BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,190
Wakuu poleni na majukumu.
Napenda kuelezea dukuduku langu kuhusu biashara ya clearing and forwarding kwa hapa Tanzania.
Hii ndio biashara yenye CHANGAMOTO nyingi kuliko biashara yeyote hapa Tanzania. Kwa upande wa serikali wanajitahidi, Ila shida nimeiona kwa hizi shipping agent na bandari kavu.
Kuna baadhi ya shipping agent na bandari kavu wanawaumiza sana clearing agent, kwa kuwa na tozo ambazo hazieleweki zimetokea wapi. Kila kipengele unajaziwa tozo ambazo mtu mwenye akili timamu unajiuliza hizi tozo ni za Nini.
Ushauri
Mamlaka zinazohusika nawaomba muwaite shipping agent, bandari kavu, na clearing agent kila mtu atoe malalamiko yake, la sivyo watu watakuja kuumizana kwa tozo za ajabu ajabu
Naomba kuwasilisha
Napenda kuelezea dukuduku langu kuhusu biashara ya clearing and forwarding kwa hapa Tanzania.
Hii ndio biashara yenye CHANGAMOTO nyingi kuliko biashara yeyote hapa Tanzania. Kwa upande wa serikali wanajitahidi, Ila shida nimeiona kwa hizi shipping agent na bandari kavu.
Kuna baadhi ya shipping agent na bandari kavu wanawaumiza sana clearing agent, kwa kuwa na tozo ambazo hazieleweki zimetokea wapi. Kila kipengele unajaziwa tozo ambazo mtu mwenye akili timamu unajiuliza hizi tozo ni za Nini.
Ushauri
Mamlaka zinazohusika nawaomba muwaite shipping agent, bandari kavu, na clearing agent kila mtu atoe malalamiko yake, la sivyo watu watakuja kuumizana kwa tozo za ajabu ajabu
Naomba kuwasilisha