sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 603
- 1,011
Salaam wakubwa.Ushauri unaombwa kwa mwalimu wa tgts E ambaye nina bachelor ya Education in Adult Education and community development.
Kwanza naomba kujua iwapo bachelor hii inakubali kubadilishiwa muundo kwenda maendeleo ya jamii. Kama inafaa naomba kujua fursa zilizopo huko kwenye maendeleo ya jamii,ili niachane na hii tgts E na kwenda kuanza na ngazi ya D kama masharti la kuhama kada yanavyotaka?
N.B: Wale mtakaosema nilitakiwa kumuuliza HR wangu nawakumbusha kuwa nafahamu sana utaratibu huo ila nimeliweka hapa ili nifaidike na wenzangu wenye shida kama hii.Asanteni
Kwanza naomba kujua iwapo bachelor hii inakubali kubadilishiwa muundo kwenda maendeleo ya jamii. Kama inafaa naomba kujua fursa zilizopo huko kwenye maendeleo ya jamii,ili niachane na hii tgts E na kwenda kuanza na ngazi ya D kama masharti la kuhama kada yanavyotaka?
N.B: Wale mtakaosema nilitakiwa kumuuliza HR wangu nawakumbusha kuwa nafahamu sana utaratibu huo ila nimeliweka hapa ili nifaidike na wenzangu wenye shida kama hii.Asanteni