emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 682
- 918
Kwenu wajuvi wa sheria za biashara.
Ninafanya biashara ndogo ya kuuza na kununua simu used, zilizotumika hapahapa jijini Dar almaarufu simu za mkononi..
Changamoto kubwa kama mjuavyo huwa kuna simu za wizi, muuzaji hawezi kukuambia ni wizi na ni vigumu kutambua kwa sababu kiteknolojia hakuna namna ya kutambua labda kwa simu km iphone ambazo inaweza kuwa iPhone disabled. Ishu ni hizi za kawaida kama infinix, tecno, Samsung na nyinginezo.
Nataka nijiweke kwenye mikono salama kisheria. Nahitaji kuwa na vielelezo gani ili nisiangushiwe jumba bovu na wajanja zaidi yangu.
Ninafanya biashara ndogo ya kuuza na kununua simu used, zilizotumika hapahapa jijini Dar almaarufu simu za mkononi..
Changamoto kubwa kama mjuavyo huwa kuna simu za wizi, muuzaji hawezi kukuambia ni wizi na ni vigumu kutambua kwa sababu kiteknolojia hakuna namna ya kutambua labda kwa simu km iphone ambazo inaweza kuwa iPhone disabled. Ishu ni hizi za kawaida kama infinix, tecno, Samsung na nyinginezo.
Nataka nijiweke kwenye mikono salama kisheria. Nahitaji kuwa na vielelezo gani ili nisiangushiwe jumba bovu na wajanja zaidi yangu.