Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Aisee saa hizi Maulid Maulid amempiga mwenzake teke, jamaa kalala kwa zaidi ya dk 2, ameamka hajielewi kabisa hata wakati mshindi anatangazwa jamaa alishindwa kusimama.
Hii ni ligi nzuri napenda kuiangalia kwenye Vitasa plus, lakini nimeshangazwa hakuna Watu wa huduma ya kwanza uwanjani, maana jamaa walikuwa wanampepea kwa mashati, ameinuka hayuko vizuri wamemuacha aende mwenyewe nje.
Michezo tunaipenda ila ni muhimu serikali iweke sheria kali kama ulazima wa kuwepo kwa madaktari ulingoni, wapiganaji wawe na bima muda wanapokuwa ulingoni, otherwise kuna mtu atakufa na itakuwa too late.
Nawasilisha
Hii ni ligi nzuri napenda kuiangalia kwenye Vitasa plus, lakini nimeshangazwa hakuna Watu wa huduma ya kwanza uwanjani, maana jamaa walikuwa wanampepea kwa mashati, ameinuka hayuko vizuri wamemuacha aende mwenyewe nje.
Michezo tunaipenda ila ni muhimu serikali iweke sheria kali kama ulazima wa kuwepo kwa madaktari ulingoni, wapiganaji wawe na bima muda wanapokuwa ulingoni, otherwise kuna mtu atakufa na itakuwa too late.
Nawasilisha