Msaada: Interview TRA Civil Technician (ll)

Brightly

JF-Expert Member
Apr 28, 2022
261
353
Habari wanajf, Naomba kwa yeyote anaefahamu TRA wanatoa aina ganii ya maswali kwenye written interview maana ndiyo mara yangu ya kwanza kuona interview ya civil engineering TRA, ninachojiuliza je? Watauliza maswali yanayohusiana na kada yangu au yanayohusiana na Mambo ya Kodi na vitu vingine. Karibunii wenye moyo wa kusaidia ndugu zangu!!!!
 
Ngoja watu watoke mihangaikoni, watakupa ushirikiano. Kila la heri kwenye interview yako.
 
Habari wanajf, Naomba kwa yeyote anaefahamu TRA wanatoa aina ganii ya maswali kwenye written interview maana ndiyo mara yangu ya kwanza kuona interview ya civil engineering TRA, ninachojiuliza je? Watauliza maswali yanayohusiana na kada yangu au yanayohusiana na Mambo ya Kodi na vitu vingine. Karibunii wenye moyo wa kusaidia ndugu zangu!!!!
Fani yako poti
 
Back
Top Bottom