Selemani See
Member
- Aug 27, 2023
- 20
- 30
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo.
Bila kupoteza muda, naomba nizame kwenye mada.
Kwa yeyote mwenye idea juu ya uuzaji vitabu used (mitumba).
Napita mitaani naona watu wanauza vitabu used.
Binafsi, naomba kujua huwa wanavilangua wapi?
Bila kupoteza muda, naomba nizame kwenye mada.
Kwa yeyote mwenye idea juu ya uuzaji vitabu used (mitumba).
Napita mitaani naona watu wanauza vitabu used.
Binafsi, naomba kujua huwa wanavilangua wapi?