Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,127
Habari wanandoa na wanauchumba.
Hivi unajua kuwa mwenzi wako anapoamua kujenga nyumba au kufanya jambo la kimaendeleo bila wewe kujua hapo anajiandaa kuishi bila wewe?
Hii dunia ina mambo sana. Unaweza kuona watu wakiishi pamoja wakicheka pamoja na kula pamoja ila mmoja au wote wakaingiwa na ibilisi wa ujinga, tamaa na ufedhuli.
Mtu anaamua ajenge kimyakimya. Tena wengine huwaibia wenzi wao (hujiibia wenywewe) na kwenda kujenga nyumba kwao.
Hii roho ni mbaya kuliko ile roho ya kuchepuka.
Kuna jirani yangu mmoja Mchaga hapa mjini Dar es Salaam ana viwanja 9, huku mke anakijua kimoja tu kati ya hivyo viwanja 9.
Hivi unajua kuwa mwenzi wako anapoamua kujenga nyumba au kufanya jambo la kimaendeleo bila wewe kujua hapo anajiandaa kuishi bila wewe?
Hii dunia ina mambo sana. Unaweza kuona watu wakiishi pamoja wakicheka pamoja na kula pamoja ila mmoja au wote wakaingiwa na ibilisi wa ujinga, tamaa na ufedhuli.
Mtu anaamua ajenge kimyakimya. Tena wengine huwaibia wenzi wao (hujiibia wenywewe) na kwenda kujenga nyumba kwao.
Hii roho ni mbaya kuliko ile roho ya kuchepuka.
Kuna jirani yangu mmoja Mchaga hapa mjini Dar es Salaam ana viwanja 9, huku mke anakijua kimoja tu kati ya hivyo viwanja 9.