kibovu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 661
- 686
Wakuuuu poleni na mfungo ndugu zangu na kazi iendelee.
Ndugu zangu nimekuja kikaz Dar es Salaam ntakuwa kwa muda wa mwaka mmoja nimepata nyumba ya kupanga hapa sinza madukani .
Nimepanga na jirani yangu akiwa na mkewe chombo sana lakini bado hawajapata mtoto. Mkewe jioni hupenda kujifunga mitandio kiukweli mimi kama mpangaji mwenzao inanipa wakati mgum ingawa ninaroho nzito binafsi siwez kumuomba utamu.
Ndugu zangu kilichonishangaza ni huyu mwanamke anaongea na wanaume wengine mbele ya mumewe na mumewe kakaa kimya imenisikitisha sana .
Ndugu zangu pia huyu mwanamke huchukua hatua zaidi kuonana na hao wanaume sijui.kama huwa wanafanya lakini nilishamshuhudia pale namnani hotel akiwa na mwanaume na huwa anarudi nyumabi.saa 6 usiku mwanaume anamfungulia .Mme wake nimepeleleza kazi yake ni mwalimu wa shule ya msingi .
Vijana tutafute pesa huuu upuzi sitaki kuusikia hasa kwa vijana mliopo huku mnaojiita greet thinker
Ndugu zangu nimekuja kikaz Dar es Salaam ntakuwa kwa muda wa mwaka mmoja nimepata nyumba ya kupanga hapa sinza madukani .
Nimepanga na jirani yangu akiwa na mkewe chombo sana lakini bado hawajapata mtoto. Mkewe jioni hupenda kujifunga mitandio kiukweli mimi kama mpangaji mwenzao inanipa wakati mgum ingawa ninaroho nzito binafsi siwez kumuomba utamu.
Ndugu zangu kilichonishangaza ni huyu mwanamke anaongea na wanaume wengine mbele ya mumewe na mumewe kakaa kimya imenisikitisha sana .
Ndugu zangu pia huyu mwanamke huchukua hatua zaidi kuonana na hao wanaume sijui.kama huwa wanafanya lakini nilishamshuhudia pale namnani hotel akiwa na mwanaume na huwa anarudi nyumabi.saa 6 usiku mwanaume anamfungulia .Mme wake nimepeleleza kazi yake ni mwalimu wa shule ya msingi .
Vijana tutafute pesa huuu upuzi sitaki kuusikia hasa kwa vijana mliopo huku mnaojiita greet thinker