MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Si ulisema kuwa huko ndiko ulikokuwa ukikupenda? Sasa mbona tokea jana unaogopa Kusogelea hiyo Kambi baada ya kuambiwa unaweza ukaondoka duniani Kikafara ili unaowapenda Washinde Jumamosi?
Na Mightier nimetonywa kuwa Option ziko Mbili tu ama itafutwe Maiti ya hivi karibuni ikafukiwe Temeke Stadium na ikishindikana basi utumike Wewe kwa Kuuaga Ulimwengu ili Wananchi waliobaki wapate Furaha ya Ushindi Jumamosi.
Na ninavyowajua Watu wa huo upande uliopo wanavyoitolea macho hii Mechi ili kurudisha Imani kwa Mashabiki wao baada ya Kuumbuka huko Nigeria hawakawii au hawashindwi kukubali Wewe uondoke ili Washinde na Kusiibuke Mgogoro na Mpasuko mkubwa kwa Kipigo itakachokipata Jumamosi.
Wewe si Mwamba? Kwanini unakimbia?
Na Mightier nimetonywa kuwa Option ziko Mbili tu ama itafutwe Maiti ya hivi karibuni ikafukiwe Temeke Stadium na ikishindikana basi utumike Wewe kwa Kuuaga Ulimwengu ili Wananchi waliobaki wapate Furaha ya Ushindi Jumamosi.
Na ninavyowajua Watu wa huo upande uliopo wanavyoitolea macho hii Mechi ili kurudisha Imani kwa Mashabiki wao baada ya Kuumbuka huko Nigeria hawakawii au hawashindwi kukubali Wewe uondoke ili Washinde na Kusiibuke Mgogoro na Mpasuko mkubwa kwa Kipigo itakachokipata Jumamosi.
Wewe si Mwamba? Kwanini unakimbia?