Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu

Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu

Joined
Jul 28, 2026
Posts
28
Reaction score
60
Naitaji msaada wa haraka

Mimi ni mtumishi kutoka wizara ya mambo ya ndani,nina miaka 2 kazini, Mshahara wangu laki tano.

Nataka kukopa kuanzia million 20 je inawezekana , Kama aiwezekani nitapata bei gani.

Kwenye mfumo wa ESS inaleta pesa kidogo nataka niende Branch yao,Natumia CRDB Je vitu gani niende navyo ili kupata mkopo.

NAJUA HASARA YA MKOPO ILA NINA SHIDA NAITAJI MSAADA JINSI YA KUPATA PESA.
 
Mkuu nataka kufanya biashara je itawezekana kupata na vitu gani niende navyo?
Hiyo biashara ulishawahi kuifanya au unaiffanya🤔🤔🤔.

Kama ndo unaanza biashara AFU pesa ya mkopo usianzishe na kibaya zaid wewe ni mtumishi utaajiri MTU, akiwa sio makin utajuta.😭😭😭😭

Kopa pesa kuendeleza biashara na si kuanzisha
 
Back
Top Bottom