MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,484
- 20,436
Jengo la abiria Mpanda (pichani) litagharimu bil 1.4 .
Wakati huohuo daraja hili limetafuna bilioni 7 huko Kibiti.
Yaani unahitaji majengo matano ya abiria huko Mpanda kujenga daraja moja Kibiti.
Mainjinia tofauti hii inasababishwa na nini? Au kwa vile Kibiti iko jaribu na Dar? Je wananchi wa Kibiti wangeulizwa Kama wanataka daraja au hiyo terminal wangechagua nini?
Wakati huohuo daraja hili limetafuna bilioni 7 huko Kibiti.
Yaani unahitaji majengo matano ya abiria huko Mpanda kujenga daraja moja Kibiti.
Mainjinia tofauti hii inasababishwa na nini? Au kwa vile Kibiti iko jaribu na Dar? Je wananchi wa Kibiti wangeulizwa Kama wanataka daraja au hiyo terminal wangechagua nini?