msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mech engineer

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mabati na bei zake

    Habarini wakuu, nauliza bei ya mabati ya msouth kwa bei ya kiwandani. Kama bei itaambatana na grade number itapendeza zaidi. Pia kwa anayefahamu yanakopatikana kwa hapa Mwanza (nasikia kuna kiwanda cha mabati japo sina uhakika). Natanguliza shukrani
  2. babu M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Digicert cloud services CA-1 Not trusted.

    Hii meseji imekuwa ina pop up kwenye iphone yangu mara kwa mara. Hata sasa hivi nilipokuwa ninaandika hii thread ime pop up tena. Msaada: -Madhara yake yapi ikiwa “Trusted” au “Not Trusted”? -Faida yake yapi ikiwa “Trusted” au “Not Trusted”? - Jinsi gani ninaweza kutatua ili tatizo? It is very...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Naichukia sana CCM, naombeni msaada wa kisaikolojia

    Mwenzenu kila nikisikia neno CCM napata kichefuchefu. Nikiona mtu kavaa nguo za CCM huwa nahisi kutapika. Nikisikia mtu anaongea kwa kuonyesha kuipenda CCM huwa naziba masikio, kama nipo kwenye daladala huwa nashuka kituo kinachofuata hata kama kituo changu cha kushukia hakijafika ili...
  4. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Wazoefu wa Aliexpress mpitie hapa mtoe msaada wa haraka tafadhali

    Wakuu Habari ya nyie, nahitaji kuagiza simu aliexpress ila sio mzoefu sana, make nilipoagiza mara ya kwanza kwa ajili ya kupata uzoefu ndo nilibaki njia panda, niliagiza kitu cha dollar 1.5 tar 01/06 mpaka leo tar 20/07 inasoma departed country of origin shipping method cannaiao economy global...
  5. Pdidy

    JamiiForums Tanzania TFF wanadaiwa mamilioni na mama F. Bayi

    Nimesikia aibu sa na kuona mzee wangu Filbert Bayi akilalamika TFF kwa kuidai pesa za mamilioni kwa kuihifadhi timu ya Taifa. Nawapa onyo wafanyabiashara mnaodanganywa kusaidia timu za taifa mtalipwa mtalia. F.Bayi ameiletea history Tanzania katika kujikimu akaweka vitega uchumi vyake...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: control number request DIT inasumbua

    Kwa aliyefanikiwa kuapply dit hyo control namb ilifika baada ya muda gani,,Mimi nimerequest masaa matatu saizi sioni kinachoendelea
  7. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Msaada Samsung A20s imejilock

    Imejilock. Na password yake ni 2000. Siwezi kufanya chochote napokea simu tu. Ikitaka passwaord nikiweka inaniambia nijaribu baada ya sec 30. Kila nikijaribu inarudia tena hivyo hivyo. Kama kuna maujanja mnisaidie tafadhali. Chief-Mkwawa reyzzap
  8. KasomaJr

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa mwenye uzoefu kupata US- Visa

    Hbari waja-Jamii Forum, Nakuja kwenu kuomba msaada wa uzoefu kwa wale ambao tayari wamepita huko, kupata VISA ya US hususani kwa mtu anae kwenda kusoma nje (USA), Nachotaka kufahamu ni challenge kubwa huwa ni eneo gani na namna ya kukabiliana nayo. Kwangu nina issue mbili ambazo hasa nahitaji...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Habari nahitaji kuagiza vitenge Zambia utaratibu kwa anayefahamu naomba msaada wake

    Mimi nahitaji kufanya biashara kutoa vitu zambia kuleta tanzania (vitu kama vitenge). kwa anayefahamu utaratibu naomba msaada nijue cha kufanya.
  10. Miguel Alvarez

    JamiiForums Tanzania Kuku wa kienyeji baada ya kutaga uchukua muda gani kuanza kuyalalia mayai

    Habari za majukumu wakuu, Naomba kuuliza hivi Kuku wa kienyeji baada ya kutaga uchukua muda gani kuanza kuyalalia mayai.
  11. kabila01

    JamiiForums Tanzania Msaada: Hatua za kufuata katika kilimo cha zabibu

    Habarini Wakuu, Nahitaji kupanda Zabibu miche kama 10 hivi katika eneo linalozunguka nyumba yangu. Nahitaji msaada kwa anayejua hatua kwa hatua za kupanda mpaka kuvuna.
  12. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Baada wa Watendaji wa Serikali za Mitaa Kawe 'Kutimka Mbio' Kuogopa 'Chatu' aliyeko katika pori la Chuo cha Tiba Lugalo msaada unahitajika

    Taarifa ambazo GENTAMYCINE nimethibitishiwa na Mamlaka ya Ofisi za Serikali ya Mitaa Kawe na Mtendaji Mwandamizi kutoka Jeshini Kambini Lugalo kilipo Chuo chao cha Tiba cha MCMS ni kwamba kuna uwepo wa Chatu mkubwa kiasi cha Kutishia Maisha ya Watu. Kwa takribani Siku tatu zimepita Wakazi wa...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Msaada; Jinsi ya kuapply mkopo

    Habari zenu wadau. Naomba kuuliza kwa Waliomaliza Diploma wanatakiwa kuambatanisha nini katika kuapply mkopo.
  14. U

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhari!

    Habarini!,mim ni mtarajiw wa kujiunga na chuo kwa mwaka 21/22 naomb kwa anayejua vyuo vinavyotoa coz za agribusiness na economics,ambvyo n vya serkali,kulingan na ushindani wa izo koz(ufaulu Wang ni EDC-history ,geog v economics respectvely
  15. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Nchi za Afrika zaiomba Benki ya Dunia msaada wa Tsh. Trilioni 231.9 kukabiliana na Corona

    Wakuu wa nchi 13 za Afrika wamekutana Abidjan nchini Ivory Coast na kufanya mazungumzo ya jinsi ya kuhuisha uchumi kutokana na athari za virusi vya corona, kuongeza uwekezaji na upatikanaji wa ajira. Mkutano huo umefunguliwa na Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast aliyetoa wito kwa Benki ya...
  16. Jackwillpower

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wenu nimeitwa usaili na UTUMISHI

    Naomba msaada wenu nijiandae na maswali gani,nimeitwa kwa mara ya kwanza na UTUMISHI,ni post ya MHANDISI MITAMBO DARAJA LA II (MECHANICAL ENGINEER) TEMESA Msaada wenu nipitie wapi job description yao ni hii i. Kufanya kazi chini ya uangalizi wa mhandisi aliyesajiliwa na mwili wa usajili wa...
  17. Jackwillpower

    JamiiForums Tanzania Msaada nimeitwa usail mhandisi mitambo daraja la ii (mechanical engineer)

    Naomba msaada wenu nijiandae na maswali gani,nimeitwa kwa mara ya kwanza na UTUMISHI,ni post ya MHANDISI MITAMBO DARAJA LA II (MECHANICAL ENGINEER) TEMESA Msaada wenu nipitie wapi job description yao ni hii i. Kufanya kazi chini ya uangalizi wa mhandisi aliyesajiliwa na mwili wa usajili wa...
  18. M

    JamiiForums Tanzania NAOMBENI MSAADA WANA JAMII FORUM WENZANGU

    Message…MIMI SIYO MGENI SANA HUMU JF. LAKINI SINA UTAALAMU WA KUTOSHA KATIKA MATUMIZI SAHIHI YA HUU MTANDAO. INGAWA NINAWEZA KUCHANGIA MADA KATIKA THREAD YA MTU MWENGINE. LAKINI MIMI BINAFSI NINAPATA CHANGAMOTO KATIKA KUANZISHA THREAD YANGU. NA HASWA KULE KATIKA JUKWAA LA "STORY OF CHANGE"...
  19. T

    JamiiForums Tanzania Katiba nzuri katika nchi za Afrika haina au ina msaada mdogo sana wa kuleta ustawi wa wananchi

    Kwa yaliyotokea Africa Kusini wananchi kutoka barabarani na kuzua vurugu kubwa dhidi ya uamuzi wa kisheria na kikatiba wa kumuweka ndani Rais Mstaafu, ni dhahiri kwamba bado hatujakomaa kidemokrasia. Jambo lingine limetokea kule Kenya siku chache zilizopita ambapo Rais wa nchi hiyo aliongoza...
  20. hp4510

    JamiiForums Tanzania Msaada Kwa wataalam wa Electronics

    Nina sacket zangu za kutoka kwenye fuso super great ambazo zimeungua na kusababisha gari kukosa nguvu Naitaji msaada kama mtu anaweza kuzifix au kuzifanyia utundu wowote mpaka ziwe okay
Back
Top Bottom