msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    JamiiForums Tanzania Msaada: Tiba ya masikio kulia kama kengele

    Wakuu habari, Naomba masaada mwenye kujua tiba mbadala au ya kisasa ya masikio kulia kama kengele au miluzi. Janga hili linanitesa sana nashindwa kusikia vizuri.
  2. dist111

    JamiiForums Tanzania Msaada: Xiaomi/Oppo zinapatikana wapi?

    Wakuu naombeni msaada wa maelekezo ya duka ninaloweza pata Xiaomi/Oppo za kijanja za 400-600 elf. Maduka mazuri yaliyopo Kariakoo ndo yatanifaa maana nitakuwa mitaa hiyo tomorrow morning. Msaada wenu utazingatiwa sana. Natanguliza shukran
  3. Liutenant

    JamiiForums Tanzania Msaada, namna ya kurekebisha jina la awali lifanane na la kwenye NIDA

    Salamu wakuu Naomba msaada wa kufahamishwa namna ya kurekebisha jina kwenye kitambulisho changu kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii. Yaani ni kwamba jina langu la kwenye NIDA lile la katikati ni tofauti na lililopo kwenye mfumo wa nssf. Hayo majina yametofautiana lakini yote ni majina ya baba...
  4. Superpower

    JamiiForums Tanzania Msaada jamani ni shida na multi meter model DT 9205A

    Jamani habarini wapendwa ni hivi juzi Kati hapo nilinunua multimeter aina ya siltron DT 9205A Sasa ninapashida wakati wakupima kiasi cha umeme kutokana na kwamba inaleta short pindi nianzapo kupima nimejaribu kwanza kwenye port ya 20A kwakuwa nimehisi kuwa umeme wa nyumbani huwa unarange 200mA...
  5. ANT DRUGS

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada namna ya kuwasiliana na wahudumu wa king'amuzi cha continental

    Bila kuwashosha wakuu wangu naomba msaada wa namna ya kuwasiliana na wahudumu tajwa hapo juu.
  6. Reuben Rapha

    JamiiForums Tanzania Kwa ufaulu huu anaweza kuchukuliwa Mechanical Engenering?

    Habari Wana jf, Dogo hapa amepata matokeo ya PCM(C,C,D) respectively na anadivision 1.16 lakini aliomba chuo hawakumpa KIPINDI Cha selection Sasa tumejalibu kuapply. Je, kwa ufaulu huu katka vyuo vya ufundi(Tech) wanaweza mchukua kwa (Mechanical or Electrical engeering) maana nasikia sasahv...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Matokeo haya unaweza kusoma kozi ya Clinical Medicine?

    Ninamdogo Wangu Amemaliza Form six Amesoma CBG lakini Matokeo yake ni kama ifuatavyo Chem:E Bios:E Geog D Bam:E Gs:E Amekosa sifa zakwenda chuo kikuu so inabidi akasome diploma na Muhusika Anapenda kusoma course ya Clinical Medicine so Binafsi sinauelewa juu ya vyuo vya sayansi Naombeni...
  8. hydroxo

    JamiiForums Tanzania Mwenye past papers za A-level za Physics, Chemistry, Biology na Geography za mwaka huu

    Mwenye past papers za A-level za Physics, Chemistry, Biology na Geography za mwaka huu.
  9. Binadamu Mtakatifu

    JamiiForums Tanzania Msaada: Vigezo vya kusomea software engineering kwa tunaomaliza form4

    Habarini! Hapa naomba msaada nahitaji kusomea software engineering hapo DIT. Maswali yangu: 1.Je inaitaji kombi gani kwamimi sijasoma chemistry nina physical tu? 2.ufaulu kiasi gani? 3.Je ada yake ikoje kwa mwaka? 4.ninaweza anza na diploma moja kwa moja au mpk certificate. NAWAKILISHA.
  10. Umuzukuru

    JamiiForums Tanzania Msaada wa pendekezo la course ya kusoma chuo kati ya hizi

    Habari wakuu, Ngoja nisipoteze muda nahitaji msaada wa pendekezo la course ya kusoma chuo kati ya hizi zifuatazo: 1. BSc. Land management and valuation-Ardhi University 2. BA. Economics-Aru or Udsm 3. BSc. Accounting and Finance 4. Road and railway in logistics(Shipping operational road and...
  11. Mech engineer

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mabati na bei zake

    Habarini wakuu, nauliza bei ya mabati ya msouth kwa bei ya kiwandani. Kama bei itaambatana na grade number itapendeza zaidi. Pia kwa anayefahamu yanakopatikana kwa hapa Mwanza (nasikia kuna kiwanda cha mabati japo sina uhakika). Natanguliza shukrani
  12. babu M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Digicert cloud services CA-1 Not trusted.

    Hii meseji imekuwa ina pop up kwenye iphone yangu mara kwa mara. Hata sasa hivi nilipokuwa ninaandika hii thread ime pop up tena. Msaada: -Madhara yake yapi ikiwa “Trusted” au “Not Trusted”? -Faida yake yapi ikiwa “Trusted” au “Not Trusted”? - Jinsi gani ninaweza kutatua ili tatizo? It is very...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Naichukia sana CCM, naombeni msaada wa kisaikolojia

    Mwenzenu kila nikisikia neno CCM napata kichefuchefu. Nikiona mtu kavaa nguo za CCM huwa nahisi kutapika. Nikisikia mtu anaongea kwa kuonyesha kuipenda CCM huwa naziba masikio, kama nipo kwenye daladala huwa nashuka kituo kinachofuata hata kama kituo changu cha kushukia hakijafika ili...
  14. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Wazoefu wa Aliexpress mpitie hapa mtoe msaada wa haraka tafadhali

    Wakuu Habari ya nyie, nahitaji kuagiza simu aliexpress ila sio mzoefu sana, make nilipoagiza mara ya kwanza kwa ajili ya kupata uzoefu ndo nilibaki njia panda, niliagiza kitu cha dollar 1.5 tar 01/06 mpaka leo tar 20/07 inasoma departed country of origin shipping method cannaiao economy global...
  15. Pdidy

    JamiiForums Tanzania TFF wanadaiwa mamilioni na mama F. Bayi

    Nimesikia aibu sa na kuona mzee wangu Filbert Bayi akilalamika TFF kwa kuidai pesa za mamilioni kwa kuihifadhi timu ya Taifa. Nawapa onyo wafanyabiashara mnaodanganywa kusaidia timu za taifa mtalipwa mtalia. F.Bayi ameiletea history Tanzania katika kujikimu akaweka vitega uchumi vyake...
  16. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: control number request DIT inasumbua

    Kwa aliyefanikiwa kuapply dit hyo control namb ilifika baada ya muda gani,,Mimi nimerequest masaa matatu saizi sioni kinachoendelea
  17. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Msaada Samsung A20s imejilock

    Imejilock. Na password yake ni 2000. Siwezi kufanya chochote napokea simu tu. Ikitaka passwaord nikiweka inaniambia nijaribu baada ya sec 30. Kila nikijaribu inarudia tena hivyo hivyo. Kama kuna maujanja mnisaidie tafadhali. Chief-Mkwawa reyzzap
  18. KasomaJr

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa mwenye uzoefu kupata US- Visa

    Hbari waja-Jamii Forum, Nakuja kwenu kuomba msaada wa uzoefu kwa wale ambao tayari wamepita huko, kupata VISA ya US hususani kwa mtu anae kwenda kusoma nje (USA), Nachotaka kufahamu ni challenge kubwa huwa ni eneo gani na namna ya kukabiliana nayo. Kwangu nina issue mbili ambazo hasa nahitaji...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Habari nahitaji kuagiza vitenge Zambia utaratibu kwa anayefahamu naomba msaada wake

    Mimi nahitaji kufanya biashara kutoa vitu zambia kuleta tanzania (vitu kama vitenge). kwa anayefahamu utaratibu naomba msaada nijue cha kufanya.
  20. Miguel Alvarez

    JamiiForums Tanzania Kuku wa kienyeji baada ya kutaga uchukua muda gani kuanza kuyalalia mayai

    Habari za majukumu wakuu, Naomba kuuliza hivi Kuku wa kienyeji baada ya kutaga uchukua muda gani kuanza kuyalalia mayai.
Back
Top Bottom