Habari wakuu,
Naomba mwenye taarifa au uzoefu na maeneo tajwa hapo juu kwa utafutaji
Kifupi nilibahatika kuajiriwa na taasisi kubwa ya kifedha hapa nchini, mshahara haukuwa mbaya, nilitaka kubadili mazingira ya kazi na kujiajiri kwenye biashara, vile isivyo bahati nilifeli.
Tangu hapo...