mume

Numerous computer and video games have been inspired by J. R. R. Tolkien's works set in Middle-earth. Titles have been produced by studios such as Electronic Arts, Vivendi Games, Melbourne House, and Warner Bros. Interactive Entertainment.

View More On Wikipedia.org
  1. Mboka man

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi watu wanaotafuta mke au mume wa ndoa mitandaoni wanapataga kweli watu sahihi?

    Mara nyingi mitandaoni nimekuwa nikishuhudia mitandaoni sativa ski post mata ohoo natafute MTU wa kuoa, au nahitaji Mwanaume serious wa ndoa mwenye sifa hizi Mara zile . Napenda kuuliza, hivi hawa watu wanapataga watu sahihi kweli katika mahusiano ya ndoa?
  2. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mama Samia ni rais lakini bado ana mume, wewe mshahara laki 3 unamtosa mumeo ili uwe single mama!

    Mama Samia ni mfano bora sana kwa wanawake wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Pamoja na kushika nafasi kubwa serikalini kwa muda mrefu lakini bado ameendelea kumheshimu mumewe na hivyo kudumisha ndoa yake. Wapo wanake wengi tu ambao wakipata nafasi bora ama kipato Bora kuliko waume zao basi...
  3. 2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kupitia kisa hiki, kama mume ungechukua hatua gani? Wanawake Je huyu mwenzenu yuko sahihi?

    Imemtokea mdogo wangu ukoo mmoja saivi anazidi kukonda tu: umri wa wote ni kati ya 21-27. Alimpenda dada mmoja 2018,mtoto wa kike nae alimpenda pia jamaa akawa serious nae na kutangaza kuishi nae,huyo dada akadai ana mtu mwenye malengo nae(ndoa) ambaye pia wazazi wanamjua. Basi dogo akampa...
  4. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Mume wa Rais katika dunia ya mfumo dume

    Mume wa Rais ni mtu wa muhimu sana katika jamii, kama alivyo mke wa Rais. Katika dunia ambayo bado ni mfumo dume, mume awe tayari kukutana na changamoto katika jamii. Ninakumbuka wakati wa G8 summit, mume wa Angela Marckle alijikuta akiongozana na wake wa Marais katika kutembela shughuli za...
  5. Shark

    JamiiForums Tanzania Nini Majukumu ya Mume wa Rais (First Gentleman) Kiserikali?

    Wakuu Kwema? Kama mnavyofahamu kwa mara ya kwanza Tanzania tumepata Rais Mwanamke baada ya Rais aliye madarakani kufariki kwa kuumwa. Sasa baada ya kuwa na Rais Mwanamke, nini yatakuwa majukumu ya Mumewe? Je, naye atakuwa anaandamana na Mkewe (Rais) kila anapoenda? Mwenye kufahamu hili...
  6. GeoMex

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aeleza walivyokubaliana na mume wake kutafuta watoto nje ya ndoa

    Dar es Salaam. Mkazi wa Tabata Liwiti, Magreth Silaeli (37) ameieleza Mahakama ya Mwanzo Buguruni kuwa walikubaliana na mume wake, Raymond Kulaya (44), waachane kwa muda ili kila mtu akatafute watoto “anapopajua” baada ya kuishi miaka mitano bila kupata mtoto. Magreth sasa anaiomba mahakama...
  7. Digital base

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke mkweli na muwazi anayejua kutunza upendo wa mume

    Habari ya leo wakuu,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 Elimu yangu kidato cha nne Umbo la mwili wangu ni mwembamba na mrefu kiasi. Kabila langu Mnyamwezi naishi Dar. Kazi yangu Mjasiriamali/biashara Dini yangu mkristo. Mke nnaye muhitaji awe mweupe/ maji ya kunde Umri kuanzia miaka 23 Awe...
  8. Kasomi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kaka/Dada soma kwa makini post hii

    Wasichana wanne waliingia katika mkutano wakiwa wamevaa nguo mapaja yakiwa nje. Kabla ya mkutano kuanza mzee mmoja alikuwa ndiye mwenyekiti wa mkutano huo. Mzee huyo aliwaangalia kwa makini wasichana hao kicha akawakaribisha kwenye mkutano huo. Baada ya hapo mzee huyo aliwaambia binti zangu...
  9. mzibua chemba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ni ubwege kumsaidia mke wako kufua, kupika na kwenda sokoni?

    Najisikia vibaya sana kila wanaume wanavyonisema kuwa mimi ni mume bwege kisa namsaidia wife vikazi kazi. Huwa sometime napenda kumsaidia kufua vyupi au kupika spesho msosi na siku naamua naenda zangu sokoni nanunua mahitaji ya home sasa hii imepelekea majirani kunikalia vikao kua nimelishwa...
  10. Hornet

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke kuvaa nguo ya mumewe/mpenzi....

    Umeshawahi kukutana na hili? Utajisikiaje/unajiskiaje unavyorudi nyumbani unamkuta bibie amevaa shirt/t-shirt/pensi ama surual yako? Au akaomba kuvaa saa yako wakati anatoka! Unafikiria nini juu ya mwanamke kama huyo?
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke amkimbia mume anayependa kufanya mapenzi zaidi ya mara 10 Kila siku

    Mwanamke mmoja nchini Malaysia ameamua kuomba talaka kumkimbia mume wake ambaye anapenda sana kufanya mapenzi akimlazimisha kufanya mapenzi zaidi ya mara 10 kila siku. Mwanamke...
Back
Top Bottom