Mzee wa fact
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 234
- 183
Nilikua na girlfriend wangu na tulibahatika kupata mtoto ila tulitofautiana hali iliosababisha kutokuishi pamoja. Sasa mwezi uliopita mwenzangu kapata mwenza lakini tulikua tunawasiliana kawaida kuhusu malezi ya mtoto.
Jana mumewe kanipigia simu ananiambia nisiwasiliane na mkewe, ishu zote zinazohusu mtoto niwasiliane naye kitu ambacho mimi kwangu nakiona kigumu japo mzazi mwenzangu huwa ananipigiaga mwenyewe.
Jana mumewe kanipigia simu ananiambia nisiwasiliane na mkewe, ishu zote zinazohusu mtoto niwasiliane naye kitu ambacho mimi kwangu nakiona kigumu japo mzazi mwenzangu huwa ananipigiaga mwenyewe.