Wadau naomba msaada Je, kuna mkulungwa humu anaifahamu Taasisi inaitwa NURU ARTS ORGANIZATION, Inahusiana na kutoa elimu ya ujasiriamali bure, ipo KAWE, kwa watu wenye mazingira magumu.
Naomba msaada kuna ndugu yangu anatafuta kazi, kuna malalamiko nimeyasikia nataka kujua kama ni taasisi ya...