Muyabi colors
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 2,679
- 3,828
Wakuu kwema habari zenu vipi Poleni sana na majukumu wakuu,
Ndugu yenu mdau wa Jamiiforum nakufa njaa nimeazisha Uzi wa dagaa na samaki mnipatie kazi niwatafutie lakini Naona kimya sana wakuu, Mimi ndo nimeanza Sina mtaji nimeamua kujiajiri ziwani kwa kuwatafutia samaki na dagaa,
Ili nisikae Bure naona maisha magumu naomba ata msaada wako mwenye kiasi chochote anisaidie Sina kitu kingine cha kufanya naomba mnisaidie wakuu 0622730684 japo ata buku ten tu wakuu
Pia naomba mniungishe kwenye samaki na dagaa 🙏😥😭
Ndugu yenu mdau wa Jamiiforum nakufa njaa nimeazisha Uzi wa dagaa na samaki mnipatie kazi niwatafutie lakini Naona kimya sana wakuu, Mimi ndo nimeanza Sina mtaji nimeamua kujiajiri ziwani kwa kuwatafutia samaki na dagaa,
Ili nisikae Bure naona maisha magumu naomba ata msaada wako mwenye kiasi chochote anisaidie Sina kitu kingine cha kufanya naomba mnisaidie wakuu 0622730684 japo ata buku ten tu wakuu
Pia naomba mniungishe kwenye samaki na dagaa 🙏😥😭