Mke wngu amawashwa sana kila nikitumia kondom kushiriki tendo,
Nikienda kavu anakua sawa
But nikitumia tu komdom baada ya kumaliza tendo anawashwa sana sehem za uke mpk kujikuna sana hii inaweza kua tatizo nn wapendwa?
Maana kufanya bila kondom inaweza kupelekea kupata mimba za kukalibiana sana na kondo ndo hvo inamsumbua,
tatizo ni nini?
Nikienda kavu anakua sawa
But nikitumia tu komdom baada ya kumaliza tendo anawashwa sana sehem za uke mpk kujikuna sana hii inaweza kua tatizo nn wapendwa?
Maana kufanya bila kondom inaweza kupelekea kupata mimba za kukalibiana sana na kondo ndo hvo inamsumbua,
tatizo ni nini?