Mizho26
New Member
- Apr 21, 2023
- 3
- 8
Habari zenu wanajamii ninaomba msaada wenu nilikua na mpenzi wangu niliyempenda sana na tumepanga malengo mengi sana kiasi kwamba nikatulia nae lakini wiki moja iliyopita nikakuta sms za kimapenz na mtu mwengine nilichukua maamuzi mabaya yampiga kofi moja nakumpokonya cm kwahasira lakini kesho yake nikazungumza nae ili nimuombe msamaha nahivi ndivyo alivyonijibu.
“MIMI ninakupenda sana tu na hata huyu uliyekuta sms zake anajua jinsi ninavyokupenda lakini kwa ulichonifanyia moyo wangu haupo tena kwako Upo kwa huyu coz we ilinisema vibaya ila huyu alinibembeleza ila kama unaweza nipe mda kama Kweli unanipenda “
Najaribu kumasahau nashindwa coz nilimuamini sana nabado ninampenda sitaki kumpoteza coz tushafany mamb mengi sana yamaisha na hata starehe pia…😩. ikimpigia cm neno lake kubwa tusiongelee kilichotokea utanikwaza tuendelee kuishi sasa sijui nifanyaje nahitaji nifike nae mbali kiujumla hasira zangu ndo zimeniponza.
Naombeni ushauri jamni 🙏🙏🙏🙏
“MIMI ninakupenda sana tu na hata huyu uliyekuta sms zake anajua jinsi ninavyokupenda lakini kwa ulichonifanyia moyo wangu haupo tena kwako Upo kwa huyu coz we ilinisema vibaya ila huyu alinibembeleza ila kama unaweza nipe mda kama Kweli unanipenda “
Najaribu kumasahau nashindwa coz nilimuamini sana nabado ninampenda sitaki kumpoteza coz tushafany mamb mengi sana yamaisha na hata starehe pia…😩. ikimpigia cm neno lake kubwa tusiongelee kilichotokea utanikwaza tuendelee kuishi sasa sijui nifanyaje nahitaji nifike nae mbali kiujumla hasira zangu ndo zimeniponza.
Naombeni ushauri jamni 🙏🙏🙏🙏