Habari wakuu,
Natumai mu wazima, naombeni kwa mwenye kibarua au anayejua mahali kuna nafasi za kazi anisaidie. Nimesomea kozi ya medical attendant, nimewahi kufanya kazi kwenye dispensary baadhi za watu binafsi, kwa sasa hali ni ngumu kwani ajira hakuna na pia mitaji imekuwa ngumu kidogo kuipata.
Nipo tayari kwa kibarua chochote kile halali.
Natumai mu wazima, naombeni kwa mwenye kibarua au anayejua mahali kuna nafasi za kazi anisaidie. Nimesomea kozi ya medical attendant, nimewahi kufanya kazi kwenye dispensary baadhi za watu binafsi, kwa sasa hali ni ngumu kwani ajira hakuna na pia mitaji imekuwa ngumu kidogo kuipata.
Nipo tayari kwa kibarua chochote kile halali.