Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Baba yangu amefariki ameondoka duniani nimeumia Sana niliishi nae miaka 38 ya uhai wetu tukiwa pamoja Mimi nayeye.
Namshukuru baba yangu alinisomesha siishi kwa tabu duniani.
Mungu amlaze baba yangu mahali pema kabisa kwa namna alivyonisaidia hapa duniani.
Naumia Sana baba yangu nilikupenda Sana baba naumia Sana ila Sina namna namshukuru Mungu hata kwa uwepo wako kwenye maisha yangu.
Wewe ni shujaa wangu baba.
Rip dady.
Namshukuru baba yangu alinisomesha siishi kwa tabu duniani.
Mungu amlaze baba yangu mahali pema kabisa kwa namna alivyonisaidia hapa duniani.
Naumia Sana baba yangu nilikupenda Sana baba naumia Sana ila Sina namna namshukuru Mungu hata kwa uwepo wako kwenye maisha yangu.
Wewe ni shujaa wangu baba.
Rip dady.