Naomba msaada kwenye ess kuomba mkopo

Naomba msaada kwenye ess kuomba mkopo

Mama Edina

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
942
Reaction score
2,269
Nikifika hatua ya mwisho napata ujumbe huu, na nimefanya kila kitu kujaribujaribu bado ujumbe ni ule ule
1000071200.jpg

Nimewasiliana na benk wanaelekeza na nafanya marekebisho wapi.

Nionacho wataalaam wa IT wanisaidie hili jambo
 
Nikifika hatua ya mwisho napata ujumbe huu, na nimefanya kila kitu kujaribujaribu bado ujumbe ni ule uleView attachment 3629724
Nimewasiliana na benk wanaelekeza na nafanya marekebisho wapi.

Nionacho wataalaam wa IT wanisaidie hili jambo
Nimewasiliana na benk wanaelekeza na nafanya marekebisho wapi.

☝️☝️☝️

Hapo umeuliza nini?
 
Hii ni error code ya kwenye system uzuri si imekuonyesha nini kinatakiwa kufanyika hapa.Sema vipi Mama Edina mambo ya mikopo sio achana nayo kama hakuna ulazima ukianza marejesho ndio utaona kazi ngumu hiyo.

Kila la kheri lakini
 
Back
Top Bottom