Kilenzi _Jr
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 301
- 1,110
Salaam Wana JF, Je kuwa kwenye Mahusiano na mtu aliyekuzidi umri sana ni hatari? Na kama ni hatari Jamii ifanye vipi kuepuka hili?
Nawasilisha🙏
Nawasilisha🙏
Kama kuna hatari yeyoteHatari ya nini?
Eeee ilipata mteja mkuuNyumba ya mwanza ilipata mteja?
Ametokea ana umri wa baba au Mama Je Kuna hatari yeyote?Umri ni namba tu ila asiwe tu umri wa baba yako au mama yako
MeWe me au ke?
Ukinipa jibu ntakuelewesha kitu.
Eee nauliza anMmmh mimi nikajua unatoa reason kumbe unauliza
Ni mke wa mtu mkuu mbona kama hutak kufungukaKama Kuna hatari yeyote
Eee nauliza an
Mimi mume wa mtuNi mke wa mtu mkuu mbona kama hutak kufunguka
Kwanini unauliza sasaMimi mume wa mtu
Huoni kama atakuwa kama mzazi wako..Ametokea ana umri wa baba au Mama Je Kuna hatari yeyote?
Jamii gani iepuke? Epuka mwenyewe. Huku kitaa big mamaz tunawapelekea moto tu.Salaam Wana JF, Je kuwa kwenye Mahusiano na mtu aliyekuzidi umri sana ni hatari? Na kama ni hatari Jamii ifanye vipi kuepuka hili?
Nawasilisha
Kuna dogo ana miaka 19 anadate na mzee wa miaka 50 alikuwa ananisimulia kwamba anaona aibu hata kusimama nae hadharani hizi hela zitakuja kuua mtu
Sema mm nataka nianze nae mahusiano tuwe tunazila hela za mzee