FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,045
- 40,705
Nimejaribu kukusanya ushahidi wa mdomo (word of mouth) toka kwa watu wengi sana kuhusu homa za mafua walizopata watu kipindi cha mwaka jana mwishoni na mwaka huu mwanzoni, ambapo hata mimi niliumwa, ukiangalia dalili walizopata na jinsi mafua yake yalivyokuja katika timing ile ile ya mlipuko wa China na waChina kurudi kutoka China (China new year) naanza kuona kabisa wengi tuliugua Corona muda ule, ila hatukujua.
Pia wizara ya afya ilitoa tangazo kwamba pametokea mfululizo wa mafua makali yanayosababishia watu homa ila wakasema sio mlipuko, kipindi hicho hakuna aliyejua kuhusu Corona, maana waChina walificha.
Wiki 2 zilizopita nikapata tena homa ya mafua na kukohoa iliyoambatana na kichwa kuuma na mwili kuchoka, haraka sana nikakimbilia dawa ninazozijua mimi, baada ya siku 2 tu nikapona kabisa, sikutaka kujua naumwa nini, ila nikapona, na kuna watu wengine kama 10 wamenipa story za kuumwa na kujitibu kwa njia wanazozijua wenyewe, wengi wanaogopa karantini.
Na pia nimesikia kwa ‘word of mouth’ toka kwa wafiwa wa waliokuwa wagonjwa wa Corona, unakuta kila mfiwa anakwambia ndugu yake alikuwa anakisukari, kama sio hicho basi alikuwa anashmbuliwa moyo miaka mingi, hivi vitu viwili naona ndio tatizo hasa, Corona ni kama inawamalizia tu.
Sasa mamlaka za utafiti wa kitabibu kama NIMRY ziingie kazini na kuona kama wanaweza kudhibitisha au kukanisha dodoso hili.
Nimetimiza wajibu wangu.
============================
Update: 13/05/2020
NAMANGA: Madereva 23 toka Tanzania wamezuiliwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na COVID-19 - JamiiForums
Pia wizara ya afya ilitoa tangazo kwamba pametokea mfululizo wa mafua makali yanayosababishia watu homa ila wakasema sio mlipuko, kipindi hicho hakuna aliyejua kuhusu Corona, maana waChina walificha.
Wiki 2 zilizopita nikapata tena homa ya mafua na kukohoa iliyoambatana na kichwa kuuma na mwili kuchoka, haraka sana nikakimbilia dawa ninazozijua mimi, baada ya siku 2 tu nikapona kabisa, sikutaka kujua naumwa nini, ila nikapona, na kuna watu wengine kama 10 wamenipa story za kuumwa na kujitibu kwa njia wanazozijua wenyewe, wengi wanaogopa karantini.
Na pia nimesikia kwa ‘word of mouth’ toka kwa wafiwa wa waliokuwa wagonjwa wa Corona, unakuta kila mfiwa anakwambia ndugu yake alikuwa anakisukari, kama sio hicho basi alikuwa anashmbuliwa moyo miaka mingi, hivi vitu viwili naona ndio tatizo hasa, Corona ni kama inawamalizia tu.
Sasa mamlaka za utafiti wa kitabibu kama NIMRY ziingie kazini na kuona kama wanaweza kudhibitisha au kukanisha dodoso hili.
Nimetimiza wajibu wangu.
============================
Update: 13/05/2020
NAMANGA: Madereva 23 toka Tanzania wamezuiliwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na COVID-19 - JamiiForums