mtu

  1. A

    Mdogo mtu naye anataka pia...

    Wakuu inakuaje,pole na mihangaiko ya hapa na pale,,japo covid 19 kafifia kwa mbaal,,bado tuchkue tahadhari. Nirudi kwenye mada,,agizo la muheshimiwa raisi la kurudi chuoni nililitekeleza ipasavyo baada ya kuanza Safar kutoka mkoan kuja hapa dar es salaam kusoma. Nilifka salama siku ya jumamosi...
  2. Breezyman

    Je, kuna uhakika wa ajira endapo mtu utaambiwa utume hela kwa ajili ya maswali na majibu ya mchujo?

    Nimepokea ujumbe huu, "CV yako ni nzuri nitakusaidia upate hii kazi salary ni 1,300,000/=(net) ukipata salary yako ya kwanza utanipa 400,000 na kabla ya saa 10 jioni leo uwe umetuma elfu 45 through tigopesa nimpe mtu wa interview atanipa maswali na majibu nitakutumia kwenye email so una...
  3. Komeo Lachuma

    Kwa mtu mwenye akili timamu huwezi kuwa mfuasi wa mwanasiasa

    Miaka yangu yote 40+ niliwahi kuwa mfuasi wa mwanasiasa nilipo kuwa kwenye 10s, nilipokuja kupata akili niliacha kumfuata mwanasiasa nikawa nimetengeneza tabia ya kuangalia hoja za mwanasiasa husika. Wanasiasa wa Tanzania ,Afrika na pengine dunia nzima siyo waaminifu, ni vigeu geu waongo na...
  4. Environmental Security

    GE2020 Acheni utani, upinzani hakuna mtu wa kuweza kusimama na Rais Magufuli kwenye uchaguzi mkuu Oktoba

    Habarini wadau... Leo naomba nizungumze ukweli juu ya hiki kinachoendelea, eti watu wa upinzani kuandika barua na kuomba nafasi za kuteuliwa kugombea nafasi ya urais wa JMT october 2020, Wanachofanya vyama vya upinzani ni utani nadhani na imefikia wakati wameacha kuwa serious, maana haihitaji...
  5. lbaraka

    Ubaguzi wa rangi(racism) dhidi ya mtu mweusi upo na hautakaa uishe duniani

    Habari wakuu, Napenda kuliongelea suala la ubaguzi wa rangi unaopigiwa kelele kwa sasa duniani. Kwanza kabisa tuelewe kwamba haya mambo hayajaanza leo. Yana historia ndefu sana kuanzia enzi za Nuhu na watoto wake watatu. Hamu, yule aliemchungulia baba yake, alilaaniwa kwamba atakuwa mtumwa...
  6. F

    Mkapa: Hakuna mtu maarufu zaidi ya chama

    Dr Salmin Amour, who was then Zanzibar, had intended to change the Constitution to allow him to run for a third presidency tenure. His proposal of changing the Constitution reached the National Executive of Commit-tee of his party, CCM, and there was every sign of a fierce debate over the...
  7. Singidan

    Majibu ya Roma Mkatoliki juu ya kwanini haandamani wala kukemea unyanyasaji wa Mtu Mweusi

    Nukuu: "mtangazaji kanipgia simu kuniuliza, Roma kwanini hatukuoni Ukiandamana au Ukikekemea Mtandaoni yanayoendelea Marekani Kama wafanyavyo wasanii wenzio was bongo?(Black lives matter). Nikamjibu👉 Ninapokemea ya Tanzania siwaonagi Hao wasanii wakikemea Kama Mimi. So ni zamu yao now...
  8. B

    Ni nani au mtu wa aina gani anayeruhusiwa kumiliki nyara za Serikali kisheria

    Sote tuna fahamu nyara za serikali ni nini, Je kuna sheria inayo mruhusu mtu yeyote yule kumiliki nyara za serikali? achilia mbali leseni ya uindaji ili uwinde wanyama, namaanisha upewe kibali uwamiliki mfano ndege kama TAUSI uwe nao nyumbani kwako uwafuge, sijawahi sikia popote pale kuwa kuna...
  9. Croson

    Je, mtu huyu anasifa za kwenda Kusoma Comb ya PCB kidato cha tano Government?

    Je, Mtu mwenye ufaulu huu Civ - C , Geo - C , Kisw - C , Eng - C , Chem - C , Bio - C , Phy - D , Math D , Hist - D anae 3 . 22 anaeza kwenda advance Government comb ya PCB 2020?
  10. Troll JF

    Je, wakati tunajiandaa kuingia katika Uchaguzi Mkuu, CHADEMA Ikiwa katika vipande vipande Mbowe bado Mtu sahihi?

    Wakuu tumebakiwa na mda mchache kabla ya kipyenga cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kupulizwa, Tumeshuhudia CHADEMA ikigawanyika katika vipande vipande na kusababisha vijana makini waliowanoa kwa miaka mingi kukihama chama hiki. CHADEMA iliundwa na Vijana makini waliokua wamejengeka kisiasa na...
  11. LIKUD

    Sababu za kiroho kwanini George Floyd amekufa kifo cha MTU mwingine

    George Floyd was a porn star and in the industry he was going by the name " Big Floyd". Ukiwa porn star unakuwa unakutana kingono na wanawake wengi. Katika ulimwengu wa rohoni unapo fanya tendo la ndoa na Mwanamke automatically unakuwa umeingia katika AGANO rasmi la kiroho la kuunganisha nafsi...
  12. MSAGA SUMU

    Unamkumbuka yule askari aliyeua mtu mweusi US,basi kwisha habari yake. Wazungu wakekesha kupiga simu Afrika kuomba msamaha

    Waswahili wanasema ukijua hili wenzio wanajua lile. Kikundi cha kina mama kutoka Kongo kimesema enough is enough, wamesema sasa basi. Wakina mama hao wamechoshwa na taarifa za kila siku kutoka Marekani ambapo kila kukicha watu weusi wamekuwa wakiuliwa na hivyo kutishia kutoweka kwa kizazi cha...
  13. J

    Watu wasio na sifa humtumikia mtu na siyo nchi

    Habari wana jamvi! Nimekuwa nikifuatilia utendaji wa wateuliwa Wengi wa awamu ya tano nimebaini kwamba karibu wote hujitahidi sana kujua aliye wateua anataka nini na huishi katika hilo. Hawasomi standing orders wala Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwao wao kumfurahisha 'Kim Jong Un '...
  14. beth

    Minneapolis: Vurugu zatawala katika siku ya pili ya maandamano kupinga kifo cha mtu mweusi alieyeuawa na Polisi

    Idara ya Haki ya Marekani imesema imeupa kipaumbele cha kwanza uchunguzi wa Polisi kuhusika na kifo cha George Floyd huku maandamano ya vurugu yakiingia siku ya 2 Idara hiyo imesema Waendesha Mashtaka Waandamizi na Wapelelezi kutoka FBI (Federal Bureau of Investigation) wanachunguza kuangalia...
  15. S

    Asiwadanganye mtu, CHADEMA ilionekana tishio sana na mambo inayokabili ni mkakati uliopangwa - hata NCCR Mageuzi wakipanda watakabili hayo hayo!

    Watu wengi wasichoelewa ni kwamba vurugu na mkanganyiko inaoukabili Chadema kwa sasa ilikuwa ni programu maalum iliyopangwa ili kuimaliza Chadema baada ya kuona nguvu za Chadema na kukubalika kwake kwa wananchi kulizidi kuongezeka. Mkakati uliopangwa ilikuwa kutumia kila mbinu ili ikiwezekana...
  16. lite boe

    Jamani class tulieni kila mtu ajisomeeJibu kama "black bancher"

    Tuwaone mablack bancher sasa
  17. Sky Eclat

    Salamu na ushauri kutoka Afrika ya Kusini kwa dada aliyedhalilishwa kuwa aliiba mume wa mtu

    Dada aliyedhalilishwa kwa kupigwa ikisadikika kwa kufumaniwa na mme wa mtu amesema wakati wa shamlashamla aliibiwa shilingi laki tisa Mimi sham natuma salamu Kwanza pole kwako kwa kudhalilishwa mimi Kama mwanamke niliumia sana kwa kitendo ulichofanyiwa, hata Kama alikuwa hivyo haikuwa lazima...
  18. Maleven

    Kitu gani cha ajabu umewahi kukiona uliposhika simu ya mtu?

    Kuna mzee wa heshima sana aliniomba nimsetie simu yake mambo fulani. Kwa bahati mbaya inahusisha gallery, nilichokuta ni video za porn sijaamini kabisa na wala sijamuonesha dalili yoyote kua nimeona hadi leo. Wa pili ni dada mmoja alipoteza simu yake hivyo akanipa email yake ni login ili nilog...
  19. Top gun maverick

    Inawezekana mtu aliesoma sayansi advanced kusomea Sheria chuoni

    Habari wanajukwaa pia hongereni na sikukuu ya Eid Mubarak pia tuendeleee kuchukua tahadhari Kwa kunawa mikono na maji tiririka na sabuni pia usisahau kuvaa barakoa uendapo kwenye highly populated areas. Naenda straight to the point Mimi bado mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo Fulani hapa nchini...
  20. U

    Nimeambiwa na mpangaji mwenzangu kuwa tunatakiwa kuchangia kila mmoja Tsh. 30,000/-

    Nimeambiwa na mpangaji mwenzangu kuwa tunatakiwa kuchangia kila mmoja sh.30000/- kila mmoja yaani umeme wa sh.60,000/- ndiyo unatosha kumaliza mwezi eti kwa kuwa kila mmoja ana TV screen na kwamba kwa Siku TV moja inatumia units mbili,naomba anayeujua ukweli aijuze tafadhali!
Back
Top Bottom