Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,766
- 22,144
Habari za majukumu wadau.
Ndgu yenu simu yangu hii napata mkanganyiko kutumia wi-fi.
Naomba mnijuze nifanye utundu gani niwe najiunga aisee, sometimes hata mtu akiniwashia hotspot basi mpaka kuunganisha hapo ni kisanga kinoma. Mpaka sijui uscan QR code, sasa ni freewife ya mahali fulani labda, hiyo QR code unaitolea wapi? Kwahiyo ni changamoto.
Mficha uchi hazai jama simu yangu ni infinix .
Ndgu yenu simu yangu hii napata mkanganyiko kutumia wi-fi.
Naomba mnijuze nifanye utundu gani niwe najiunga aisee, sometimes hata mtu akiniwashia hotspot basi mpaka kuunganisha hapo ni kisanga kinoma. Mpaka sijui uscan QR code, sasa ni freewife ya mahali fulani labda, hiyo QR code unaitolea wapi? Kwahiyo ni changamoto.
Mficha uchi hazai jama simu yangu ni infinix .