msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Matibabu ya anal fissure (msaada)

    Nasumbuliwa na tatizo linalojulikana kama ANAL FISSURE, Naomba wataalam mniambie tiba yake tafadhali
  2. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Pemba: Nyama ya msaada iliyotolewa na Wabunge imebainika haifai, kuna watu wameingia nayo mtaani, Mamlaka zipo kimya

    Hivi karibuni Wabunge wa Zanzibar ambao wanawakilisha katika Bunge la Jamhuri ya Muungano walijichanga na kutaka kutoa zawadi kwa Wananchi wa Pemba, ambapo waliandaa nyama. Nyama hiyo iliingizwa Pemba kupitia Bandari ya Wete, haijulikani nini kilitokea, ilichelewa au ilikwama au ni yenyewe tu...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Sina cha kuandika JF msaada nihudhurie shule gani?

    Sina cha kuandika JF msaada nihurulie shule gani? 1. SHULE YA BUNGE 2. SHULE YA MAHAKAMA 3. SHULE YA MTAANI 4. SHULE YA JAMII 5. SHULE YA MUZIKI 6. SHULE YA RANGI
  4. S

    JamiiForums Tanzania Sina cha kuandika JF msaada nihurulie shule gani?

    Sina cha kuandika JF msaada nihurulie shule gani? 1. SHULE YA BUNGE 2. SHULE YA MAHAKAMA 3. SHULE YA MTAANI 4. SHULE YA JAMII 5. SHULE YA MUZIKI 6. SHULE YA RANGI
  5. K

    JamiiForums Tanzania Msaada utakaothaminiwa na waTanzania

    Ni jambo linalotia matumaini kwamba hali duni inayolikabili taifa la Tanzania hatimaye imewagusa hata watu wa mataifa ya nje; si Ulaya Magharibi au Marekani pekee bali hata katika nchi za kiafrika na baadhi ya majirani zetu; hata kama baadhi yao hawsemi chochote hadharani kwa sababu...
  6. JamiiForums Tanzania Kwaheri Irene, nyuma yako mbele yetu, Innalillah Wainna Illah Rajuun, tusipuzie wanaotaka msaada na kuita matapeli

    Humu jf Kuna watu wana roho ngumu na mbaya sija pata kuona eti hadi I'd za kike, dah. Kipindi Fulani nilitukanana na jamaa humu, Kuna mtu alitaka msaada, jamaa akaanza kumita tapeli nikamvaa nikamwambia bro kama una wasiwasi usitoe sio uwe chanzo cha wengine kutotoa. Mapema majuzi nilikua...
  7. JamiiForums Tanzania NEMC NA MAMLAKA HUSIKA WANANCHI WA KULANGWA TUNAOMBA MSAADA, BAR ZA DEEZ PUB, LIVE LONGUE, MUSU PARK, BAMBA BEER, JOY ES LAVA MAKELELE NI TOO MUCH

    Baraza la taifa la mazingira na mamlaka husika wananchi wenu tunateseka sana na makelele ya bar zilizopo kata ya Goba, mtaa wa Kulangwa kuanzia JOY ES LAVA, DEEZ PUB, LIVE LONGUE, MUSU PARK, BAMBA BEER na kuendelea Imekuwa sio sehemu tena ya kuishi kwa amani, na furaha ukizingatia ni eneo la...
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya foleni NATTA Mwanza, mistari ya Zebra nayo imefutika, ni kero hasa asubuhi

    Tunaomba sana wahusika watutatulie kero ya usafiri katika eneo la NATTA jijini Mwanza. Mimi binafsi napitia eneo hili mara kwa mara, na hali ya foleni imekuwa mbaya sana. Pale kuna vituo viwili vya daladala—kimoja cha kwenda mjini na kingine cha kutoka mjini—lakini miundombinu iliyokuwepo...
  9. JamiiForums Tanzania Hivi ni kwa nini oil rich gulf islamic states huwa hazichangii bajeti kama msaada?

    Labda nilipitwa lakini sijawahi kusikia hata siku moja wakichangia bajeti kama msaada kwa tanzagiza, ila nasikia USA au EU wakitishia kukata msaada kusaidia bajeti kwa nini oil rich gulf states huwa hazizibi pengo ukichukulia ni marafiki wazuri wa regime iliyopo? huwa nasikia wakitoa fedha kwa...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Miongoni mwa watu walionipa msaada katika wakati sahihi, nawapenda sana

    Kuna watu thamani katika maisha yetu hapa duniani wapo na wanaweza wakawa ni wa muhimu katika negative way au positive way. Ukiachana na ndugu wa faida na wazazi bado kuna watu baki wanaweza kuibika katika nyakati flani ambazo uliwahitaji kwa udi na uvumba. Binafsi mimi kuna hawa watu wawili...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Wakuu inawezekana kupata NIDA Namba

    Wakuu inawezekana kupata NIDA NUMBER? Majina yake ninayo Mtu mwenyewe alishakufa mda mrefu Msaada wa haraka unahitajika
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Naamini mko njema wakuu Katika maisha yangu yote sikuwahi kuwaza kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi iwe wa umma au binafsi Niliamini kwamba mwanamke ili awe na mapenzi ya kweli lazima awe muda mwingi nyumbani akitekeleza majukumu ya nyumbani na watoto Kingine niliamini mwanamke akianza...
  13. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimejichanganya: Naombeni msaada

    Wakuu poleni natumai mpo macho na wale wagonjwa Mungu awatie nguvu. Ipo hivi mimi ni mfanyakazi kwenye ofisi moja huku Tunduma Masasi karibu na Lilongwe road. Sasa, kuna single mother nimeanza naye mahusiano kama unavojua hawa viumbe hawatunzi siri. Sasa juzi tulikuwa tunapiga stori na wana...
  14. JamiiForums Tanzania Msaada: Gesi ya kupikia imepanda bei au napigwa?

    Wakuu. Mtungi mdogo nilikua nanunua 24,000/= Tsh sahivi napiga simu niletewe naambiwa 28,000/= Jamaa anasema imepanda. Oyaaah! Kama kweli nitapikia kuni aisee.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Msaada lodge nzuri Tanga mjini jirani na stend

    Habar wakuu Niko njiani kuelekea Tanga,naomba wazoefu wa tangu lodge nzuri karibu na stend au mjini kiwango ni 30000-45000
  16. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Familia imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu.

    Wasalam wanaJF Bila shaka mu wazima wa afya kama mimi hapa. Leo bwana nimekuja na jambo linalotesa moyo wangu kwa muda mrefu sana. Familia yetu imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu. Mzee wangu alifariki mwaka wa 2015 akiwa amebakiza miaka takribani miwili kustaafu. Mimi enzi hizo nilikuwa...
  17. JamiiForums Tanzania Labda anabelle anahitaji msaada kama wa makebo, msimtenge

    Hawa vijana wamejawa na matusi, sasa imepelekea anabelle kubadirisha jina la kuomba kufanyiwa mapenzi. Hii yote ni kutokana na mentallity ya matusi waliyonayo. Mimi naona ni ishu ya afya ya akili. Muwasaidieni hawa jamaa
  18. JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Mimi nimetumia AliExpress muda kidogo umepita, mwaka 2025 nilitumia mara moja tu, tena pale mwanzoni, juzi hapa naingia nahitaji kuagiza kitu nakuta mauza uza. Shipping method ni moja tu, "Free shipping" na hakuna option ya kuchagua na hujui nani ataleta mzigo, pia muda ni mrefu sana, mfano na...
  19. JamiiForums Tanzania Msàada mtandao wa X (twiter )unagoma nikidownglod kwenye simu

    Tangu nimeflash simu huu mtando ndio pekee umegoma niki downglod pamoja na kutumia vpn lakini wapi Yani kuna mda kama unataka kukubali naingiza user name na pasward nalog in inazunguka kiasi alafu inakata yenyewe cm inarudi kawaida kama nime exit vile. Nifanyenye?
  20. JamiiForums Tanzania Natakiwa kufika Dar kesho jioni, nipo Simiyu Bariadi mda huu.Kama Kuna dereva yeyote anapita njia hii naombeni msaada wakuu nina 40k tu mfukoni

    Wakuu natakiwa siku ya kesho niwe Dar ila nauli ya kufika Dar Sina nina 40k tu, naombeni kama Kuna dereva anapita hii njia ya Bariadi - dar anipe rift nifike dar wakuu. Naombeni sana madereva 🙏
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…