Mheshimiwa Raisi, kama hilo jina halikuwa pendekezo lako bali uliletewa na wasaidizi wako ili umteue kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, nakushauri uwafukuze mara moja waliohusika kupendekeza kwako jina hilo
Pili, ikiwezekana sitisha kufanya teuzi kipindi hiki na jipe muda wa kutosha kupitia na...
Taaluma yangu kwa upande mmoja ni Free Lance Photographer na base yangu ipo jijini Arusha.
Nakaribisha watajwa hapo juu kwenye kichwa cha bandiko hili niweze kufanya kazi inayohusiana na career yangu.
Nipo fully time kufanya kazi hii kwa ustadi na kutumia akili yangu ili upate kitu bora...
Poleni na msiba wakuu, na poleni Kwa vifurushi pendwa
Mambo ni mengi mda hautoshi, Paula Kajala amezidi kuuthibitishia Umma kuwa yeye ni mtu mzima na anafaa Kwa matumizi yoyote Yale .... Baada ya CEO wa Next Level Music anayetamba na albam yake ya sound of Africa ,Vanny boy mtu mbaya...
Mabibi na mabwana pana habari za kutia moyo sana tokea kwa wale magwiji wa tiba ambako mh. Kabudi aliwahi kufuata dawa ya kutibu Corona kwa niaba yetu.
Hatimaye Madagascar rasmi wamejisajili leo kwenye ule mpango maarufu wa chanjo za bure COVAX...
Nakuaminia sana Mama kwa jinsi unavyojua Kucheza vyema Mchezo wako wa Draft.
Jana umesukuma Kete Moja nzuri sana nikakubali kuwa Draft unalijua na umeiva nalo.
Sasa Mama bado Kete zako Mbili tu uzicheze vyema ili uibuke Mshindi wa Draft.
Hiyo Kete Pinzani ya hapo Oysterbay iwahi na imalzie na...
Binafsi nina mazoea tu ya urafiki wa kawaida na msichana mmoja mtaani kwetu ambae tayari ana mtoto mmoja, lakini mwanaume ambae yuko nae kwenye mahusiano kwa sasa yupo mkoa mwingine kikazi.
Lakini kinachonishangaza huyu mdada hua hapendi nimuite kwa kutumia jina la mtoto wake mfano "mama...
Nawauliza wanasaikolojia kwamba, Mtu yupo kwenye hafula Fulani hivi, anakaribishwa kusema machache, badala ya kuongelea mambo yanayohusu hafula hiyo, mtu anaanza kujitetea kusema, watu wanavumisha eti huyu simpendi, sjui hivi sijui vile
Huyu mbona ni Rafiki yangu, tumetoka mbali, mbona Sisi...
Salaam wakuu,
Nimeuliza hili kwa sababu kuna watu wamepata malezi bora, pia wazazi wana dini lakini wao wanatabia mbovu but kuna wengine hawakupata malezi bora bt wana tabia njema sana.
Je, kwa upande wako tabia njema inajengwa na malezi bora, dini au ni hulka asilia ya mtu?
Hoja hii inaweza kuwa ngumu kueleweka lakini maana yake ni hii;
Ili Mkulima ukopesheke kwenye taasisi za benki unapaswa ukidhi haya:
~ Uwe na taarifa za mauzo ya mazao yako
~ Uwe na hati ya umiliki/kukodi mashamba
~ Uwe unalima mazao biashara
Kwa anaeanza kilimo hapa anakwama maana hayo...
Sio kila mtu anaweza kuwa na uelewa wa masuala yote, unaweza kufanya jambo kwa nje likaonekana zuri sana ila kwa ndani kumbe lina shida kubwa. Unaweza kufanya jambo lenye matokeo chanya au hasi kwa siku za usoni ila kumbe kwa siku za baadae likawa na matokeo tofauti.
nitajikita kwenye kutoa...
"NDUGU YAKO YUKO WAPI? DAMU YAKE INANILILIA UDONGONI"
Kwa Mkono wa, Robert Heriel.
Leo katika pita pita zangu kwenye kitabu cha Biblia, nilianza kusoma kitabu cha mwanzo sura ya 1, 2, 3 nilipofika sura ya 4 nikashangaa akili yangu ikipata fikra mbalimbali. Nikashangaa nikimkumbuka Ben Saanane...
KIGOGO HUWEZA KUWA MTU YEYOTE WA MAANA
Kwa Mkono wa, Robert Heriel.
Leo katika pitapita zangu mtandaoni niliona Tangazo linalotoa fursa kwa yeyote atakayewezesha kupatikana kwa mtu ajiitaye Kigogo2014 au Kigogo Kigogo basi angepatiwa donge nono. Kufikia hapo macho yakanitoka, si unajua tena...
Mchungaji Msigwa ambaye amedai anaiwakilisha CHADEMA katika mazishi ya kijeshi ya hayati Magufuli kule Chato amesema mtu akifa kinachopaswa kujadiliwa ni mazuri aliyoyatenda ili yaendelexwe na kamwe si mabaya yake.
Mtumishi wa Mungu mchungaji Msigwa amesema hayati Magufuli ana mengi mazuri...
Baada ya huu msiba nimejikuta najiuliza maswali mengi na hili ni moja wapo na bado sipati jibu sahihi.
Kwamba pale unapozungukwa na kundi la Watu na upo mbele yao ukilazimika kuwapendeza miongoni mwao na huku ukijua kabisa wapo utakawaudhi nini ufanye kwa mtihani kama huu?
Ni kweli hamuwezi wote kuwa matajiri. Sisi wengine tunakuwa tuna wawakilisha ninyi ambao bado hamjafanikiwa kuzipata.
Utajiri wako uwe wa furaha na amani. Usiibe, Usidhurumu, Usipate kwa Waganga. Pata mali halali. Maskini hana Raha mchana wala Usiku.
Mchana Nzi usiku Mbu. Hamna jema maskini...
Habarini wanajamvi!
Kwa wale waliguswa na msiba poleni.
Niliwachoshe naomba nieleweshwe kwa swali langu hili.
Kwenye pombe hizi kali (Konyagi, K Vant, Vodka nk) kuna utofauti wa ujazo lakini kiwango cha kilevi kinakuwa sawa lakini zinatofautiana ulewaji kwa mtumiaji.
Mtumiaji akinywa...
Kuaga mwili wa marehemu ni kumchoresha marehemu. Mwili wa marehemu una stahili kusitiriwa na sio kuwekwa hadharani kila mtu auone.
Si kila mtu anayeenda kuaga mwili wa marehemu msibani anafanya hivyo kwa sababu alikuwa anampenda sana marehemu. Wapo watu...
Mchungaji wa Kanisa la KKKT Kimara, Dr Mastai amesema yeye alimuunga mkono hayati Magufuli kuanzia siku ya kwanza aliyoingia madarakani hadi Jumapili iliyopita alipomfanyia maombezi maalumu Kanisani.
Mchungaji Mastai amesema hata sasa anamuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan lakini akitugeuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.