Kwanza kabisa napenda kukupa pole na majukumu ya kitaifa.
Vile vile tunakuombea wewe na Serikali yetu katika utekelezaji mwema wa majukumu ya nchi ili kuinua uchumi.
Mweshmiwa Rais katika muda mchache huu umeonuesha matumaini ya watanzania kupata maisha bora, Ajira na uchumi kuinuka tena hongera sana na Mungu akubariki kwa hilo.
Niende kwenye lengo husika, katika siku za hivi karibuni umekuwa ukifanya ziara na kusimama barabarani kuongea na wananchi, lakini wananchi wanapopewa maiki kusema kero zao hakuna solution yoyote zaidi ya kusema unawaachia maofisa wako.
Mbaya zaidi kuna watu wanashida za muda mrefu mfano yule mama mjane juzi anakueleza shida yake, wewe kama Rais ilibidi uitatue pale pale kwa kuwahita wahusika wajibu, matokeo yake unamwambia awaone sijui wakuu wa mkoa sijui nani, kwani unafikiri ye alikuaga hawaoni?
Hii nchi ina watu wenye viburi kesi zinafichwa hata na ma OCD lakini mtu anapokuona wewe Rais anaona kama amepata mkombozi utatue swala lake.
Kama umeamua kuendeleza style ya mtangulizi wako ya kuongea na wananchi njiani basi endeleza na kutatua kero, JPM alikua kama imetokea kero anawaita wahusika kiwahoji pale pale na anatoa maamuzi pale pale.
Sasa Rais wangu wewe hufanyi hvyo, sisi wananchi tunakutegemea ww huku Uraiani kuna uonevu mwingi sana.
Mimi nafikiri kama utaendelea na style yako hii basi ziara za barabarani achana nazo hazina tija kwetu zaidi ya kutuongezea foleni na kutupotezea muda.
Vile vile tunakuombea wewe na Serikali yetu katika utekelezaji mwema wa majukumu ya nchi ili kuinua uchumi.
Mweshmiwa Rais katika muda mchache huu umeonuesha matumaini ya watanzania kupata maisha bora, Ajira na uchumi kuinuka tena hongera sana na Mungu akubariki kwa hilo.
Niende kwenye lengo husika, katika siku za hivi karibuni umekuwa ukifanya ziara na kusimama barabarani kuongea na wananchi, lakini wananchi wanapopewa maiki kusema kero zao hakuna solution yoyote zaidi ya kusema unawaachia maofisa wako.
Mbaya zaidi kuna watu wanashida za muda mrefu mfano yule mama mjane juzi anakueleza shida yake, wewe kama Rais ilibidi uitatue pale pale kwa kuwahita wahusika wajibu, matokeo yake unamwambia awaone sijui wakuu wa mkoa sijui nani, kwani unafikiri ye alikuaga hawaoni?
Hii nchi ina watu wenye viburi kesi zinafichwa hata na ma OCD lakini mtu anapokuona wewe Rais anaona kama amepata mkombozi utatue swala lake.
Kama umeamua kuendeleza style ya mtangulizi wako ya kuongea na wananchi njiani basi endeleza na kutatua kero, JPM alikua kama imetokea kero anawaita wahusika kiwahoji pale pale na anatoa maamuzi pale pale.
Sasa Rais wangu wewe hufanyi hvyo, sisi wananchi tunakutegemea ww huku Uraiani kuna uonevu mwingi sana.
Mimi nafikiri kama utaendelea na style yako hii basi ziara za barabarani achana nazo hazina tija kwetu zaidi ya kutuongezea foleni na kutupotezea muda.