mtu

  1. Red Giant

    Kuna haja ya mtu mweusi kuwa na silaha za nyuklia?

    Inasemekana wakati wa ubaguzi wa rangi Africa ya kusini serikali ya makaburu ilikuwa na silaha za nyuklia. Ilikuwa inajiandaa iwapo mataifa huru yangeungana na kuivamia. Wakati Pakistan wanajiandaa kuunda silaha za nyukila kiongozi wao alisema kuwa "wabudha wananyuklia, wakristo wana nyuklia...
  2. D

    Ni upi usahihi kuhusu uwepo wa Dinosaurs duniani?

    Katika kusoma soma huku na kule nimekuatana na kitu ambacho kimenichanganya; labda nilete kwenu wana ndugu. Ipo hivi: Katika kufuatilia historia ya Dinosaurs inasamekana kwamba waliishi miaka kama billions zilizopita ila na kwa kipindi hicho hakukuwa na binadamu, lakini katika maandkio...
  3. S

    Ni zipi sifa za mtu kuchaguliwa kuwa Best Student Chuo Kikuu?

    Habari watanzania, leo nimekuja na hili swali, maana limenichanganya kidogo. Nina mdogo wangu amepata 4.7/5.0 hapo UDBS-UDSM na yeye ndo alikuwa na GPA kubwa kushinda wote hapo cha ajabu hakutangazwa kama BEST STUDENT. Wadau mliopo kwenye ACADEMIC FIELD naomba mniambie ni vigezo vipi...
  4. Analogia Malenga

    Wizara ya Afya: Tutafunga kila mtu kwa wizi wa dawa

    Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amesema kama wataamua kuwachukulia hatua watumishi wanaojihusisha na wizi wa dawa watawafunga watumishi wote. Amesema hayo alipokuwa katika hospitali ya Mount Meru ambapo amesema kiwango cha dawa kinachoingia...
  5. MSAGA SUMU

    Sunday Manara: England inahitaji mtu kama Mwamnyeto kuchukua kombe la dunia

    Mchezaji wa zamani Tanzania akifanya mahojiano na mtangazaji Patrick Nyembera amesema timu ya taifa ya Uingereza ina kikosi kizuri hata kuweza kuchukua kombe la dunia lkn inakosa mchezaji mzuri wa nafasi ya ulinzi. Manara alienda mbali zaidi na kudai endapo timu hiyo ingepata mchezaji mzuri...
  6. Mung Chris

    TBC ni ya mtu binafsi, chama, Serikali au wananchi?

    Mtusaidie kujua hii TV ya TBC1 ni ya nani, nauliza kwa sababu ya kile kinacho zungumzwa mfano Kumsifia mtu masaa 24, kumuonyesha mtu flan peke yake masaa mengi zaidi ya masaa ya kurusha matangazo ili kiweze kujikusanyia mapato ya kujiendesha, haiwezi kupita nusu saa kuna mtu lazima atajwe yeye...
  7. Red Giant

    Huyu wa kujiita Mwaisa Nyonyoma mtu mbad anajua sana

    Ndiyo nimemuona jana, nimecheka sana. Hii clip imenichekesha kichizi.
  8. Mkalifumbi

    Je naweza soma Kozi fupi VETA halafu nikaenda diploma

    Habari zenu Wana JF, Mtu aliyesoma veta kozi ya muda mfupi anaweza kusoma diploma?
  9. YEHODAYA

    Hivi inakuwaje mtu kasoma business administration degree halafu hawezi fungua hata genge la kuuza nyanya. A business administrate?

    Hivi inakuwaje mtu kasoma business administration degree halafu hawezi fungua hata genge la kuuza nyanya a business administrate? Genge la kuuza nyanya mtaji elfu 20 Hizo skili zake za business administration anataka akazionyeshee wapi?
  10. Mystery

    Tunakubalije Watanzania wote maisha yetu yashikiliwe na mtu mmoja?

    Hakika hotuba aliyotoa jana Rais wetu Magufuli imeniacha na huzuni kubwa, kwa kuwa nilichobaini kutokana na hotuba hiyo ni kama maisha yetu watanzania wote, tumeyaweka rehani na kiyakabidhi mikononi mwa mtu mmoja, ambaye ndiye Rais wa nchi. Katika hotuba hiyo tulimsikia Rais akikanusha vikali...
  11. J

    Je, zipi ni sababu za Mtu kupata shida ya akili (Dementia)?

    Ugonjwa wa Alzheimers ( Ugonjwa unaharibu kumbukumbu) ndio sababu kubwa ya shida ya akili. Kati ya 60% -80% ya watu walio na shida ya akili wana #Alzheimers Magonjwa ya upungufu wa Neva na shida za mishipa. Hali hizi huathiri mzunguko wa damu kwenye ubongo. Majeraha kwenye ubongo...
  12. R

    Tatizo sio chanjo ya COVID19! Tatizo chanjo imekuja kipindi cha utandawazi kila mtu ana smartphone kila mtu mjuaji

    Habari wadau, Leo nimeamua kuingia kwenye hii fani ya udaktari ili nami niweke neno kaa hapa chin basi uongeze maarifa. Ok nadhan kila mtu anajua kwa sasa kuna vuguvugu la chanjo dunia mzima tena mbaya zaid chanjo imekuja kipind ambacho kila mtu anamtizama mwenzake kwa jicho la mnafiki kuna...
  13. N

    Ukifikiri kwa Kina Utafahamu Kuwa Mtu ni Hewa, Maji ni Hewa; Vitu ni Hewa

    Angalia vitu vyote katika maendeleo yao na mageuzi yao, hewa ni ya lazima. Michakato yote ya viumbe haiwezekani bila uwepo wa hewa. Kitalaamu hewa inaelezwa kuwa ni mkusanyiko wa gesi mbalimbali. Ukitazama, kwa mfano hewa (gesi) ya oksijeni, ambayo ni ya lazima kwa uhai wa viumbe hai, maana...
  14. Red Giant

    Kwanini inasemwa kuwa mshahara wa mtu ni siri?

    Wakuu kwa nini inasemwa hivyo? Hii ni duniani kote au hapa kwetu tu?
  15. F

    Hizi ni miongoni mwa sababu zinazofanya kila mtu hapa sasa anatamani kuwa Mwanasiasa na hasa Mbunge!

    Sitaki kuongea mengi kuhusu suala la watu wengi hapa Tanzania sasa kutamani kufanya kazi ya siasa na hasa kuwa Mbunge. Na ukitazama vizuri utagundua kuwa hii ndo siri kubwa ya kujitokeza kwa WATIA NIA ( Wagombea Ubunge wengi katika kura za maoni za CCM mwaka jana kuvunja rekodi). Watu wengi...
  16. KENZY

    Kuwa mtu wa malalamiko sana ni dalili ya kukata tamaa

    Nimeishi nimejionea watu wa namna hii maongezi yao asilimia kubwa ni kulaumu na kulalamika. Hii ni dalili mbovu na ni mbaya mno kwani huonyesha mtu husika kuwa ni mtu ambae ameshakata tamaa na kilichobaki ni kulaumu na kulalamika kwa mambo mengine ambayo hayana nyuma wala mbele! Inawezakuwa ni...
  17. Miss Zomboko

    Uganda: Askofu avuliwa nafasi za kuhudumia Kanisa kutokana na kashfa ya kutoka kimapenzi na mke wa mtu

    Kanisa la Kianglikana nchini Uganda limemvua cheo aliyekuwa askofu mkuu wa kanisa hilo, Stanley Ntagali, na kusitisha utendaji wa majukumu ya uaskofu pamoja na kuzuiwa kuwakilisha kanisa hilo kabisa kwasababu ya madai ya uzinzi. Bwana Ntagali alistaafu mwaka jana Machi baada ya kuhudumu kwa...
  18. C

    Si kila mtu ni wa kumueleza shida zako, wengine hufurahia moyoni

    Hata kama una shida au changamoto kiasi gani, si vizuri kumueleza kila mtu shida zako kwani, huwa wengine wanafurahia mapito yako(wanafiki) na hawawezi kukupa msaada wowote zaidi ya pole ya kinafiki tu.
  19. Erythrocyte

    Waliofukuzwa CHADEMA waanza kupewa vyeo Bungeni, Grace Tendega awa Mwenyekiti wa LAAC

    Grace Tendega, mmoja wa Wasaliti waliojiteua na kuapishwa na Ndugai kuwa wabunge wa viti maalum kutoka Chadema, leo ametunukiwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa ( LAAC ) Bado haijafahamika kama aliomba nafasi hiyo au amepewa bure. Bali swali kubwa ni hili , ni yupi...
  20. B

    Sijalipwa mshahara miezi 8 na mkataba sipewi napewa posho tu msaada jamani wapi nipeleke malalamiko?

    Habari samahani naomba kuuliza kwa mtu anae elewa hili swala kama mtu umeahidiwa mkataba na boss na hataki kutoa mwisho wa siku zaidi ya mwaka hujapewa mkataba na unapewa posho tu napo akijisikia hivi swala kama hili wapi naweza toa lalamiko na nikasaidiwa kisheria.
Back
Top Bottom