mtu

  1. S

    Rais Samia, fukuza walioukuletea jina la mtu asiye na sifa ili umteue

    Mheshimiwa Raisi, kama hilo jina halikuwa pendekezo lako bali uliletewa na wasaidizi wako ili umteue kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, nakushauri uwafukuze mara moja waliohusika kupendekeza kwako jina hilo Pili, ikiwezekana sitisha kufanya teuzi kipindi hiki na jipe muda wa kutosha kupitia na...
  2. L

    Nakaribisha Taasisi, Mashirika, Watu Mbalimbali na Mtu Binafsi Kufanya kazi na mimi.

    Taaluma yangu kwa upande mmoja ni Free Lance Photographer na base yangu ipo jijini Arusha. Nakaribisha watajwa hapo juu kwenye kichwa cha bandiko hili niweze kufanya kazi inayohusiana na career yangu. Nipo fully time kufanya kazi hii kwa ustadi na kutumia akili yangu ili upate kitu bora...
  3. Slowly

    Bado kuna watu wanamlaumu Vanny boy Kwa Paula? Penzi la Kajala na Konde boy lipo Hoi

    Poleni na msiba wakuu, na poleni Kwa vifurushi pendwa Mambo ni mengi mda hautoshi, Paula Kajala amezidi kuuthibitishia Umma kuwa yeye ni mtu mzima na anafaa Kwa matumizi yoyote Yale .... Baada ya CEO wa Next Level Music anayetamba na albam yake ya sound of Africa ,Vanny boy mtu mbaya...
  4. B

    Naomba kujua kama sheria za Tanzania zinaruhusu mtu kutumia gari yenye uwezo wa kuzuia risasi kupenya (bullet proof)

    Naomba kujua kama sheria za Tanzania zinaruhusu mtu kutumia gari yenye uwezo wa kuzuia risasi kupenya (bullet proof)
  5. B

    Covid-19: Madagascar yajisajili kwenye mpango wa chanjo za bure, COVAX

    Mabibi na mabwana pana habari za kutia moyo sana tokea kwa wale magwiji wa tiba ambako mh. Kabudi aliwahi kufuata dawa ya kutibu Corona kwa niaba yetu. Hatimaye Madagascar rasmi wamejisajili leo kwenye ule mpango maarufu wa chanjo za bure COVAX...
  6. M

    Mama malizia sasa kwa Kuzicheza vyema Kete zako Mbili za Draft za Oysterbay na Posta uwe Mshindi rasmi

    Nakuaminia sana Mama kwa jinsi unavyojua Kucheza vyema Mchezo wako wa Draft. Jana umesukuma Kete Moja nzuri sana nikakubali kuwa Draft unalijua na umeiva nalo. Sasa Mama bado Kete zako Mbili tu uzicheze vyema ili uibuke Mshindi wa Draft. Hiyo Kete Pinzani ya hapo Oysterbay iwahi na imalzie na...
  7. captain 21

    Mtu kupenda kuitwa jina lake halisi, hii imekaaje??

    Binafsi nina mazoea tu ya urafiki wa kawaida na msichana mmoja mtaani kwetu ambae tayari ana mtoto mmoja, lakini mwanaume ambae yuko nae kwenye mahusiano kwa sasa yupo mkoa mwingine kikazi. Lakini kinachonishangaza huyu mdada hua hapendi nimuite kwa kutumia jina la mtoto wake mfano "mama...
  8. P

    Hivi mtu hujaulizwa, hujasemeshwa, unapewa nafasi ya kusema machache kwenye hafla, halafu unaanza tu kujitetea mara hooh Mimi mbona mwema tu n.k...

    Nawauliza wanasaikolojia kwamba, Mtu yupo kwenye hafula Fulani hivi, anakaribishwa kusema machache, badala ya kuongelea mambo yanayohusu hafula hiyo, mtu anaanza kujitetea kusema, watu wanavumisha eti huyu simpendi, sjui hivi sijui vile Huyu mbona ni Rafiki yangu, tumetoka mbali, mbona Sisi...
  9. Y

    Je, tabia njema hujengwa na malezi bora, dini au ni hulka asilia ya mtu?

    Salaam wakuu, Nimeuliza hili kwa sababu kuna watu wamepata malezi bora, pia wazazi wana dini lakini wao wanatabia mbovu but kuna wengine hawakupata malezi bora bt wana tabia njema sana. Je, kwa upande wako tabia njema inajengwa na malezi bora, dini au ni hulka asilia ya mtu?
  10. MPUNGA MMOJA

    Ni Tanzania tu kama mtu ni mara yako ya kwanza kuingia katika kilimo hukopesheki kwenye taasisi za fedha

    Hoja hii inaweza kuwa ngumu kueleweka lakini maana yake ni hii; Ili Mkulima ukopesheke kwenye taasisi za benki unapaswa ukidhi haya: ~ Uwe na taarifa za mauzo ya mazao yako ~ Uwe na hati ya umiliki/kukodi mashamba ~ Uwe unalima mazao biashara Kwa anaeanza kilimo hapa anakwama maana hayo...
  11. General mex

    Jumba bovu linaweza kumuangukia mtu yeyote

    Sio kila mtu anaweza kuwa na uelewa wa masuala yote, unaweza kufanya jambo kwa nje likaonekana zuri sana ila kwa ndani kumbe lina shida kubwa. Unaweza kufanya jambo lenye matokeo chanya au hasi kwa siku za usoni ila kumbe kwa siku za baadae likawa na matokeo tofauti. nitajikita kwenye kutoa...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    "Ndugu yako yuko wapi? Damu yake inanililia udongoni"

    "NDUGU YAKO YUKO WAPI? DAMU YAKE INANILILIA UDONGONI" Kwa Mkono wa, Robert Heriel. Leo katika pita pita zangu kwenye kitabu cha Biblia, nilianza kusoma kitabu cha mwanzo sura ya 1, 2, 3 nilipofika sura ya 4 nikashangaa akili yangu ikipata fikra mbalimbali. Nikashangaa nikimkumbuka Ben Saanane...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    Kigogo2014 lazima awe mtu wa maana

    KIGOGO HUWEZA KUWA MTU YEYOTE WA MAANA Kwa Mkono wa, Robert Heriel. Leo katika pitapita zangu mtandaoni niliona Tangazo linalotoa fursa kwa yeyote atakayewezesha kupatikana kwa mtu ajiitaye Kigogo2014 au Kigogo Kigogo basi angepatiwa donge nono. Kufikia hapo macho yakanitoka, si unajua tena...
  14. J

    Chadema: Mtu akishakufa hatupaswi kujadili mabaya yake bali tunajadili mazuri yake ili tuyaendeleze

    Mchungaji Msigwa ambaye amedai anaiwakilisha CHADEMA katika mazishi ya kijeshi ya hayati Magufuli kule Chato amesema mtu akifa kinachopaswa kujadiliwa ni mazuri aliyoyatenda ili yaendelexwe na kamwe si mabaya yake. Mtumishi wa Mungu mchungaji Msigwa amesema hayati Magufuli ana mengi mazuri...
  15. May Day

    Hivi inawezekana Mtu ukapendwa au ukakubalika na watu wote?

    Baada ya huu msiba nimejikuta najiuliza maswali mengi na hili ni moja wapo na bado sipati jibu sahihi. Kwamba pale unapozungukwa na kundi la Watu na upo mbele yao ukilazimika kuwapendeza miongoni mwao na huku ukijua kabisa wapo utakawaudhi nini ufanye kwa mtihani kama huu?
  16. B

    Asikudanganye mtu kuwa Umaskini ni jambo la Kujivunia. Jaribu utajiri uone raha yake

    Ni kweli hamuwezi wote kuwa matajiri. Sisi wengine tunakuwa tuna wawakilisha ninyi ambao bado hamjafanikiwa kuzipata. Utajiri wako uwe wa furaha na amani. Usiibe, Usidhurumu, Usipate kwa Waganga. Pata mali halali. Maskini hana Raha mchana wala Usiku. Mchana Nzi usiku Mbu. Hamna jema maskini...
  17. Bushmamy

    Naogopa kumpa mtu hii pesa

    Hii hela nimepewa bila kujua upande wa pili nini kimeandikwa., badae natoa pesa kwenye wallet naona hayo maandishi, Naona aibu mimi
  18. Mawimba

    Kinachofanya mtu alewe ni nini, ikiwa kinywaji chenye kilevi sawa kikatofautiana ujazo ulewaji ni tofauti?

    Habarini wanajamvi! Kwa wale waliguswa na msiba poleni. Niliwachoshe naomba nieleweshwe kwa swali langu hili. Kwenye pombe hizi kali (Konyagi, K Vant, Vodka nk) kuna utofauti wa ujazo lakini kiwango cha kilevi kinakuwa sawa lakini zinatofautiana ulewaji kwa mtumiaji. Mtumiaji akinywa...
  19. LIKUD

    Kuaga mwili wa marehemu ni kumchoresha marehemu na si kila mtu anayekuja kuaga anampenda marehemu, wengine wanakuja kwa sababu zao

    Kuaga mwili wa marehemu ni kumchoresha marehemu. Mwili wa marehemu una stahili kusitiriwa na sio kuwekwa hadharani kila mtu auone. Si kila mtu anayeenda kuaga mwili wa marehemu msibani anafanya hivyo kwa sababu alikuwa anampenda sana marehemu. Wapo watu...
  20. J

    Mchungaji Mastai: Nilimuunga mkono hayati Magufuli na sasa namuunga mkono Rais Samia, akitugeuka na mimi namgeuka

    Mchungaji wa Kanisa la KKKT Kimara, Dr Mastai amesema yeye alimuunga mkono hayati Magufuli kuanzia siku ya kwanza aliyoingia madarakani hadi Jumapili iliyopita alipomfanyia maombezi maalumu Kanisani. Mchungaji Mastai amesema hata sasa anamuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan lakini akitugeuka...
Back
Top Bottom