Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,204
- 12,700
Kwa uchunguzi mdogo niliofanya nimegundua kuwa watu wanazi sana wa hizi timu huwa hawako timamu kichwani.
Ukiona mtu muda wote au zaidi ya asilimia 70 ya maongezi yake ni Simba na Yanga. Muda mwingi anashinda amevaa jezi ya Yanga au Simba. Mitandaoni anafuatilia sana habari za Simba na Yanga. Mara Mukoko hivi, mara Manara vile, kuwa naye makini sana. Usimuamini kwa jambo la msingi. Huwa hawana mawazo ya maana. Hawana maongezi ya maana. Na mbaya zaidi wengi huonyesha dalili ya matatizo ya akili.
Jiepushe na watu wa namna hiyo.
Ukiona mtu muda wote au zaidi ya asilimia 70 ya maongezi yake ni Simba na Yanga. Muda mwingi anashinda amevaa jezi ya Yanga au Simba. Mitandaoni anafuatilia sana habari za Simba na Yanga. Mara Mukoko hivi, mara Manara vile, kuwa naye makini sana. Usimuamini kwa jambo la msingi. Huwa hawana mawazo ya maana. Hawana maongezi ya maana. Na mbaya zaidi wengi huonyesha dalili ya matatizo ya akili.
Jiepushe na watu wa namna hiyo.