Bei Rahisi Stationary
Member
- Jul 28, 2026
- 28
- 60
Naitaji msaada wa haraka
Mimi ni mtumishi kutoka wizara ya mambo ya ndani,nina miaka 2 kazini, Mshahara wangu laki tano.
Nataka kukopa kuanzia million 20 je inawezekana , Kama aiwezekani nitapata bei gani.
Kwenye mfumo wa ESS inaleta pesa kidogo nataka niende Branch yao,Natumia CRDB Je vitu gani niende navyo ili kupata mkopo.
NAJUA HASARA YA MKOPO ILA NINA SHIDA NAITAJI MSAADA JINSI YA KUPATA PESA.
Mimi ni mtumishi kutoka wizara ya mambo ya ndani,nina miaka 2 kazini, Mshahara wangu laki tano.
Nataka kukopa kuanzia million 20 je inawezekana , Kama aiwezekani nitapata bei gani.
Kwenye mfumo wa ESS inaleta pesa kidogo nataka niende Branch yao,Natumia CRDB Je vitu gani niende navyo ili kupata mkopo.
NAJUA HASARA YA MKOPO ILA NINA SHIDA NAITAJI MSAADA JINSI YA KUPATA PESA.