mtu

  1. Wakusoma 12

    Ninaamini katika hizi tu ili mtu aweze kuongoza nafasi ya juu kabisa ya madaraka ya nchi lazima awe amesoma walau taaluma moja kati ya hizi

    Wakuu asalaam. Binafsi naamini siasa ni sayansi na wanasiasa ni lazima wawe wanaweza kuimonitor na kuiishi sayansi hii ya siasa. Ili MTU yoyote aweze kuungoza umma wa watanzania ni vyema akawa amesoma na kuhitimu angalau taaluma zifuatazo 1. Sheria Hii ni kwa maana kuwa sheria ndo nguzo kuu ya...
  2. M

    GE2020 Kwa Siasa za Rais Magufuli mtu kama Lissu ndio anafaa kupambana naye. Lissu hana cha kupoteza tena hivyo hana hofu ya kumkabili jino kwa jino

    Lissu ndio hasa kisiki cha mpingo cha kupambana na Jiwe. Hata wapiga kura watakuwa majasiri wa kudai haki yao endapo wataporwa ushindi wao. Wakina Membe na wengineo wampishe Lissu kwa huu Uchaguzi maana hawana uwezo wa kupambana na Siasa za kibabe za jiwe. Lissu hasa ndio pekee anayeweza kwenda...
  3. ACT Wazalendo

    GE2020 Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Mkutano Mkuu wa ACT–Wazalendo: Membe apata kura za Ndiyo 410 za Urais Tanzania, Maalim Seif Ndiyo 419 za Zanzibar

    Chama cha ACT–Wazalendo leo tarehe 05 Agust 2020 kinafanya Mkutano wake Mkuu Diamond Jubilee–VIP Hall. #MkutanoMkuuACT2020 #KaziNaBata #TheFutureIsPurple ===== UPDATES ====== #UCHAGUZI2020: MEMBE, MAALIM KUPEPERUSHA BENDERA ZA ACT WAZALENDO URAIS TANZANIA NA ZANZIBAR - Chama hicho...
  4. luangalila

    Ulishawahi kuandikiwa Dissertation na mtu?

    Kuandikiwa Dissertation na mtu sio jambo baya au Kinyume na Sheria hapana. Zipo sababu nyingi zinapelekea mtu kuandikiwa dissertation au research kuanzia mwanzo hadi final stage. Sababu zifuatazo zinapelekea mtu kuandikiwa dissertation 1. Muda ( for inservice people) kufanya kqzi huku na...
  5. GENTAMYCINE

    GE2020 Kwanini ACT-Wazalendo wanahimiza sana Wapinzani Kuungana tofauti na CHADEMA ambao wanataka kila Mtu apambane na hali yake tu?

    Kila nikiwasikia ACT-Wazalendo wakizungumza naona wanatia sana Huruma na wakati mwingine hadi 'wanalazimisha' Waungane na CHADEMA lakini kila nikiwasikia CHADEMA wao nawaona hawataki huo Ushirikiano wa 'Kinafiki' na badala yake wanataka kila Chama Kipambane tu na hali yake kuelekea Uchaguzi Mkuu...
  6. Dam55

    GE2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli alitoa rushwa Kibiti Mil. 5 na akanunua jogoo laki moja wakati kashapitishwa kugombea Urais. Nitamuwekea pingamizi

    Amesema Rais Magufuli huku akiwa ameshatangazwa kuwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM kwenye Uchaguzi wa Oktoba 2020 ametoa rushwa Wilayani Kibiti kwa mujibu wa Fomu ya Kuweka Mapingamizi dhidi ya Mgombea Urais Amesema Rais Magufuli alipokuwa akigawa fedha kwa ajili ya madawati na shule...
  7. S

    GE2020 Mtu ambaye Wanadamu hawakutaka aishi, lakini leo hii Mtu huyu anakwenda kuwa Mgombea wa Urais. Jambo hili lina maana gani?

    Hili ndio swali ambalo kila mtu mwenye kufikiri na kuwaza kwa mapana anapaswa kujiuliza. Yaani Wanadamu wanapanga kukua, na sio kupanga kukuua tu, bali inadaiwa walipanga hata msiba huo na mazishi yake yaweje, lakini Mungu akaingilia kati na kumuokoa muhusika, na leo hii mtu huyo anakuwa...
  8. Superbug

    Nini kinafanya meno kuumia kwa hisia pindi mtu anaponoa kisu au kufikicha majani makavu ya mahindi?

    Kuna huu ugonjwa ambao siujui jina iwe la kiswahili au kingereza ila uko hivi...; Ukichukua kisu ukakinoa chini au; Majani makavu kabisa ya mahindi uyafikiche au ; Usugue chuma kwa chuma. Meno hupata hisia ya maumivu Sana bila hata kuguswa. Naifananisha hii Hali na maumivu ya mluzi kwenye...
  9. Mkogoti

    Kabla sijawa tajiri kama kuna mtu anataka kufa, afe kabisa

    Habari za mida Hii!? Nasemaje kama nafoka nitafoka sana tu ni hivi maisha unatafuta kwa nguvu zote unapigana huku na kule, Sio baadae Niwe Tajiri ndio ufe, Nionekane nimekutoa kafara hiyo haipo na nikisikia maneno hayo wote napiga risasi, mtu unapambana kwa hali na mali jua na mvua dili...
  10. G Sam

    Je, ndani ya Serikali ya Awamu ya Tano yumo mtu au watu wenye gubu?

    Gubu ni neno la kiswahili ambalo tafsiri yake ni mtu kuwa na hasira na kupaniki hovyo hata kwa jambo ambalo ni la kawaida. Mtu huyo mara nyingi ni mgomvi mgomvi, mlalamishi, anayenuna nuna hasa pale anapoelekezwa jambo, kuadhibiwa kwa kosa lake au kuonywa! Hivyo gubu siyo tusi. Sasa basi...
  11. A

    Mambo ya kutisha na yenye kuumiza hisia tunayokutana nayo tukiwa maskini

    Kudharauliwa, kuchekwa, kupewa maneno ya kejeli, kwa sababu ya kukosa kazi na umaskini ulionao, ingawaje anaekudharau ni maskini kama wewe.. Naapa kwa mbingu na ardhi siku nikija kufanikiwa sana kipesa, sitokuja saidia hata Mtu mmoja chini ya hili jua, nikitoa pesa ntakua nalenga faida ya mara...
  12. Samia atosha tukutane2030

    GE2020 CHADEMA muwachunge wajumbe wenu kwa umakini mkubwa, kuna uwezekano wakahongwa fedha nyingi ili wamchague mtu asiye sahihi kwa maslahi ya chama fulani

    Habari wakuu! Moja ya mambo niliyokirimiwa ni kuwa na uwezo mkubwa wa kuona jambo la sirini, au jambo la mbali. Muda mwingine naweza kusema am a spiritual scanner. Hili ninaloliandika si tetesi na halina ukweli direct bali ni forecast yangu tu. Huu muda mfupi uliobaki kabla ya Uchaguzi mkuu...
  13. D

    Kariakoo Mitaa ya Mkunguni, Tandamti, Nalung'ombe na Sikukuu kila mtu ni trafiki na mjuaji

    Mitaa hiyo wenye magari wanapata tabu sana kwa kufokewa na wapita njia. Mwenye gari akipita mitaa hiyo ajiandae kisaikolojia. Kuanzia mtembea kwa miguu, kilema, msukuma mikokoteni, mwenye baiskeli, machinga na wazee wa mingo za parking wooote wote ni matrafiki, waelekezaji, wajuaji na...
  14. Dam55

    Mtu akikuomba ushauri kwa jambo kama hili utamjibu nini?

    KILA NIKIMUONA MTOTO WA MUME WANGU NAHISI KUCHANGANYIKIWA! Kaka naomba tu unisaidie maana najikuta nashindwa haya maisha. Mimi nimeolewa ndoa yangu ina miezi minne sasa. Wakati nakutana na huyu mchumba wangu aliniambia kabisa kuwa ana mtoto ambaye amezaa na mwanamke mwingine, alishaachana na...
  15. FRANCIS DA DON

    Ni mwaka wa tano sasa, sijwahi kusikia wala kuona mtu anaumwa malaria, uchawi gani huu?

    Miaka ya 2015 kurudi nyuma, binafsi ilikuwa haipiti mwaka sijumwa malaria, na haipiti wiki lazima nisikie habari za mtu wangu wa karibu au rafiki au jirani au ndugu wa mbali kaumwa malaria. Lakini toka 2015 kuja mbele hali imekuwa ya miujiza kabisa, sisikii wala kuona mtu anaumwa, si mimi wala...
  16. J

    Jeshi la polisi lamtaka mtu yoyote mwenye hofu na usalama wake kutoa taarifa polisi badala ya kulalamika mitandaoni!

    Msemaji wa jeshi la polisi nchini amemtaka mtu yoyote mwenye hofu na usalama wake kutoa taarifa polisi badala ya kulalamika mitandaoni na kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje; kama si kuonyesha nchi yetu hakuna amani. Source East Africa Radio! Maendeleo hayana vyama!
  17. ommytk

    Hivi ishawahi kukutokea kuna mtu unakutana naye mara nyingi na anakukuta na nguo zile zile

    Wadau hivi haijawahi kuwatokea kuna mtu mnakutana naye na kila akikuta anakukuta na nguo zile zile yaani ata mkae miezi miwili alafu siku ukikutana naye anakukuta na nguo zile zile yaani unatamani umwambie ninazo nyingi.
  18. J

    Mzee Kikwete aweka rekodi sawa, Uchumi wa Kati waliopanga na Mkapa ni wastani wa dola 3,000 kila Mtanzania

    Kikwete naona kaweka sawa kuhusu hizi propaganda kuwa Magufuli kafikia uchumi wa Kati kabla ya muda uliopangwa. Kikwete kaweka sawa kuwa Uchumi wa Kati uliopangwa ni dola 3,000 na sio hii 1080. Na kampa Magufuli challenge kuwa 2025 inatakiwa awe amefikia kipato hicho kwa kila mtanzania. Pia...
  19. Travis Walker

    Ufahamu na mashaka juu ya kusafiri kwenye muda yaani Time Travelling

    Katika mada inayonivutia sana ni hili jambo la kusafiri kwenye muda lakini pia ni jambo ambalo nahisi lina utata au lisilowezekana kabisa. Wanasema muda ni kama snapshot ambazo zimeanza kujipiga tokea ulimwengu umeanza mpaka utakapomaliza halafu zika rewind mwanzo kabisa ndipo wakati ukaanza...
  20. Pdidy

    Tujifunze kumsifia mtu akiwa hai hiyo ni heshima na kwa Mungu pia

    Vyemaa tukaelimishana tulipotoka na tunapoenda. Watanzania wengi husubiri kumsifia mtu pale waaposika amelala anaitwa hayati ama marehemu Wengi huonà hapa ipo muda muafaka kumsifia marehemu. Ndugu zangu nimekuwa nikilaani sana marehemu hasemwi vibaya sababu hawezi tena kujitetea Hivyo hivyo...
Back
Top Bottom