Mbaya kuliko yote nikuwepo kwa kajikundi samahani lakini mimi nakaita kajikikundi...
Mungu katika vitabu vyake amesema haki huinua taifa
Hakika hii ni kweli Mungu amewatia upofu wanasiasa wasiione haki
amewatia upofu watunga Sheria wasiione haki
Amewatia upofu viongozi wa dini wasisimame kukemea uovu
Amelitia upofu taifa na kututia minyorororo tusione dhambi hizi akilini...
Uongozi wa CCM hasa mwnyekiti wwtu anayebariki kila wazo ndani ya chama-upinzani unafaida nyingi kuliko hasara.
Hata raisi wetu mpendwa kuwa katika nyazifa hiyo haikuwa bahati mbaya ni kutokana na upinzani uliokuwepo ndani ya chama uliofanya mapaungufu ya wenzake kuonekana wazi wazi mbele ya...
Mkazi mmoja huko nchini Malaysia aitwa K Ganesh amehukumiwa kwenda jela kwa miezi 34 kwa kosa la kumuua paka ambaye alikuwa na mimba kwa kumuweka ndani ya mashine ya kufulia nguo.
Kwa sheria za haki za wanyama nchini humo ni kosa kwa mtu kufanya kitendo hicho cha ukatili kwa wanyama kwani hata...
Kocha wa club ya FC Barcelona mhispania Ernesto Valverde ameendeleza wimbi la matokeo mabovu baada ya kulazimishwa sare pacha na timu kutoka Czech Republic ikifahamika kama Salvia Praha katika dimba lao la nyumbani la Camp Nou hii ni baada ya wikend iliyopita kupokea kipigo cha mabao 3-1 kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.