msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G

    Naomba ushauri kwa ramani hii

    Wakuu, Ni matumaini yangu mpo bukhery. Naombeni msaada wenu hapa kwenye haka karamani. Target yangu ilikua ni kutumia tofali range ya 3200-3600 .... Sasa nimeambiwa tofali 4300 kichwa kinawaka moto. Msaada wenu wakuu.
  2. Wakristo tushukuru sana ndoa zinaweza kuvunjwa mahakamani, Makanisa hayana msaada, Sheria zetu za ndoa zipo mdomini tu ila si kwa uhalisia

    Kuvunja ndoa ya kikristo ni mpaka kifo ama kuchepuka, Kwanini wakristo hawatii sheria zao wanakimbilia mahakamani kuvunja ndoa kwa sababu zingine? -Mke au mume wako ni mwema kabisa tabia njema wala hana tatizo, mara paap! Kapata kazi huko Marekani, likizo yake ya kurudi ni wiki 2 tu mwaka...
  3. Nyumba nzima yateketea kwa moto Kyela. Hakukuwa na msaada wa zimamoto hakuna kilichookolewa

    Ndivyo hali ilivyotokea mchana wa leo hapa kyela. Ni mtaa wa Mageleza karibu na chuo cha KPC. Kyela inagari la zimamoto pamoja na wataalamu wa uokoaji. Chanzo cha moto huo na madhara bado havijajulikana
  4. Vijana wengi hutafuta msaada wa kushikwa mkono lakini ikitokea wameshikwa huzichezea bahati na kufanya madudu

    Bila Shaka mpo Pouwa! Kwa kweli Njia ya kujiajiri ni ngumu Sana. Kupitia ugumu huo waliofanikiwa kujiajiri huwa na heshima na umakini wao kiasi kwamba inawawia vigumu kuamini Watu kirahisi hasa wale wakuwasaidia. Vijana wengi wanapenda Sana kushikwa Mkono, kusaidiwa iwe sehemu za kujishikiza...
  5. G

    Msaada kuhusu Ubungo Hostel - UDSM

    Habari wadau wa JF? UDSM ina hostels Ubungo karibu na Mic hotel au Ubungo bus terminal ambazo ni kwa ajili ya Masters na PhD students. Naomba kuuliza utaratibu iwapo mwanafunzi wa Masters anahitaji kuishi Ubungo na sio Mabibo, what procedures to follow. Msaada kwa waliowahi kusoma hapo UDSM...
  6. Naweza kubadili kozi niliyopangiwa?

    Hiivi naweza kubadili kozi ya kusomea maana nmepangiwa DIT na serikali. Je, naweza kubadili kama nkifika chuo, inawezekana? 🤔
  7. naomba msaada

    hivi Naweza badili coz maana nmepangiwa DIT na serkali Naweza badili kama nkifika chuo inawezekana🤔
  8. Msaada kuhusu salary scale za "NECTAR"

    Naomba kupata salary scale za "NECTAR" Naomba uelewe hilo neno NECTAR. Asante
  9. Msaada bei ya kioo cha PC

    Wakuu, Habari naomba msaada kujua bei ya kioo ha Pc pamoja na charge yake ni HP.
  10. Msaada: Anayejua gym maeneo ya Africana, Mbezi Beach

    Naombeni mnisaidie wapi nitapata GYM maeneo ya Mbezi Africana. Ndipo ninapoishi. Naona uzito unaongezeka na si nzuri sana kiafya. Pia sipendi kuwa na mwili mayai mayai. Sasa maeneo ya huku sijajua wapi naweza pata Gym nianze kufanya mazoezi. Na kama kuna Kampani pia si mbaya. Mimi naishi Mbezi...
  11. MSAADA TUTANI: Ninaomba msaada namna ya ku-apply Songea Teachers' College

    NB: Mada husika ipo kwenye paragraph ya pili. Heshima kwa wanajukwaa wote, baada ya salamu naomba niende moja kwa moja kwenye jambo la msingi. Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka 2022 na ninahitaji kujiunga na chuo cha Ualimu cha Songea (Songea Teachers' College) ili nisomee Diploma kwa...
  12. Msaada

    Mimi ni muhitimu wa kada ya afya clinical officer Niliapply avn number mwaka Jana nikatumiwa , Sasa kila nikijaribu kuitumia ku apply lesseni inagoma naambiwa hii avn namba haipo nisaidieni jamani mwenye uzoefu na hili
  13. Wimbo flan umetend Sana TikTok naomba msaada kuupata

    Nimejarib Kila namna kuupata lkn wahsika wanaoucheza n hawa Sina hakika kama wanaonekana sawasawa
  14. R

    Msaada shule nzuri ya High school iliyoko Dar au Pwani yenye karo nafuu comb ya GBG

    Wakuu hamjambo? Kijana wangu kamaliza kidato cha nne 2022, ufaulu wake ni C. C. C ktk comb ya CBG. Natafuta shule yenye unafuu wa karo iliyopo hapa Dar au Pwani. Ukinijuza shule na karo yake utakuwa imenisaidia sana. Shukran.
  15. Msaada kuhusu utaratibu wa utoaji huduma TANESCO kwetu tusioelewa

    Habarini wadau? Nimewauliza TANESCO kwenye thread yao hawajanijibu nimekuja kuomba msaada huku. Je, surveyor kutoka TANESCO analipwa na mteja anayehitaji kuunganishiwa umeme ndo aje afanye survey nyumbani kwako au ni bure?? Nimeuliza hivi maana mimi nimeambia nitoe pesa ili mtoa huduma hiyo...
  16. Kuna tofauti yoyote kuacha kula chips na kuhamia kula ndizi za kukaanga kiafya?

    Mtu akiacha Kula chips lakini anakula ndizi za kukaanga...kuna mabadiliko yeyote hapo ya maana health-wise? Kingine nimesikia maji baridi Yana madhara.....yanasababisha ugonjwa wa Moyo...hii nayo kweli au uzushi?
  17. Msaada: Samsung A50 inajirestart

    Wakuu ni saidieni hii simu inajirestart yenyewe hasa baada ya kutumia kwa muda fulani
  18. M

    Msaada wa jinsi ya kupata Bank Statement

    Habarini ndugu wadau wa Jamii Forums, Najitokeza kwenu ili niweze kupata msaada wa kupata bank statement kwa ajili ya kuombea visa ili niende shule USA. Binafsi nina kiasi cha milioni 40 ambacho nimejihifadhia kwa ajili ya ada na matumizi mengine lakini hiki kiasi bado ni kidogo na nimefikia...
  19. Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

    Wakuu nisaidie dawa ya jino la kutibu au kutuliza maana hali ninayoihisi ni hatari mno. Tafadhali msaada wenu.
  20. Msaada: iphone 11 promax imeibiwa

    Msaada jamani. Simu imeibiwa. Nifanyeje niipate?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…