Serikali ya mazafakas ina kikosi maalumu cha kuihujumu. Kama hukusudii kuchangia, labda isikilize after the fact.Kwa upande wangu limekuwa tatizo la kudumu. nikijoin inakatakata huwezi kupata flow kabisa ya kinachoongelewa.
Nifanyeje niweze kusikiliza bila kukatakata.
Kuchangia hapana. Basi nitakuwa nasikiliza baada ya kumaliza maana inakuwa recorded. Asante sanaSerikali ya mazafakas ina kikosi maalumu cha kuihujumu. Kama hukusudii kuchangia, labda isikilize after the fact.
Let me try. AsanteJaribu kutumia website badala ya app.
Dada miaka yote upo kule bado tu hujui kuingiziwaKwa upande wangu limekuwa tatizo la kudumu. nikijoin inakatakata huwezi kupata flow kabisa ya kinachoongelewa.
Nifanyeje niweze kusikiliza bila kukatakata.