Wakuu inakuaje,pole na mihangaiko ya hapa na pale,,japo covid 19 kafifia kwa mbaal,,bado tuchkue tahadhari.
Nirudi kwenye mada,,agizo la muheshimiwa raisi la kurudi chuoni nililitekeleza ipasavyo baada ya kuanza Safar kutoka mkoan kuja hapa dar es salaam kusoma.
Nilifka salama siku ya jumamosi...