Naomba msaada wenu wateja wa dagaa na samaki

Naomba msaada wenu wateja wa dagaa na samaki

Muyabi colors

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
2,679
Reaction score
3,828
Wakuu kwema habari zenu vipi Poleni sana na majukumu wakuu,

Ndugu yenu mdau wa Jamiiforum nakufa njaa nimeazisha Uzi wa dagaa na samaki mnipatie kazi niwatafutie lakini Naona kimya sana wakuu, Mimi ndo nimeanza Sina mtaji nimeamua kujiajiri ziwani kwa kuwatafutia samaki na dagaa,

Ili nisikae Bure naona maisha magumu naomba ata msaada wako mwenye kiasi chochote anisaidie Sina kitu kingine cha kufanya naomba mnisaidie wakuu 0622730684 japo ata buku ten tu wakuu

Pia naomba mniungishe kwenye samaki na dagaa 🙏😥😭
 
Mi nimepita kote huko na mpaka nakoment hapa naelewa.
Vibarua vipo na kama hutaki kuvifanya ili upate mtaji wa samaki na dagaa sio Latina.
Sio rahisi kama unavyodhani hivyo mkuu, kila mtu ana watu wake, unasema kufunga box au rolly la samaki kila mtu ana watu wake ata kwenye samaki Kuna connect au connection mkuu
 
Sina ata senti unatuma hela miki nakutafutia bidhaa unayotaka
Ndio maana nimesema ni ngumu Mkuu katika zama hizi za utapeli, ungeanza huko huko ziwani,

Kwa mfano mtu wa mbali anapataje hakikisho la pesa yake na hamfahamiani?
 
Uhaminifu wangu. Ndo utaniita Mimi tapeli au mwaminifu nataka mwenye mfano, Sina mtaji nataka kuwaonesha
Dagaa bei gani?
Wale wa kukaanga?
Wewe utapaje ujira wako hapo kwenye kuagizwa dagaa?
Kuna mtu anafanya hiyo biashara Ila mtu wake kazingua. Naweza kukuunganisha ukinipa majibu ya kuridhisha.
 
Ndio maana nimesema ni ngumu Mkuu katika zama hizi za utapeli, ungeanza huko huko ziwani,

Kwa mfano mtu wa mbali anapataje hakikisho la pesa yake na hamfahamiani?
Namba zangu yote majina yangu Sina tabia Wala hulka ya utapeli nasema natafuta mtu wa mfano harafu aje kusema, atake dagaa au samaki namba yangu hii 0622730684
 
Dagaa bei gani?
Wale wa kukaanga?
Wewe utapaje ujira wako hapo kwenye kuagizwa dagaa?
Kuna mtu anafanya hiyo biashara Ila mtu wake kazingua. Naweza kukuunganisha ukinipa majibu ya kuridhisha.
Sado 15000 dagaa wabichi wenye nyama wasio na mchanga, kukaanga nakaanga Mimi bei inatofautiana pia, kuangizwa dagaa pia bei zimetofautiana
 
wakati unasubiri wateja wa Samaki na dagaa ,,,
hapohapo ziwani au mwaloni tafuta kibarua hutakosa pesa kwa siku hata ya kula.
Dah mzee mwenzangu ,heshima yako nimeipenda sana komenti yako ,hakika aifanyie kazi mno

Maana kwa hili analotaka naona akikosa kuaminiwa kabisa hata na wataohitaji kushirikiana naye .
 
Wakuu bei ya samaki kama wanafika Leo Leo wabichi bila kukaanga watakuwa vizuri maana unakuta nimewatengeneza kama ukitaka bila kuwakaanga wafike wabichi kwako huko
 
Back
Top Bottom