msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. yousaw

    Milioni 7 naweza kujenga nyumba ya kuanzia maisha?

    Habari wakuu, Naomba kusaidiwa mawazo kwa wale WAELEVU wa mambo ya ujenzi, hv 7M naweza kujenga ka'nyumba ka aina gan ka kuanzia maisha! NB: Kiwanja ninacho!! Thanks
  2. T

    Nabii Mkuu Dkt. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako ndio mtu maarufu kutoka Arusha toka tupate Uhuru

    Ni wazi kwamba toka Tanzania ipate uhuru, Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr Geor Davie wa Ngurumo ya Upako na Msemaji Mkuu wa Serikali na Ufalme wa Mungu hapa Duniani ndie mtu maarufu kuwahi kutokea katika mkoa wa Arusha. Umaarufu na ushawishi wa Nabii Mkuu umefanya sasa hata wanasiasa wa mkoa wa Arusha...
  3. Pascal Mayalla

    Gari lalipuka Moto Mbezi Beach!. Hakuna Msaada Wowote wa Zimamoto/Wananchi ni Kukodoa tu Macho Kuangalia kama Sinema!

    Wanabodi Hii ni sasa hivi maeneo ya Mbezi Beach Tangi Bovu, Ingekuwa ni maeneo ya Uswazi watu angalau wangejitahidi kidogo, japo kusaidia kuzima kwa mchanga!, lakini haya maeneo ya kishure, washure wanakodolea tuu macho!. Zimamoto ndio usizungumzie kabisa!. Mtanisame nili staafu uandishi wa...
  4. Prakatatumba abaabaabaa

    Msaada: Photocopy machine yangu imeshindwa kutambulika kwenye desktop

    Wakuu nilifungua ka stationery kadogo nikamuacha binti, photocopy machine ni canon iR2016 I. Ilikua inapiga kazi vizuri tu nikiiconnect kwenye desktop, sasa binti amenipigia simu kwamba, imezingua desktop inashindwa kuisoma photocopy machine. Nimeenda nimejaribu kila njia ku-install drivers...
  5. MK254

    Urusi waanza kutafuta msaada wa wapiganaji kutokea Serbia

    Supapawa bado anatapa tapa akitafuta wapiganaji wamsaidie kuondoa hii aibu alianzisha pale Ukraine... ARussian news video claiming to show Serbian "volunteers" training to fight alongside Russian troops in Ukraine has prompted outrage in Serbia, exposing its complex relationship with Moscow...
  6. R

    Msaada wa case law ya Review ambayo ilifanikiwa Tanzania

    Sheria inasema kuwa Review lazima ioneshe kuwa kuna kitu/sheria kimekosewa wazi wazi na kuhitaji marekebisho. kwa kiingereza inaitwa : There is a manifest error on the face of the record resulting in the miscarriage of justice. Naomba kama kuna case iliyofanyiwa review na ikaonesha hiyo...
  7. mludego

    Msaada kuhusu Gari hizi aina Copper

    Habarini wakuu, Nisaidieni kujua kuhusu Cooper Ukulaji wake wa mafuta, matunzo yanayofaa, disadvantages zake na advantages, na hiyo speed 260 sustainable kiasi gani kwa hizi road zetu. karibuni..
  8. Njegele

    Msaada: PC yangu sensor haifanyi kazi, tatizo ni nini?

    Wapendwa nimeweka Windows 10 kwenye PC yangu aina ya Acer lakini sensor imegoma kufanya kazi naomba kukujua tatizo itakuwa ni Nini na namna ya kutatua.
  9. Wilhelm Johnny

    Msaada juu ya Jbox

    Wakuu msaada kuna aliyewahi kutumia j box ku bypass iCloud vipi ufanisi wake kabla sijanunua wakuu
  10. Lafacha

    Msaada: Ni software gani au program ambayo inaweza kufanya haya?

    Wakuu heshima yenu, nimekuja mbele yenu nikiwa na swali moja tu ni software gani ambayo inaweza ikanisaidia kuhifadhi taarifa za namna hii. Mfano: Taarifa za watoto waliozaliwa nchi nzima mwaka 2022, nakihitaji nizihifadhi ambapo mtu mwingine akija kwenye hiyo software baada ya kuhifadhi...
  11. M

    Msaada: Biashara ya Mashuka toka Uganda

    Habari za Mwaka mpya wana jamii. Kuna haya mashuka na blanket za kutoka Uganda. Nataka na mimi nifanye hii biashara. Ila nitafurahi kama nitapata muongozo na namna ya kuyapata toka Uganda. Kama kuna mtu ana uzoefu au connection naomba anishirikishe. Asante sana.
  12. Ulongupanjala

    Naomba msaada wa kumpata huyu mwizi

    Juzi kuna rafiki yangu kutoka Urusi alifikia Chelsea Hotel iliyopo Lumumba street,Dar salaam. Alikutana na watu nje ya hoteli wakamshawishi kuwa watampa huduma ya usafiri wa kwenda airport siku inayofiata, siku ya juzi baada ya kuingia kwenye gari yao wakiwa wawili walivyoenda umbali kidogo...
  13. kindikinyer leborosier

    Msaada nifanye nini niwe na amani?

    Assalam wanajamvi? Bila shaka mpo salama na mnaendelea vyema na majukumu! Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada, mimi ni mwajiriwa wa taasisi moja binafsi, mwaka jana nilipata changamoto mbaya sana inayonipelekea kukosa amani sana. Kazini mimi ni mchangamfu sina shida na mtu, na...
  14. shayrose

    Msaada jinsi ya kutibu Ovary Cyst

    Habarini za hapa wanajukwaaa Mimi ni mwanamke nnasumbuliwa na vijpu kwenye ovary, nmehangaika karibu miezi sita bila mafanikio Kibaya zaidi limeota lingine upande wa kulia wakat lile lingine nahangaika kulikausha ndo kwanza linazidi Naombeni ushauri niende wapi nmeshahangaika sana hospital na...
  15. Kamongo2

    Mtoto wangu amemeza shilingi 200

    Kama ilivyo kwa title mtoto huyo ni miaka Saba ameimeza shilingi 200 tangia saa 12 jioni. Naomba msaada wa mawazo yenu Wana JF
  16. Kilangi masanja

    Msaada wa haraka wadau

    Mdogo wangu amekwama stend ya magu (Mbezi)akitokea bukoba anakuja Nachingwea .Gari nyingi zimemuacha na hajui afanye nini kwani anauhitaji wa kufika kusini leo hii na ni mgeni sana anaogopa kwenda kijichi (mfukoni pia kabakiwa na 40k). Mbadala wake nimemwambia abeti kwa tashrif ya kutoka...
  17. Ngamba

    Material ya Sabuni Msaada

    Salaam Naomba Msaada wapi naweza para vifaa vifuatavyo napayikana mwanza. 1. Sodium laural Ether Sulphate(Ungarol) 2. Linear alky benzene sulphonic acid, 3. Coconut diethsnoline (C.D.E) 4. Sodium tripolyphosphate(S.T.P.P) 5. Caustic soda 6. Sodium benzoate 7. PerFumes...
  18. M

    Nimekuja mbele yenu nina shida ya kazi yoyote ya halali

    Habari ndg wanajamii! Nimekuja mbele yenu nina shida ya kazi yoyote ya halali nipate kipato niweze kuendelea kumhudumia mama yangu ambae ni mgojwa miezi sasa tangu anze kuugua hospitalini nimezunguka sana kila wakipima wanasema hawaoni kitu chochote daktari akanishauri nimchukue mgonjwa...
  19. GIRITA

    Msaada kufungua internet Banking Equity

    Habari wakuu, Naomba kusaidiwa kufungua online banking au Internet Banking kwa bank ya equity bank, kwa anaweza anisaidie.
  20. the galaxy a

    Msaada wa kazi au shughuli yoyote, nipo Dodoma

    Habari, Kama kichwa kinavyo sema hapo juu, mimi ni kijana nina miaka 26 elimu ya stashada ya maendeleo ya jamii kwetu ni mtwara kwasasa nipo Dodoma, Ujuzi nilio nao tofauti na elimu yangu: . Ujuzi wa computer hasa exel,word na publisher . Saluni ya kiume(kunyoa) . Kuandaa miradi, nipo hapa...
Back
Top Bottom