Bechede
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 800
- 2,187
Kwema wakuu?
Nisiwachoshe, niende kwenye kiini cha uzi.
Hii movie ina nadharia ya comedy, nilipata kuiona katika moja ya channel DSTV. Lakini sikubahatika kuimalizia mpaka mwisho.
Inaanza watu wanaenda kwenye house party, sasa kuna vijana nafikiri wawili (sina uhakika), wanawahi kufika kwenye party na kumkuta huyo host wa hiyo party ameshafariki halafu haijulikani ni nani amemuua.
Kwa kuogopa jumbabovu lisije kuwaangukia, wakazuga kuwa huyo host hajafa. Kwa hiyo wakamvalisha miwani halafu wakakaa nae kama vile marehemu yupo hai
Ikitokea marehemu akiulizwa kitu na mtu, mmoja wao labda anakitikisa kichwa cha marehemu au mkono kuashiria marehemu yuko safi kumbe ashadanji kitambo. Wakawa wanazunguka tu na maiti huku waalikwa wanaamini marehemu yuko hai, mara wamempandisha boti n.k katika harakati za kumtafuta muuaji halisi ni nani?
Nisiwachoshe, niende kwenye kiini cha uzi.
Hii movie ina nadharia ya comedy, nilipata kuiona katika moja ya channel DSTV. Lakini sikubahatika kuimalizia mpaka mwisho.
Inaanza watu wanaenda kwenye house party, sasa kuna vijana nafikiri wawili (sina uhakika), wanawahi kufika kwenye party na kumkuta huyo host wa hiyo party ameshafariki halafu haijulikani ni nani amemuua.
Kwa kuogopa jumbabovu lisije kuwaangukia, wakazuga kuwa huyo host hajafa. Kwa hiyo wakamvalisha miwani halafu wakakaa nae kama vile marehemu yupo hai
Ikitokea marehemu akiulizwa kitu na mtu, mmoja wao labda anakitikisa kichwa cha marehemu au mkono kuashiria marehemu yuko safi kumbe ashadanji kitambo. Wakawa wanazunguka tu na maiti huku waalikwa wanaamini marehemu yuko hai, mara wamempandisha boti n.k katika harakati za kumtafuta muuaji halisi ni nani?