msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Beesmom

    Msaada: Mnawezaje kuishi na mtu mnafiki?

    Hivi wenzangu mnawezaje kuishi na mtu mnafki? Yaan anajifanya yupo na upendo nawe afu kumbe anaumia ndani Kwa ndani.Mi huwa nikigundua huyu mtu siyo...anajitesa tu na kuforce maigizo ya kunipenda huwa namwignore daima...Yaan nampotezea jumla. Siwezagi kupretend sioni wakati naona Kwa...
  2. Loimata

    Msaada: Period (hedhi) inanitesa

    Habari zenu wakuu. Nachukia the way ninakua ninapokua kwenye hedhi. Ninapokua kwenye siku zangu mahusiano yangu na watu wengine yanakua hatarini. Mwanzoni nilikua nachukulia kawaida ila sasa hivi nimejua hili ni tatizo tena kubwa na ninaomba anayeweza kunisaidia anisaidie nifanyaje mana hata...
  3. Vangigula

    Msaada: Mtoto kupoteza uwezo wa kuongea

    Natumai nyote mko vyema. Moja kwa moja kwenye mada, nina mtoto wa kiume ambaye mwezi wa sita mwaka huu ametimiza miaka miwili. Stages nyingine zote kama kukaa, kutambaa, kutembea, kuanza kuota meno etc. alizipitia kwa wakati. Akiwa na around mwaka mpaka mwaka na nusu alikuwa anaweza kusema mom...
  4. Vangigula

    Msaada: Mtoto kupoteza uwezo wa kuongea

    Natumai nyote mko vyema. Moja kwa moja kwenye mada, nina mtoto wa kiume ambaye mwezi wa sita mwaka huu ametimiza miaka miwili. Stages nyingine zote kama kukaa, kutambaa, kutembea, kuanza kuota meno etc. alizipitia kwa wakati. Akiwa na around mwaka mpaka mwaka na nusu alikuwa anaweza kusema mom...
  5. Wakuperuzi

    Msaada: Hizi ni dalili za ujauzito?

    Mara ya mwisho kukutana na binti huyu ni siku yake ya kumi toka ameanza kubleed. Je, dalili hizi kwake inaweza kuwa ni ujauzito? chuchu kuuma, mwili kukosa nguvu,kupoteza hamu ya kula pamoja na kichefuchefu
  6. turubbo

    Naumia sana ninaposhindwa kuwa msaada kwa wazazi wangu

    Yaani jinsi maisha yalivyo magumu kwangu nawaza maishani mwangu nisije kupata mtoto akaja duniani kuja kula msoto kama Mimi. Maana Mimi mwenyewe niña wazazi lakini siwezi kuwasaidia msaada wowote wanahangaika nauzee wao mtoto wao sieleweki. Bora niwe wa mwisho kuteseka ila damu yangu nisiilete...
  7. rr4

    Niger waomba msaada kwa Wagner group

    Skip links Skip to Content LIVE News Niger’s military rulers ask for help from Russian group Wagner The new military government seeks help from Wagner mercenaries against ECOWAS intervention, according to a news report. The streets of Niamey, the capital of Niger, days after the coup [File...
  8. Melancholic

    Msaada wa haraka, eneo gani Sinza wanauza Kitimoto?

    Ni wapi wanachinja yule mdudu mtamu namaanisha kitimoto kwa maeneo ya Sinza na Kijitonyama? Msaada wa haraka unahitajika wakuu mdomo unawasha sana weekend hii. Nawasilisha.
  9. B

    World Muslim Link yatoa msaada wa kilo 3 za Maharage kwa yatima kutoka Serikali ya Saudia, Mstahiki Mayor wa Temeke awashukuru

    Asabuhi leo napitia pitia na kusikiliza Radio Free Africa. Jana hii Taasisi imetoa msaada wa Kilo 3 za maharage kutoka Saudia. Mayor amewashukuru sana na kuishukuru Saudia kwa msaada huu mkubwa kwa wenye shida. Habari hii imetangazwa sana kitaifa na kimataifa. Asanteni sana ndugu zetu katika...
  10. M

    Msaada kwa wanaofahamu: Hizi scale za walimu katika mashirika ya umma PSTS zikoje.

    Mashiirika ya umma kama vile Kibaha Education Centre yanayomiliki shule, walimu wake hutumia ngazi za mishahara za PSTS tofauti na walimu chini ya Tamisemi wanaotumia ngazi za TGTS. Mwalimu anayeanza huko kwenye mashirika huanzia PSTS 3, wakati huko Tamisemi huanzia TGTS D1 771,000/= kwa mwezi...
  11. M

    Msaada kwa wanaofahamu: Hizi scale za walimu katika mashirika ya umma PSTS zikoje

    Mashiirika ya umma kama vile Kibaha Education Centre yanayomiliki shule, walimu wake hutumia ngazi za mishahara za PSTS tofauti na walimu chini ya Tamisemi wanaotumia ngazi za TGTS. Mwalimu anayeanza huko kwenye mashirika huanzia PSTS 3, wakati huko Tamisemi huanzia TGTS D1 771,000/= kwa...
  12. erickelly

    Msaada: Nilibadili jina na ninataka kupata Passport. Nifanye nini Passport iwe na jina langu jipya?

    Habari viongozi kijana wenu na shida moja. Mimi ni kijana Mtanzania ,shida yangu ni moja, mimi naitwa Elieth jina la kuzaliwa nalo lakini tangu nakua hilo jina walikuwa wakiniambia ni la kike hata shule pia lilikuwa kwenye arodha ya wanawake, kibaya zaidi nimeenda kutengenezea kitambulisho cha...
  13. MDAU TZ

    Naomba msaada wa Kisheria Kanuni za kazi

    Habari wapendwa? Tafadhali naomba ufafanuzi wenu juu ya hili Je, nini maana ya Part time worker? Na sheria ya kazi imetafsiri vipi juu ya Part time? Na je, Huyu Part time worker ni lazima akatwe pesa kwa ajili ya mifuko ya akiba ya kijamii?
  14. J

    Msaada wa sehemu ya kupata Dola kwa Dar

    Habari ndugu zangu humu jukwaani, naombeni machimbo wapi ntapata dollar. Nimezunguka sana kwenye benki lakini nimekwama, hakuna kabisa. Sehemu gani naweza kupata dola ndugu zangu? Nahitaji kuagiza mzigo Japan.
  15. C

    Rais Samia muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA

    Leo naandika kwa hasira. Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol? Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..! Taarifa hii hapa chini kwa uchache:- Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati...
  16. Orketeemi

    Msaada wa changamoto hii ya kadi ya Azam TV

    Wakuu Nina king'amuzi kipya cha AZAM Card nikiweka naona maandishi " Smart card mute" Nawapigia Azam wako busy. Nifanye nini?
  17. Stephano Mgendanyi

    Huduma ya msaada wa Kisheria kuwa endelevu

    Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa Mtandao wa Watoa Huduma ya Msaada wa Kisheria (TANLAP) na Menejimenti ya Legal Services Facility “LSF” jijini Dar es Salaam. Mhe.Ndumbaro amekutana kujadili masuala ya msaada wa kisheria na ufahamu wa...
  18. Unique Flower

    Naombeni msaada

    Ni hivi nimepata kazi yakumtangazia mtu kazi yake so nikaanza mwanzo niliuza bidhaa mbili . Ila sasa hivi hata moja siuzi wateja waliokubali kufanya na mimi wanadai bidhaa nzuri ila kukubali na kununua bidhaa hawataki . Nawengine nikiwaambia kuhusu hiyo bidhaa wanazima simu. Hawataki...
  19. M

    Msaada: Nimeishiwa nguvu za kiume

    Wapendwa naomba msaada nimeishiwa nguvu za kiume miezi miwili sasa hata nimekuwa kero kwa mwenza wangu. Uume umepungua hata ningebanwa mkojo haustuki unabaki umelegea. Maumivu ya kiuno ni makubwa na hayo yana zaidi ya miaka kumi. Hospitali wamekuwa wakinipa dawa za kupaka tu na za maumivu.
  20. King Sae

    Msaada wa ku unlock iPhone, nimesahau passcode

    Sina mengi ya kuandika, msaada kwenye tuta hizi simu zengine basi tu
Back
Top Bottom