Tunaendelea …
Tuliishia kwenye kuumbwa kwa Arshi Tukufu.
Mtume Mtukufu Muhammad (saw), anatufundisha kuwa, baada ya Arshi tukufu, kilicho fuata ni. Kaalam(Pen).
Mtume wa Allah (sw) alipozungumza kuwa Allah (sw), aliiumba Kalaam, aliendela kusema kuwa, wakati Kaalam inaumbwa, Arshi Tukufu...