Omba Mungu baba yako afe akiwa ameshakusomesha

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,927
Baba yangu amefariki ameondoka duniani nimeumia Sana niliishi nae miaka 38 ya uhai wetu tukiwa pamoja Mimi nayeye.

Namshukuru baba yangu alinisomesha siishi kwa tabu duniani.

Mungu amlaze baba yangu mahali pema kabisa kwa namna alivyonisaidia hapa duniani.

Naumia Sana baba yangu nilikupenda Sana baba naumia Sana ila Sina namna namshukuru Mungu hata kwa uwepo wako kwenye maisha yangu.

Wewe ni shujaa wangu baba.

Rip dady.
 
Baba yangu amefariki ameondoka duniani nimeumia Sana niliishi nae miaka 38 ya uhai wetu tukiwa pamoja Mimi nayeye.

Namshukuru baba yangu alinisomesha siishi kwa tabu duniani.

Mungu amlaze baba yangu mahali pema kabisa kwa namna alivyonisaidia hapa duniani.

Naumia Sana baba yangu nilikupenda Sana baba naumia Sana ila Sina namna namshukuru Mungu hata kwa uwepo wako kwenye maisha yangu.

Wewe ni shujaa wangu baba.

Rip dady.
Pole mkuu
 
Baba yangu amefariki ameondoka duniani nimeumia Sana niliishi nae miaka 38 ya uhai wetu tukiwa pamoja Mimi nayeye.

Namshukuru baba yangu alinisomesha siishi kwa tabu duniani.

Mungu amlaze baba yangu mahali pema kabisa kwa namna alivyonisaidia hapa duniani.

Naumia Sana baba yangu nilikupenda Sana baba naumia Sana ila Sina namna namshukuru Mungu hata kwa uwepo wako kwenye maisha yangu.

Wewe ni shujaa wangu baba.

Rip dady.
Kuzaliwa maskini sio kosa lakini kufa maskini ni kosa kubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom