Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,239
- 113,612
Mapema leo Rais Magufuli akizungumza na TAG, alimwaga kimombo kwa Mmarekani aliyekuwepo ukumbini akimpa ujumbe wa kuupeleka kwao huko Marekani.
Siku za hivi karibuni wale waliokuwa wanayatumia hayo mafua ya Corona kama silaha ya kisiasa dhidi ya Rais Magufuli, siku hizi wamekuwa wapole sana. Wamekuwa kimya kabisa.
Hata ukiwaona hadharani, hamna hata mmoja wao anayevaa barakoa. Hakuna hata mmoja wao anayeacha nafasi kati yake na wengine.
Hata wale ‘critics’ wa humu nao kimya. Halafu hawa ‘critics’ wa humu ni wanafiki ile mbaya.
Walikuwa ni wepesi sana wa kumkosoa Rais Magufuli kuhusu Corona.
Lakini ikija kwa mungu wao Lissu na anavyozikiuka hizo taratibu za kujikinga na Corona, wanakuwa kimya kama maji ya mtungini.
Wameishiwa. Wamefilisika ki-hoja. Wamebaki kurusha matusi hewani tu.
Haya hebu msikilize hapa Rais Magufuli akimwaga umombo mithili ya Sir Winston Churchill 😉.
Siku za hivi karibuni wale waliokuwa wanayatumia hayo mafua ya Corona kama silaha ya kisiasa dhidi ya Rais Magufuli, siku hizi wamekuwa wapole sana. Wamekuwa kimya kabisa.
Hata ukiwaona hadharani, hamna hata mmoja wao anayevaa barakoa. Hakuna hata mmoja wao anayeacha nafasi kati yake na wengine.
Hata wale ‘critics’ wa humu nao kimya. Halafu hawa ‘critics’ wa humu ni wanafiki ile mbaya.
Walikuwa ni wepesi sana wa kumkosoa Rais Magufuli kuhusu Corona.
Lakini ikija kwa mungu wao Lissu na anavyozikiuka hizo taratibu za kujikinga na Corona, wanakuwa kimya kama maji ya mtungini.
Wameishiwa. Wamefilisika ki-hoja. Wamebaki kurusha matusi hewani tu.
Haya hebu msikilize hapa Rais Magufuli akimwaga umombo mithili ya Sir Winston Churchill 😉.